Bwana
harusi, John Focus Lyimo (wa pili kushoto) akimtambulisha mkewe Bi.
Bernadetha Munishi (wa pili kulia) kwa wageni waalikwa kwenye hafla
kabambe ya harusi yao iliyofanyika Ukumbi wa 'Mwenge Social Hall' jana
jijini Dar es Salaam. Waliokaa ni wapambe wa maharusi.