Mke wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Marshel akiangalia moja ya bidhaa za Wanawake wa Kitanzania ambao wameshiriki maonyesho wakati wa mkutano wa Maendeleo ya Wanawake kwenye Uchumi na Jamii(Women Advance in Africa ) Uliofanyika Jijini Dar es Salaam
Mke wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Marshel akizungumza na Mkurugenzi Tamic Company Limited Jacqueline Baruti wakati alipotembelea banda lake katika Mkutano wa Women Advancing Africa
Mke wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Marshel akiangalia moja ya bidhaa zinazozalishwa na wajasilamali wa Tanzania
Mke wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Marshel akitazama bidhaa zinazozalishwa na kampuni ya Masaimara Gardening Co Ltd , Kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Murwa Kihore akimuonyesha bidhaa zinazozalishwa .
Mke wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Marshel akiangalia banda la Women Advance in Africa
Mke wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Marshel akizungumza na Mkurugenzi Tamic Company Limited Jacqueline Baruti wakati alipotembelea banda lake katika Mkutano wa Women Advancing Africa
Mke wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Marshel akitazama bidhaa zinazozalishwa na kampuni ya Masaimara Gardening Co Ltd , Kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Murwa Kihore akimuonyesha bidhaa zinazozalishwa .
Mke wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Marshel akiangalia banda la Women Advance in Africa