Mrisho Mpoto amtuma Rais Kikwete kwa Wagombea



Na Humphrey Shao, Dar es Salaam

MSANII wa muziki wa kughani, Mrisho Mpoto amemtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Jakaya Kikwete awaeleze viongozi mbalimbali  nchini wanaotaka nafasi za uongozi kujitokeza kusoma kozi ya uongozi na maadili hili kupunguza tatizo la viongozo wanokosa uzalendo nchini.

Mpoto alitoa kauli hiyo katika shairi lake aliloghani mbele ya Rais kw akumtukuza kwa namna jinsi gani Rais Kikwete alivyoweza upambana na matatizo mbalimbali ya kiuchumi na kijamii katika taifa hili.
Mpoto alisema kuwa anamuomba rais akawaimbie hao wanaotaka madaraka kuwa ni vyema wakaenda kusoma maadili nauzlendo kwanza kwani asipowambia watafanya ndivyo sivyo katika utawala watakaoupata.
“Nenada kaambie walewanaotaka madaraka kuwa  lazima wapiti hapa kwanza ndio wafikirie uongozi kwani usipo waambia urtakuwa umetuumiza sie ambao tutaongozwa “alisema mpoto

Mpoto ambaye aliweza kumfurahuisha rais Kikwete kwa kila ubeti amabao alikuwa na ghani kwa jinsi alivyoweza kueleza namna ya Kibweta cha Mwalimu Nyerere kitakavyofanya kazi na kutoa msada kwa vijana wa sasa ambao wamekosa uzalendo.

Rais Kikwete  akifurahi huku akipita hotuba yake wakati mpoto anatumbuiza
 Rais Jakaya Kikwete akiwa mwenye furaha kubwa mara baada ya kusikiliza mashari ya Mrsiho Mpoto
Rais Kikwete akitafakari manenoya mpoto huku akipitia hotuba yake kwa  umakini wa hali ya juu

Post a Comment

Previous Post Next Post