Meneja Biashara wa kituo cha kijufunza Kingereza cha British Council ,Amata Bosco akizungumza na mmoja wa vijana waliofika kutka kujiunga na programu za British Council hili waweze kuongeza kingereza kwa ufasaha
Ofisa Huduma kwa wateja ,Leonia Kazimoto akizungumza wateja waliotembelea banda la British Council katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam ambapo wanatoa huduma ya mafunzo ya kingereza
Sehemu ya wadau wa British Council wakiwa wanajisomea ndani ya banda la Tasisi hiyo lililopo katika Viwanja vya Sabasaba
Ofisa Huduma kwa wateja ,Leonia Kazimoto akizungumza wateja waliotembelea banda la British Council katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam ambapo wanatoa huduma ya mafunzo ya kingereza
Sehemu ya wadau wa British Council wakiwa wanajisomea ndani ya banda la Tasisi hiyo lililopo katika Viwanja vya Sabasaba