EFM MZIKI MNENE YATEKA WAKAZI WA KIBAHA NA VITONGOJI VYAKE

 Mwanamuziki wa Bongo Fleva na Mshiriki wa Coke Studio Afrika kutoka Lebo ya Wasafi, Rayvan akitoa Burudani  kwa wakazi wa Kibaha katika tamasha la Efm Mziki Mnene mkoa wa Pwani
 Mtangazaji wa kipindi Cha Genge Pido na Mc Wa Efm Mziki Mnene akiwa na Mashabiki wa kipindi hicho katika Tamasha la Mziki Mnene Kibaha  mkoa wa Pwani
 Msanii wa Bongo Fleva nchini Msami Baby akitoa Burudani kwa wakazi Kibaha katika Tamasha la Efm Mziki Mnene  Mkoa Pwani

Msanii Mkongwe wa Muziki wa Hip Pop nchini Squizer akitoa Burudani kwa wakazi Kibaha katika Tamasha la Efm Mziki Mnene  Mkoa Pwani
 Msanii Mkongwe wa Muziki wa Hip Pop nchini Squizer akitoa Burudani kwa wakazi Kibaha katika Tamasha la Efm Mziki Mnene  Mkoa Pwani
 RDJ Mamy kutoka kipindi cha Joto la Asubuhi cha Efm Radio  akitoa Burudani kwa wakazi Kibaha katika Tamasha la Efm Mziki Mnene  Mkoa Pwani
 RDJ X5 akitoa Burudani kwa wakazi Kibaha katika Tamasha la Efm Mziki Mnene  Mkoa Pwani
 Msanii Mkongwe wa Muziki wa Bongo Fleva nchini Prince Dully Sykes  akitoa Burudani kwa wakazi Kibaha katika Tamasha la Efm Mziki Mnene  Mkoa Pwani
 Msanii Muziki wa Singeli nchini Majid Migomba  akitoa Burudani kwa wakazi Kibaha katika Tamasha la Efm Mziki Mnene  Mkoa Pwani
 Mashabiki na wakazi Kibaha katika Tamasha la Efm Mziki Mnene  Mkoa Pwani
 Msanii  wa Muziki wa Hip Pop nchini Billnas akitoa Burudani kwa wakazi Kibaha katika Tamasha la Efm Mziki Mnene  Mkoa Pwani
 RDJ Spur  akitoa Burudani kwa wakazi Kibaha katika Tamasha la Efm Mziki Mnene  Mkoa Pwani
 RDJ Autrun akitoa Burudani kwa wakazi Kibaha katika Tamasha la Efm Mziki Mnene  Mkoa Pwani
  Mashabiki na wakazi Kibaha katika Tamasha la Efm Mziki Mnene  Mkoa Pwani

Post a Comment

Previous Post Next Post