Congcong Wang wa Feza Girls, Aliyekuwa wapili kitaifa
Congcong Wang wa Feza Girls, akiwa na mwalimu wake
Congcong Wang wa Feza Girls, akiwa na mama yake
Congcong Wang wa Feza Girls, akiwa maabara
Congcong Wang wa Feza Girls, akiwa maabara ya biology
Congcong Wang wa Feza Girls, akipokea simu za pongezi kutoka kwa watu mbalimbali
Kuhusu wanafunzi 10 bora waliofanya vizuri, Dk. Msonde alisema
nafasi ya kwanza imeshikwa na msichana Butogwa Shija wa Shule ya Canossa
akifuatiwa na Congcong Wang wa Feza Girls, zote za Dar es Salaam.
Wanaofuata ni Innocent Lawrence (Feza Boys); Dominic Aidano
(Msolwa); Sang’udi Sang’udi (Ilboru); Asteria Chilambo (Canossa); Belinda
Magere (Canossa); Humphrey Kimanya (Msolwa); Bright Mwang’onda (Marian Boys) na
Erick Mwang’ingo pia wa Marian Boys.
Congcong Wang wa Feza Girls, akiwa na mwalimu wake
Congcong Wang wa Feza Girls, akiwa na mama yake
Congcong Wang wa Feza Girls, akiwa maabara
Congcong Wang wa Feza Girls, akiwa maabara ya biology
Congcong Wang wa Feza Girls, akipokea simu za pongezi kutoka kwa watu mbalimbali