Friday, May 1, 2015
Clinton
Tetemeko la ardhi Nepal
Thursday, April 30, 2015
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA DHARURA WA VIONGOZI WA NCHI NA SERIKALI WANACHAMA WA SADC KUHUSU UENDELEZAJI VIWANDA, HARARE ZIMBABWE



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati), akiwa na baadhi ya Viongozi wenzake katika Mkutano wa dharura wa Viongozi wa Nchi Wanachama wa SDC, uliofunguliwa leo Aprili 29, 2015 na Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, Jijini Harare, Zimbabwe, kuhusu Uendelezaji wa Viwanda. Picha na OMR
Naibu Waziri wa viwanda na Biashara Janeth Mbene afanya ziara mtaa wa Viwanda Sido
Naibu waziri wa Viwanda na Biashara Janeth Mbene akiteta jambo na Naibu waziri wa Kazi na Ajira Makongoro Mahanga katikati ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Ilala na Diwani wa Vingunguti Asaa Simba
Naibu waziri wa Viwanda na biashara akipata maelezo kutoka kwa mkurugezni wa sido Omar Bakari
Janeth Mbene akisalimiana na moja ya walemavu wanaomiliki kiwanda cha baiskeli za walemavu
Janeth Mbene akiangalia mashine ya kutengeneza chakula cha Samaki
Janeth Mbene akiangali nguo iliyotengenezwa kwa malighafi za asili
Janeth aMbene akiwa na mgunduzi wa Sindano ya maajabu
Naibu waziri wa kazi , Makongoro mahanaga akiangalia moja ya Baiskeli zilizotengenezwa na walemavu
Wednesday, April 29, 2015
Mbita ahagwa rasmi Lugalo
Atimaye mwili wa marehemu brigedia jenerali hashim mbita umeagwa rasmi na kupewa hashima za kijeshi katika hospitali ya jeshi lugalo
Katika shughuli hiyo Rais kikwete aliongoza Maria ya waombolezaji kutoka nchini msalimie msalimie barani Afrika
Tuesday, April 28, 2015
Madam Ritha bongostar search itaanza soon
Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Benchmark production Ritha Paulsen ametangaza kuwa ule wa kusaka vipaji vya uimbaji maarufu kama bongostar utaanza mapema kuanzia sasa
Madam Ritha Alisema hayo alipokutana na mtoto wa temeke na kumueleza ni namba gani wanajipanga kuanza mapema mwaka huu
"Najua watu wanakiu ya shindano kwasasa kwani awajapata kuona shamra shamra kama za miaka iliyopita lakini lazima wajue Muda huu ni kiboko ya zote walizopata kuonan"alisema Madam Ritha
Hivyo alitoa wito kwa vijana wenye vipaji kuanza kujinoa kwa ajili ya michuano huu
Mkapa awafariji watoto wa hashim mbita
Rais mstaafu wa awamu ya Tatu Benjamin mkapa akisaini kitabu cha maombolezo wakati alipofika kutoa pole
kwa ndugu wa marehemu brigedia jenerali hashim mbita chang'ombe na ngeme mbita ambaye ndio mjane wa marehemu
Monday, April 27, 2015
Wakufunzi CCP watakiwa kufanya kazi kwa weledi
Rais Kikwete afika kutoa Salamu za Pole Nyumbani kwa Marehemu, Brigedia Jeneral Hashim Mbita
Rais Jakaya Kikwete akisaini katika kitabu cha salamu za Rambi rambi
Rais Kikwete akimsalimia mke wa marehemu Hashim Mbita, Ngeme Shomari Mbita
Rais Kikwete akimuomba akae mke wa marehemu Hashim Mbita ,Ngeme Shomari Mbita
Rais Kikwete akiapata maelezo kutoka kwa ndugu wa marehemu Hashim Mbita
Rais kikwete akicheza na mmoja wa wajukuu Marehemu Brigedia Jeneral Hashim Mbita
Waziri wa mabo ya nje Bernard Membe akitoa pole kwa mke wa marehemu brigedia Jenerali Hashim Mbita
Katibu mkuu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam akitoa pole kwa watoto wa marehemu
Balozi wa Afrika Kusini Nchini akitoa pole kwa mke wa marehemu Hashim Mbita na watoto
Balozi wa Afrika Kusini akisaini kitabu cha wageni
Rai Kikwete akiwa mwenye huzuni huku akipata maelezo kutoka kwa mke wa marehemu Brigedia Jenreali Hashim Mbita, Bi Ngeme Shomari Mbita
JWAZIRI JAFO AFANYA UKAGUZI WA MIUNDOMBINU NA MADARJA YALIYOBOMOKA MANISPAA YA ILALA
Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe.Selemani Jafo amesema wizara yake kupitia wakala wa Barabara wa Serikal...

-
Meya wa Manispaa ya Ilala, Charles Kuyeko akitoa salamu za pole za Manispaa ya Ilala kwa wafiwa wakati wa msiba wa Mama yake Naibu Meya ...
-
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala na Diwani wa Vingunguti, Omary Kumbilamaoto akizungumza na Wakazi wa Vingunguti juu ya namna alivytokele...
-
Bashe Bashe Mohamed Bashe, ambaye ni Mbunge wa Nzega Mjini CCM, mara kadhaa amekuwa akiibua mijadala katika mitandao ya kijamii kw...
