Mkurugenzi Mtendaji wa REPOA Tanzania Dr Donald Mmari akizungumza wakati wa Semina ya Matokeo ya Utafiti wa unaonyesha ni namna gani rushwa imezidi kupungua hapa nchini kwa Viashiria vya watu 7 kati ya 10 wanajua umuhimu w akupambana na Rushwa.
Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Barnabas Mwakalukwa, akizungumza na Waandishi wa Habari walioshiriki kwenye Semina ya Matokeo jinsi Rushwa ilivyopungua nchini
Wadau walioshiriki katika Mkutano wa Matokeo kupungua kwa Rushwa nchini AFRO BAROMETER iliyoandaliwa na Repoa
Mtafiti kutoka Repoa Nchini Stephene Mwombela akitoa mada juu ya Matokeo ya Utafiti wa kupungua kwa Rushwa nchini
Mtafiti Kutoka Repoa Nchini, Lulu Olan'g akizungumza na wadau waliofika katikautafiti wa Afro Barometer
Wadau walioshiriki katika Mkutano wa Matokeo kupungua kwa Rushwa nchini AFRO BAROMETER iliyoandaliwa na Repoa
Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Barnabas Mwakalukwa, akizungumza na Waandishi wa Habari walioshiriki kwenye Semina ya Matokeo jinsi Rushwa ilivyopungua nchini
Wadau walioshiriki katika Mkutano wa Matokeo kupungua kwa Rushwa nchini AFRO BAROMETER iliyoandaliwa na Repoa
Mtafiti kutoka Repoa Nchini Stephene Mwombela akitoa mada juu ya Matokeo ya Utafiti wa kupungua kwa Rushwa nchini
Mtafiti Kutoka Repoa Nchini, Lulu Olan'g akizungumza na wadau waliofika katikautafiti wa Afro Barometer
Wadau walioshiriki katika Mkutano wa Matokeo kupungua kwa Rushwa nchini AFRO BAROMETER iliyoandaliwa na Repoa