Muwakilishi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha ,Daniel Wilson akizungumza katika Mkutano wa Waandishi wa habari na Bhati nasibu ya Tatu Mzuka na kuwasii watanzania kutumia nafsi hya kushiriki katika mchezo huo ambao unaanzia kwa shilingi 500
Mratibu wa Mawasiliano wa Mchezo wa Kubahatisha wa Tatu Mzuka Sebastian Maganga, aakizungumza hadi shilingi na Waandishi juu faida za mchezo huo na namna ya kucheza na kufanikiwa kupata Milioni 30Balozi wa Mchezo wa kubahatisha wa Tatu Mzuka , Mc Ray Maharufu kama Chikunde akizungumza juu ya yeye kuhusishwa na kampuni inayoendesha mchezo huo wa Tatu Mzuka
Waandishi wa habri walioshiriki katika Mkutano huo na Waandishi wa habari na Kapmuni ya mchezo wa Kubahatisha wa Tatu Mzuka