WABUNGE WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE ARDHI NA MALIASILI WATEMBELEA MRADI WA ILMIS NA MAJENGO YA NHC VICTORIA NA MOROCO

 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akionyesha Faili lenye viambatanisho vya hati moja katika chumba cha  kubadilisha hati za kawaida kwenda Dijitali kinachosimamiwa na mradi wa ILMIS Ambapo kwa sasa mtu ataweza kupata kuona hati yake kupita mtandao na akihitaji karatasi atapata moja amabyo itakuwa na viambatanisho vyote.
 Msajili wa  Hati kutoka Wizara ya Ardhi, Joanitha Kazinja akitoa maelezo kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi na Maliasili, Nape Nnauye  wakati walipotembelea chumba cha kubadilishia Nyaraka cha Mradi wa ILMIS
 Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi na Maliasili, Nape Nnauye  Akizungumza wakati wa kikao cha Majumuisho ya ziara ya kutmebelea Miradi ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na Mradi wa ILMIS Unaotekelezwa na Wizara ya Ardhi.
 Mtaalamu wa Maluala ya bacode Katika mradi  wa ILMIS Cristina Selaru akitoa maelezo kwa Kamati ya kudumu ya Bunge Ardhi na Maliasili jinsi mfumo huo utakavyokuw aunafanya kazi kumsaidia mtu kujua taharifa zake zote
 Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Ardhi na Maliasili na Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Njombe, Neema Mgaya akitizama jinsi wafanyakazi wa Mradi wa ELMIS wakijaza baadhi ya nyarak katika mtandao
 Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi na Maliasili, Nape Nnauye  akizungumza jambo na  Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi mara baada ya kutembelea mradi wa Victoria unaotekelezwa na Shirika la Nyumba la Taifa NHC
 Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi na Maliasili, Nape Nnauyeakiongoza kikao cha Kamati

Mkurugenzi wa Mfumo wa TEHAMA Wizara ya Ardhi  na Kodineta wa ILMIS , Dk Shabani Pazi Akitoa Maelezo juu mradi huo
Mhandisi Msimamizi wa Mradi wa ILMIS,Carol Roffer akieleza jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge  walipotembelea kuona mafanikio ya Mradi huo unatoekelzwa na Wizara ya Ardhi
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge wakipanda kwenye gari kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa NHC

Post a Comment

Previous Post Next Post