Kaimu Mkuregenzi Idara ya Maendeleo ya Sanaa Wizara
ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Francis Songoro (kulia) akimpongeza
Miss Tanzania Indian Ocean 2016 Jackline Kimambo kwa kuibuka mshindi wa
mashindano hayo baada ya kumalizika kwa mashindano hayo yaliyofanyika 30 Julai,
2016 katika Ukumbi wa MRC Ulioko Mikocheni jijini Dar es Salaam.
You may like these posts
DIT YAENDESHA MAFUNZO YA NISHATI YA UMEME KWENYE VYOMBO VYA MOTObyHumphrey Shao-
Popular PostsContact Form |