NAIBU WAZIRI WA ARDHI ANGELINA MABULA AFANYA ZIARA CHUO ARDHI TABORA


 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabulla  akiteta na baadhi ya wanafunzi wa Chuo cha Ardhi Tabora.
 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabulla  akiongea na wanafunzi na viongozi wa Chuo cha Ardhi Tabora.
 Wanafunzi wa Chuo cha Ardhi Tabora wakimkisikiliza kwa makini Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabulla alipokuwa akiwafafanulia jambo.
 Wanafunzi wa Chuo cha Ardhi Tabora wakimkisikiliza kwa makini Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabulla alipokuwa akiwafafanulia jambo.

 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabulla akikagua vifaa vya uchapaji na uandaaji wa ramani vya Chuo cha Ardhi Tabora vilivyogharimu kiasi cha milioni 200.
 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabulla akikagua vifaa vya uchapaji na uandaaji wa ramani vya Chuo cha Ardhi Tabora vilivyogharimu kiasi cha milioni 200.

Mkuu wa Chuo cha Ardhi Tabora Bwana Biseko Musiba akimuonesha mandhari ya Chuo cha Ardhi Tabora Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabulla.

Post a Comment

Previous Post Next Post