REPOA; YASEMA RUSHWA IMEPUNGUA NCHINI KWA ZAIDI YA NUSU KWA WATANZANIA

Mkurugenzi Mtendaji wa REPOA Tanzania Dr Donald  Mmari  akizungumza   wakati wa Semina ya Matokeo ya Utafiti wa unaonyesha ni namna gani rushwa imezidi kupungua hapa nchini kwa Viashiria vya watu 7 kati ya 10 wanajua umuhimu w akupambana na Rushwa.
 Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Barnabas Mwakalukwa,  akizungumza na Waandishi wa Habari walioshiriki kwenye Semina ya Matokeo jinsi Rushwa ilivyopungua nchini 
 Wadau walioshiriki katika Mkutano wa Matokeo kupungua kwa Rushwa nchini AFRO BAROMETER iliyoandaliwa na Repoa
 Mtafiti kutoka Repoa Nchini Stephene Mwombela akitoa mada juu ya Matokeo ya Utafiti wa kupungua kwa Rushwa nchini


Mtafiti Kutoka Repoa Nchini, Lulu Olan'g akizungumza na wadau waliofika katikautafiti wa Afro Barometer
 Wadau walioshiriki katika Mkutano wa Matokeo kupungua kwa Rushwa nchini AFRO BAROMETER iliyoandaliwa na Repoa


Post a Comment

Previous Post Next Post