AZANIA BENKI YAPATA FUTARI PAMOJA NA WATEJA WAKE

 Mkurugenzi mkuu wa Benki ya Azania ,Charles  Itembe akizungumza na wateja na wafanyakazi wa benki hiyo wakati wa futari iliyoandaliwa na benki yake katika ofisi za Aznia Benki Mawasiliano Tower.
  Mkurugenzi mkuu wa Benki ya Azania ,Charles  Itembe, akisalimiana na watoto wa kituo cha Yatima cha Vingunguti wakati wa wakati wa futari iliyoandaliwa na benki yake katika ofisi za Aznia Benki Mawasiliano Tower.
 Mkuu wa kitengo cha Maendeleo ya Biashara Benki ya Azania , Othman Jibrea akiwa katika picha ya pamooja na baadhi ya Watoto wa Kituo cha watoto yatima kutoka Vingunguti
 Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala , Omary Kumbilamoto akipakua futari katika futru iliyoandaliwa na benki ya Azania.
  Mkurugenzi mkuu wa Benki ya Azania ,Charles  Itembe, akiwa na wateja wa benki hiyo
  Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala , Omary Kumbilamoto akipata futari iliyoandaliwa na benki ya Azania
 Sehemu ya wateja wa beni hiyo wakichukua futari
 Sehemu ya wateja wa benki hiyo wakipata futari na wafanyakazi wa benki ya Azania
 Watoto wa kituo cha Watoto Yatima Vingunguti wakipata futari  wakati wa futari iliyoandaliwa na benki yake katika ofisi za Aznia Benki Mawasiliano Tower.
 Wafanyakazi wa benki ya Azania wakati wa futari iliyoandaliwa na benki yake katika ofisi za Aznia Benki Mawasiliano Tower.
baadhi ya wateja na wafanyakazi wa benki ya Azania wakati wa futari iliyoandaliwa na benki yake katika ofisi za Aznia Benki Mawasiliano Tower.

Post a Comment

Previous Post Next Post