WADAU WATAKIWA KUJITOKEZA KUSAIDIA KITUO CHA ELIMU YA WATU WAZIMA KIGAMBONI

 Mratibu wa Elimu Kata ya Kigamboni Angelina Gaswaswa akipokea maelezo kutoka kwa Mmoja wa waratibu wa kituo cha kutoa elimu ya watu wazima  Mastidia Mbeo
 Mwenyekiti wa  Serikali ya Mtaa wa Kigamboni, Abdul Habibu  akizungumza wakti alipotembelea kituo hicho cha kutoa elimu ya Watu wazima cha Kigamboni
 Wanafunzi wanaopatiwa elimu ya Watu wazima wakiimba wimbo mbele ya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kigamboni akiwa katika picha ya Pamoja na Wanafunzi wa Shule ya elimu ya watu wazima ya Kata ya Kigamboni

Post a Comment

Previous Post Next Post