HDIF YAKUTANA NA WADU WAKE KUHADHIMISHA SIKU YA MTOTOI WA KIKE DUUNIANI

 Mkurugenzi wa Shule Direct Faraja Nyarandu akizungumza na washiriki wa mkutano maalum  wa siku ya Mtoto wa Kike Duniani ulioandaliwa na Tasisi ya HDIF kwa wanufaika wake wanaopigania maendeleo ya mtoto wa kike nchini
 Mkurugenzi wa Shule Direct Faraja Nyarandu akizungumza na washiriki wa mkutano maalum  wa siku ya Mtoto wa Kike Duniani ulioandaliwa na Tasisi ya HDIF kwa wanufaika wake wanaopigania maendeleo ya mtoto wa kike nchini
 Meneja Mipango na Mahusiano kutoka HDIF ,Emma Devies akizungumza na wadau waliofika katika mkutano maalum wa maahdhimsiho ya siku ya mtoto wa kike Duniani
 Wadau walioshiriki katika mkutano huo ulioandaliwa na HDIF  Katika ukumbi wa COSTECH Jijini Dar es Salaam
 Binti amabye ni mtaalamu wa Panya kutoka Chuo Kikuu cha kilimo cha SUA,Mariam Juma akitoa maelezo jinsi Panya hao wanvyoweza kumgundua mtu mwenye Vimelea vya ugonjw awa Kifua kikuu
 Meneja mrradi wa kupinga ukeketaji afya ya uzazi na Mazingira kutoka Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga kutoka Shirika la Amref Afrika , Dr. Jane Sempeho akiwaonyesha wadau waliofika kutaka kujua juu ya kameoni yake ya Stop Cut
 Wataalamu kutoka HDIF wakifatilia mkutano huo kwa makini
wanafunzi wa sekondari walioshiriki katika mkutano huo

Post a Comment

Previous Post Next Post