KUMBILAMOTO AGAWA JEZI KWA TIMU NNE ZILIZOINGIA NUSU FAINALI YA VINGUNGUTI SUPER CUP

 Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto akizungumza kabla ya kugawa jezi kwa timu nne zilizofika katika hatua ya nusu fainali ya Mashindano ya Vingunguti Super Cup yaliyoshirikisha timu 24 za Jijini Dar es Salaam
  Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto , akionesha moja ya jezi ya timu zilizofika hatu aya nusu fainali ya Mashindano ya Vingunguti Super Cup yaliyoshirikisha timu 24 za Jijini Dar es Salaam
 Mwenyekiti wa Mashindano ya Vingunguti Super Cup Kombo Mbuya  akizungumza wakati wa hafla ya kugawa jezi kwa timu zilizofika nusu fainali
 Muandaaji wa Mashindano ya Vingunguti Super Cup , Spia Mbwembwe akizungumza wakati wa hafla ya kugawa jezi kwa timu nne zilizoingia nusu Fainali ya kombe hilo
  Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto, akikabidhi jezikwa kiongozi wa timu ya Freemason Fc ya Vingunguti, Sudi Rashid
  Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto, akikabidhi jezikwa kiongozi wa timu ya Guantanamo Fc ya Vingunguti ,Abdul Mgohela
  Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto, akikabidhi jezikwa kiongozi wa timu ya Msako FC ya Kigogo Kani Masumbola  wakati wa hafala ya kukabidhi jezi kwa timu nne zilizo ingia nusu fainala ya Vingunguti Super Cup
  Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto, akikabidhi jezikwa kiongozi wa timu ya Relini Fc wa Vingunguti Halidi Kitapagala
 Baadhi ya wajumbe wa timu zilizoingia Nusu Fainali ya Vingunguti Super Cup  wakisikiliza maneno ya viongozi wakati wa mkutano huo wa kugawa jezi
 Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa timu waliokabidhiwa jezi

Post a Comment

Previous Post Next Post