HIACE YAGONGA BASI NA KUSABABISHA MAJERUHI ENEO LA KIBAMBA JIJINI DAR ES SALAAM


 Gari aina ya Tyota Hiace na Basi aina ya Scania linalo julikana kw ajina la Safari Njema yakiw ayamegongana katika Barabara ya Morogoro eneo la Kibamba kwa Mangi mara baada ya Hiace kuhama njia na kulifata basi lilipokuwa likajiribu kulipita Roli na kusababisha Mejeruhi waliopo ndani ya Hiace hiyo.
 Majeruhi waliokuwa ndani ya Hiace hiyo wakiwa wamelala chini mara baada ya gari yao kwenda kugonga Basi la Safari njema
  Majeruhi waliokuwa ndani ya Hiace hiyo wakiwa wamelala chini mara baada ya gari yao kwenda kugonga Basi la Safari njema

  Dereva wa Hiace iliyogonga basi akiw amebebwa na Roli kwa ajili ya kuwahishwa Hospitalai ya Tumbi Kibaha mara baada kzimia hapo hapo na kupoteza fahamu

 Askari wa usalama Barabarani akiandika Pf 3 Kwa Majeruhi wa Hice iliyogonga Basi la Safari Njema eneo la Kibamba kwa Mangi jijini Dar es Salaaam leo
Majeruhi waliokuwa ndani ya Hiace hiyo wakiwa wamelala chini mara baada ya gari yao kwenda kugonga Basi la Safari njema

Post a Comment

Previous Post Next Post