WAJUKU WA MUASISI WA TANU WAIOMBA SERIKALI KUINGILIA KATI WASIDHULUMIWE NYUMBA YAO

 Mjukuu wa Mwasisi wa TANU Iddi Tosiri, Iddi Maulid akizungumza jijini Dar es Salaam kuhusu kudhulumiwa Kiwanja kilichopo Mtaa wa Ukami Kariakoo ambapo mmoja wa Mwanamke wa Kigogo anataka kuwadhulumu nyumba hiyo hivyo kuiomba Serikali ya Rais Dr John Pombe Magufuli iwasaidie
Mtoto wa Mwasisi wa TANU Iddi Tosiri, Maulid Iddi akizungumza jijini Dar es Salaam kuhusu kudhulumiwa Kiwanja kilichopo Mtaa wa Ukami Kariakoo

Post a Comment

Previous Post Next Post