Mdee Waitara wapandishwa kizimbani

Wameshitakiwa kwa kosa moja tu la kumjeruhi Katibu tawala wa jiji la Dar es salaam Bi Theresa Mbando siku ya kuahirishwa uchaguzi wa meya wa jiji la Dar es salaam wa chadema  jijini Dar es Salaam wamepandishwa kizimbani nacwafuasi wao katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu kujibu mashtaka yanayowakabili

Post a Comment

Previous Post Next Post