Emmanuel
Okwi
Mshambuliji wa kimatifa wa Simba,anasema bao pekee
alilowafunga watani wao wa jadi Yanga, mwishoni mwa wiki iliyopita ni ishara ya
kuwaonyesha Yanga kuwa hawamuwezi kwa kila kitu
kitakachohusiana na masuala ya mpira.
Okwi alisema kitu pekee kinachomsaidia kluwazidi akili
Yanga ni ujanja na kutoogopa vitisho vyao ambayo havina maana katika maisha ya
kisoka kwenye ulimwengu wa sasa, kwani wanatakiwa kufanya mambo kwa vitendo
na si maneno kama walivyo.