WAZIRI MWIJAGE AZINDUA DUKA KUBWA LA VIFAA VYA UJENZI DAR ES SALAAM

 Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara  na uwekezaji Charles Mwijage(katikati) akiongoza jopo la Viongozi kuzindua duka kubwa la kisasa litakalokuwa linauza vifaa vyote vya  vya ujenzi kwa bei nafuu  lililopo eneo la Mikocheni jijini Dar es Salaam
 aibu Waziri wa Viwanda, Biashara  na uwekezaji Charles Mwijage akikagua sehemu ya bidhaa zilizopo ndani ya duka hilo ambazo zinazalishwa hapa nchini
 Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam , Paul Makonda akiwasili katika sherehe za uzinduzi wa duka hilo ilikujionea bidhaa zinazopatikana hapo
 Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda  akizungumza Rais wa umoja wa wafanyabiashara wa china wanaotengeza vifaa vya ujenzi,Thomas Cao, kabla ya kuingia ndani ya duka hilo kukagua vilivyomo
 Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ,Paul Makonda akiwa anaangalia moja yakigae ambacho kimo ndani ya duka hilo na kuzalishwa na viwanda vya ndani
 Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paula Makonda akipokea maelekezo kutoka kwa mmoja wa viongozi wa duka hilo
 Rais wa umoja wa wafanyabiashara wa china wanaotengeza vifaa vya ujenzi,Thomas Cao akitoa maelezo  kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam jinsi duka hilo lilivyosheheni bidhaa kutoka makampuni mbalimbali hapa nchini
 Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kampuni hiyo
 Meya wa Manispaa ya Kinondoni , Ben Sitta akiwa na viongozi wa duka hilo katika picha ya pamoja

Post a Comment

Previous Post Next Post