Meya wa Manispaa ya Ilala, Charles Kuyeko akitoa salamu za pole za Manispaa ya Ilala kwa wafiwa wakati wa msiba wa Mama yake Naibu Meya Omary Kumbilamoto.
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto akiwa katika majonzi wakati wa kumzika mama yake Mzazi Mwanaisha Omary katika makaburi yaliyopo kijijini kweao Kauzeni Wilaya ya Kisarawe mkoani pwani.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogoro akitoa salamu za pole za ofsi ya Mkuu wa Wilaya kwenye msiba wa mama yake Naibu Meya wa Manispaa hiyo , Omary Kumbilamoto.
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum,akitoa mawaidha wakati wa msiba wa Mama yake Naibu Meya
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto akiwa katika majonzi wakati wa kumzika mama yake Mzazi Mwanaisha Omary katika makaburi yaliyopo kijijini kweao Kauzeni Wilaya ya Kisarawe mkoani pwani.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogoro akitoa salamu za pole za ofsi ya Mkuu wa Wilaya kwenye msiba wa mama yake Naibu Meya wa Manispaa hiyo , Omary Kumbilamoto.
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum,akitoa mawaidha wakati wa msiba wa Mama yake Naibu Meya
Waombolezaji
wakiswalia mwili wa Marehemu Mama yake Naibu Meya wa Mwanaisha
Omary Kumbilamoto katika ibada iliyofanyika nyumbani kwa Naibu Meya
Vingunguti Dar es Salaam.
waombolezaji wengine
ambao ni Dada zake Naibu Meya Wa Manispaa ya Ilala wakiwa katika majonzi
mazito.
Mkuu wa Kikosi Cha
Anga 622, Canala Haule akitoa salamu za pole kwa familia hiyo kutoka Jeshi la
Wananchi wa Tanzania ambapo mmoja wa mtoto wa marehemu anafanyakazi jeshini.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema akitoa pole kwa
wafiwa katika msiba wa Mama yake Niabu
Meya wa Manispa aya Ilala, Mwanaisha Omary.
Baadhi ya Viongozi wa
Kisiasa waliofika kumfariji Naibu wa
Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto
waombolezaji wakiwa wanahuhifadhi mwili wa Marehemu
Mwanaisha Omary Kumbilamoto Kaburini.