Mratibu wa Elimu Kata ya Kigamboni Angelina Gaswaswa akipokea maelezo kutoka kwa Mmoja wa waratibu wa kituo cha kutoa elimu ya watu wazima Mastidia Mbeo
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kigamboni, Abdul Habibu akizungumza wakti alipotembelea kituo hicho cha kutoa elimu ya Watu wazima cha Kigamboni
Wanafunzi wanaopatiwa elimu ya Watu wazima wakiimba wimbo mbele ya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kigamboni akiwa katika picha ya Pamoja na Wanafunzi wa Shule ya elimu ya watu wazima ya Kata ya Kigamboni
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kigamboni, Abdul Habibu akizungumza wakti alipotembelea kituo hicho cha kutoa elimu ya Watu wazima cha Kigamboni
Wanafunzi wanaopatiwa elimu ya Watu wazima wakiimba wimbo mbele ya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kigamboni akiwa katika picha ya Pamoja na Wanafunzi wa Shule ya elimu ya watu wazima ya Kata ya Kigamboni