WASANII NYOTA SABA KUTOKA CHINA NA WAPIGA PICHA 100 WATAMBELEA TRENI YA TAZARA LEO

 Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii nchini Jaji Thomas Mihayo akizungumza katika mkutano mfupi uliofanyika katika Stesheni ya Tazara jijini Dar es Salaam
 Baadhi ya Wasanii hao Nyota wakiwasili katika  Stesheni ya TAZARA Jijini Dar es Salaam
 aziri wa Habari Utalii Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe Rashid Ali Juma akizungumza  wakati wa kuwakaribisha wasanii hao nyota kutoka nchini China
 Muongoazaji wa filamu ya siri za familia akitoa Salamu za Wasanii hapa nchini
 Wasanii hao Nyota wakiwa wameketi kwa pamoja  wakati wa mkutano
 Wasanii hao  ikawakiwa katika kurekodi sehemu ya vipindi vitakavyorushwa katika cheneli za nchini China
 Baadhi ya watali hao wakiwa wamekaa katika Vibalaza vya Stesheni ya Tazara
 Wasani wa filamu nchini wakibadilishana mawasiliano na muongozaji wa kundi la wapiga picha na waandishi kutoka nchini China
 Muwakilishi wa kabila la Wadzabe akionyesha namna ya kutumia upinde kwa wasani nyota kutoka nchini China
 Sehemu ya wapiga picha waliongozana na Wasanii hao nyota kutoka nchini China
 Mmoja wa wapiga picha kutoka nchini China akirekodi wakati treni lilipo fanya ruti fupi mpaka Yombo na kurudi
 Sehemu ya Wasanii nyota wakiwa ndani ya treni
 Kundi la Wasaniihao na wapiga picha wakiwa ndani ya Treni ya Tazara wakirekodi kipindi na kufanya majadiliano



Post a Comment

Previous Post Next Post