Na Humphrey Shao
Maonyesho makubwa ya urembo na mavazi yanataraji kufanyika mapema mwezi huu katika ukumbi wa Kardnali rugambwa osterbay.
akizungumza na mwandishi wa makala haya mtayarishaji wa maonyesho hayo Mustafa Hassanali alisema kuwa maonyesho hayo amabyo yatafanyika hapa nchini ikiwa ni mara yake ya saba tangu yaanzishwe yatakuwa na vitu vizuri na vya aina yake.
Mustafa alisema kuwa mwaka huu watu wanaofanya maharusi wamejiandaa kwa uzuri zaidi kuliko watu wanavyodahani hivyo wanatakiwa kufika kwa wingi