Msanii wa filamu hpa nchini ambaye kazi zake zinapendwa na watu wengi Jacob Stephen (JB) ameamua kuuza filamu zake mwenye licha ya kuwa na mkataba na kampuni ya Steps Entertiemnet .
JB ameanza utaratibu huo kwa kuwashirikisha vijana wa mtaani maharufu kama machinga hili waweze kujikwamuakimaisha na kutokana hali ngumu kwa sasa.
aliongeza kuwa licha ya filamu zake kuuzwa na Steps bado yeye anuza mkononi na popote pale alipo kwenye gari yake mtu anweza kujipatia filamu hiyo inayokwenda kwa jina la Chungu cha tatu
JB ameanza utaratibu huo kwa kuwashirikisha vijana wa mtaani maharufu kama machinga hili waweze kujikwamuakimaisha na kutokana hali ngumu kwa sasa.
aliongeza kuwa licha ya filamu zake kuuzwa na Steps bado yeye anuza mkononi na popote pale alipo kwenye gari yake mtu anweza kujipatia filamu hiyo inayokwenda kwa jina la Chungu cha tatu