PAZIA LA MASHINDANO YA RIADHA YA KIGAMBONI MARATHONI LAFUNGULIWA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 Mratibu wa Shindano la Kigamboni Marathoni,Dimo Debwe Mitiki akiwaonesha wana Habari Zawadi zitakazogawiwa kwa washindi wa mbio hizo zinazotaraji kufanyika Desemba 2 mwaka huu katika fukwe za Kigamboni jijini Dar es Salaaam
 Mratibu Mwenza wa Mbio za Kigamboni Marathoni , Juma Mtetwa akifafanua juu ya mbio hizo jinsi zitakazo fanyika na namna ya kujiandikisha kupitia Hospitali ya JPM Iliyopo Magomeni 
 Msemaji wa Chama Cha Riadha Nchini(RT), Tullo Chambo Akieleza namna chama hicho kilivyoshiriki katika kupima njia zote ambazo wakimbiaji watapita
 Mkurugenzi wa oparesheni wa kampuni ya uuzaji Viwanja ya Property International,George Obado akifafanua juu ya kampuni hiyo ilivyodhamini mbio ziytakazokimbiwa katika fukwe za Kimbiji Kigamboni.
 Meneja Masoko wa Hospitali ya JPM iliyopo Magoemni Jijini Dar es Salaam,Mja Abeid akileza namna hospitali hiyo itakavyoshiriki katika zoezi la upimaji wa afya kwa washiriki na kuuza fomu za wakimbiaji pamoja na kutoa huduma kwa watu watakaopata majeruhi
Waandaaji wa Mbio za Kigamboni Marathoni wakiwa katika picha ya Pamoma mara baada ya kumalizika kwa mkutano wao na Waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo

Post a Comment

Previous Post Next Post