JK AWATAKA WASANII WA BONGO MOVIE KUJIONGEZA NA KUACHA KULALAMIKIA SERIKALI

 Rais Mstaaafu wa Awamu ya Nne Dk Jakaya Mrisho Kikwete, akizungumza wakati wa uzinduzi Televisheni  inayoshughulika na masuala ya filamu za Kitanzania kwa Wasanii wa Bongo Movie JTv ambayo itapatikana kupitia king'amuzi cha Star Times amabpo amewataka wasnii hao kujiongeza hili waweze kufanya kazi kama wasanii kutoka nchi za Magharibi.
 Waziri wa habari Sanaa Utamaduni na Michezo Dk Harisson Mwakyembe akizungumza kabla ya kumkaribisha Mgeni Rasmi Rais Mstaafu wa Awamu ya nne Dk Jakaya Kikwete katika uzinduzi wa Televisheni ya Jtv  itakayooneshwa kwenye king'amuzi cha Star Times
 Mkurugenzi wa Jtv, Jason Msimbe akizungumza wakati wa hafla ya kumkaribisha  Rais Mstaaafu wa Awamu ya Nne Dk Jakaya Mrisho Kikwete, kwenye uzinduzi wa televisheni yake
 Baadhi ya Wasanii walioshiriki katika uzinduzi wa Tlevisheni mpya ya Jtv ambayo itakuwa inaonesha filamu za kitanzania kupitia King'amuzi cha Star Times
 Rais Mstaaafu wa Awamu ya Nne Dk Jakaya Mrisho Kikwete, akiteta jambo naWaziri wa habari Sanaa Utamaduni na Michezo Dk Harisson Mwakyembe na Mkurugenzi wa JTv Jason Msimbe
  Baadhi ya Wasanii walioshiriki katika uzinduzi wa Tlevisheni mpya ya Jtv ambayo itakuwa inaonesha filamu za kitanzania kupitia King'amuzi cha Star Times
   Rais Mstaaafu wa Awamu ya Nne Dk Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Star Times mara baada ya uzinduzi wa Jtv
 Rais Mstaaafu wa Awamu ya Nne Dk Jakaya Mrisho Kikwete, akizungumza na Mkurugenzi wa Star Times juu ya uwezekano wa kampuni hiyo kutoa ufadhili wa mafunzo ya vitendo kwa waandaaji wa filamu nchini  kwenda China
 Rais Mstaaafu wa Awamu ya Nne Dk Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi wa Star Times
Rais Mstaaafu wa Awamu ya Nne Dk Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wasanii wa Bongo Movie walioshiriki uzinduzi wa Televisheni ya Jtv

Post a Comment

Previous Post Next Post