Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Hifadhi hati kutoka Mamlaka
ya Vitambulisho vya Taifa 'NIDA' ,Rose Mdami akimsikiliza mmoja wa
wakazi wa Jiji la Dar es Salaam aliyefika kupata huduma ya Kitambulisho
cha Taifa katika banda lao lililopo katika Viwanja vya Maonyesho
Sabasaba
Afisa Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(NIDA) ,Agnes Gerald akiwa amezungukwa na wateja mbalimbali waliofika kupata vitambulisho vya Taifa. katika viwanja vya Maonesho Sabasaba
Mchambuzi wa Mifumo ya Kompyuta wa NIDA,Daniel Katondo akizungumza na wateja waliofika katika banda lao kujua taharifa zao zilizopo kwenye vitambulisho vya Taifa
Folerni ya watu wanaokwenda kuchukua vitambulisho vya Taifa katika Maonesho ya 41 ya Sabasaba yanaoendelea mpaka tarehe 13 mwezi huu
Folerni ya watu wanaokwenda kuchukua vitambulisho vya Taifa katika Maonesho ya 41 ya Sabasaba yanaoendelea mpaka tarehe 13 mwezi huu
Maofisa wa NIDA wakiendelea na zoezi la upigaji picha kwa watu ambao wanahitajika kupata vitambulisho vya Taifa katika Maonesho ya 41 ya Sabasaba
Afisa Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(NIDA) ,Agnes Gerald akiwa amezungukwa na wateja mbalimbali waliofika kupata vitambulisho vya Taifa. katika viwanja vya Maonesho Sabasaba
Mchambuzi wa Mifumo ya Kompyuta wa NIDA,Daniel Katondo akizungumza na wateja waliofika katika banda lao kujua taharifa zao zilizopo kwenye vitambulisho vya Taifa
Folerni ya watu wanaokwenda kuchukua vitambulisho vya Taifa katika Maonesho ya 41 ya Sabasaba yanaoendelea mpaka tarehe 13 mwezi huu
Folerni ya watu wanaokwenda kuchukua vitambulisho vya Taifa katika Maonesho ya 41 ya Sabasaba yanaoendelea mpaka tarehe 13 mwezi huu
Maofisa wa NIDA wakiendelea na zoezi la upigaji picha kwa watu ambao wanahitajika kupata vitambulisho vya Taifa katika Maonesho ya 41 ya Sabasaba