Gari aina ya Tyota Hiace na Basi aina ya Scania linalo julikana kw ajina la Safari Njema yakiw ayamegongana katika Barabara ya Morogoro eneo la Kibamba kwa Mangi mara baada ya Hiace kuhama njia na kulifata basi lilipokuwa likajiribu kulipita Roli na kusababisha Mejeruhi waliopo ndani ya Hiace hiyo.
Majeruhi waliokuwa ndani ya Hiace hiyo wakiwa wamelala chini mara baada ya gari yao kwenda kugonga Basi la Safari njema
Majeruhi waliokuwa ndani ya Hiace hiyo wakiwa wamelala chini mara baada ya gari yao kwenda kugonga Basi la Safari njema
Majeruhi waliokuwa ndani ya Hiace hiyo wakiwa wamelala chini mara baada ya gari yao kwenda kugonga Basi la Safari njema