Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabulla akiongea na wanafunzi na viongozi wa Chuo cha Ardhi Tabora.
Wanafunzi wa Chuo cha Ardhi Tabora wakimkisikiliza kwa makini Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabulla alipokuwa akiwafafanulia jambo.
Wanafunzi wa Chuo cha Ardhi Tabora wakimkisikiliza kwa makini Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabulla alipokuwa akiwafafanulia jambo.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angeline Mabulla akikagua vifaa vya uchapaji na uandaaji wa ramani vya Chuo cha Ardhi Tabora vilivyogharimu kiasi cha milioni 200.