Mshambuliaji wa kimataifa jaja amedhiirisha kuwa ni mshambulaiji ambaye amepiga mipira ya vichwa mingi kuliko washambuliaji wengine wowote hapa nchini ukitazama moja ya picha ambazo zimepigw aa kamera yetu zinamuonyesha mchezaji huyo alivyoruka kupiga mpira wa kichwa katikati ya mabeki wa Jkt Ruvu