Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Benchmark production Ritha Paulsen ametangaza kuwa ule wa kusaka vipaji vya uimbaji maarufu kama bongostar utaanza mapema kuanzia sasa
Madam Ritha Alisema hayo alipokutana na mtoto wa temeke na kumueleza ni namba gani wanajipanga kuanza mapema mwaka huu
"Najua watu wanakiu ya shindano kwasasa kwani awajapata kuona shamra shamra kama za miaka iliyopita lakini lazima wajue Muda huu ni kiboko ya zote walizopata kuonan"alisema Madam Ritha
Hivyo alitoa wito kwa vijana wenye vipaji kuanza kujinoa kwa ajili ya michuano huu