MAALIM SEIF APATA AJUMUIKA NA WAKAZI WA BUGURUNI KUPATA FUTARI NA SWALA

 Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Maalim Seif akiwasili katika Mtaa wa Buguruni akipokewa na Naibu Meya wa Jiji Omary Kumbilamoto
 Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na wakazi wa Buguruni aliojumuika nao pamoja katika futari na swala
  Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad  akiwa katika ibada iliyofanyika katika Baraza la Mtendeni 2 Buguruni
  Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na Wananchi wa Buguruni ambao alijumika nao katika futari ya pamoja
 Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwa na viongozi wa juu wa Chama mara baada ya kupata futari

Post a Comment

Previous Post Next Post