Bondia Ibrahim King Class akiwasili nchini akitokea nchini Ujerumani ambapo alishinda taji la Dunia ubingwa Global Boxig Council katika uzito wa kati mara baada ya kumchapa Jose Forero wa wa Panama kwa Point
Bondia Ibrahim King Class akinyoosha mkanda wake juu wa ubingwa
Bondia Ibrahim King Class akiwa na kocha wake Ibrahim Kinyogoli mara baada ya kutaua nchini
Bondia Ibrahim King Class akiwa na kocha wake Rajabu Muhamila Super D mara baada ya kuwasili nchini
Bondia Ibrahim King Class akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa ngumi
Bondia Ibrahim King Class akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa ngumi
Bondia Ibrahim King Class akinyoosha mkanda wake juu wa ubingwa
Bondia Ibrahim King Class akiwa na kocha wake Ibrahim Kinyogoli mara baada ya kutaua nchini
Bondia Ibrahim King Class akiwa na kocha wake Rajabu Muhamila Super D mara baada ya kuwasili nchini
Bondia Ibrahim King Class akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa ngumi
Bondia Ibrahim King Class akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa ngumi