MANISPAA YA UBUNGO YATILIANA SAINI MKATABA NA BENKI YA CRDB KUTOA MIKOPO YA VIJANA NA WANAWAKE

--
 Meya wa Manispaa ya Ubungo,Boniface Jacob akizungumza kabla ya kutilina Saini Mkataba na Benki ya CRDB Juu ya Mikopo ya kina Mama na Vijana wa Halmashauri ya Ubungo .
 Meya wa Manispaa ya Ubungo,Boniface Jacob akitia saini Mkataba wa makubaliano wa kushirikiana na benki ya CRDB Kutoa Mikopo  kwa  kina Mama na Vijana wa Halmashauri ya Ubungo .
 Mkurugenzi  wa Halamashauri ya Manispaa ya Ubungo, John Kayombo akizungumza kablaya kumkaribisha mwakilishi wa benki ya CRDB Kuelezea walivyojipanga kutoa mikopo kwa kina Mama na Vijana wa Halmashauri ya Ubungo .
 Muwakilishi wa Benki ya CRDB, Philip Stephene akizungumza juu ya benki yake itakavyotoa mikopo kwa kina Mama na Vijana wa Halmashauri ya Ubungo .
 Sehemu ya Wafanyakazi wa Benki ya CRDB Wakishuhudia tendo la utiaji saini baina ya Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo na CRDB  kwa kina Mama na Vijana wa Halmashauri ya Ubungo .
Sehemu ya Wafanyakazi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo wakiwaftilia tukio hilo la utiaji saini na benki ya CRDB

Post a Comment

Previous Post Next Post