Innocent Mnyuku kuagwa ijumaa Hospitali ya Lugalo


Aliyekuwa mhariri mkuu wa jarida la umoja linalochapishwa na kampuni ya New Habari 2006 Ltd, Innocent Mnyuku ambaye amefariki usiku wa kuamkia leo anataraji kusafrshwa siku ya ijumaa na kupelekwa kijini kwao amzimbu Morogoro kw ajaili ya Maziko.

Kwa mujibu taharifa alizopata bloger wetu kutoka chanzo kinachoaminika ndani ya New Habari zinasema kuwa taratibu zote za mazishi zinafanywa katika ofisi ya New Habari na mpango wa kumsafirisha kwenda morogoro na kusema kuwa  mwili huo wa marehemu ambao uemhifandhiwa katika hospitali ya lugalo ambako heshima za mwisho zitafanyika katika hospitali hiyo siku ya ijumaa

Post a Comment

Previous Post Next Post