CUF LIPUMBA WAVAMIA CUF MAALIM NA KUZICHAPA MMOJA AKATWA MGUU

 Wanachama wa chama cha Wananchi Cuf wakipambana na wenzao huku wakisaidina na meneja wa hoteli hiyo mara baada ya kuvamia mkutano wao na waandishi wa habari uliofanyika katika Hotel ya Vinna Hotel

wakati mkutano huo unaendelea ndipo kambi nyingine ya Chama cha Wananchi Cuf ilipovamia na kuvuruga mkutano huo na kuzua taharuki kubwa kwa waandishi wa habari na baadhi ya wakazi wa eneo hilo  ambao wapo jirani .

mara baada ya kufanikiwa kuvuruga mkutano huo baadhi ya watu waliokuja kufanya vurugu walikimbia na wengine kubaki ambao wanaonekana pichani kisha kisha kukimbizwa na wanachi wenye hasiara kali na kumjeruhi kwa kumkata maungio ya kisigino ya mguu wake wa kulia .
 Mapambano yanaendelea



 Mtuhumiwa wa akiwa anapambana

 akiwa chini ya ulinzi mara baada ya kudhibitiwa na na wananchi kisha kumkata mguu na kushindwa kutembea
 Mtuhumiwa kutoka kambi ya Lipumba amabye amekatwa mguu akiugulia maumivu mara baada ya kujeruhiwa

Post a Comment

Previous Post Next Post