BEI ZA BIDHAA ZA ZA MATUNDA NA MBOGABOGA KATIKA SOKO LA KINONDONI JIJINI DAR ES SALAAM.

  Mboga aina ya Spinach fungu sh. 500, Tembele sh 500
 Mkungu wa ndizi katika soko la Kinondoni unauzwa kati ya sh 25,000 hadi sh 30,000.

Bei za mchele katika soko la Kinondoni kama inavyonyeshwa katika vibao


 Mfanyabiashara akitembeza biashara zake katika maeneo ya kinondoni
 Embe katika soko la Kinondoni linauzwa kati ya sh 1000 hadi sh 1500, Papai sh 2000 hadi 400 hutegemeana na ukubwa wa Papai, Nanasi  sh 3000 hadi sh 4000, Ndizi Mbivu inauzwa kati ya sh 250 hadi sh 300.(Imeandaliwa na Emmanuel Massaka , Globu ya Jamii)

Post a Comment

Previous Post Next Post