Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Makongoro Nyerere akizungumza wakati w akumuombea kura na kumnadio mgombea ubungo wa jimbo la Ukonga kupitia CCM Mwita Waitara katika kata ya Buyuni Viwanja vya Zavara
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ukonga Kupitia Chama Cha Mapinduzi Mwita Waitara akizungumza na wakazi wa kata ya Buyuni wakati wa Mkutano wake kampeni wa kuomba kura kwa wakazi wa Mtaa wa Zavara.
Kada Mpya wa Chama Cha Mapinduz na aliyekuw akatibu wa Chadema Moshi Vijijini ,Emmanuel Mlaki akieleza kilichomtoa Chadema na kurudi CCM
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Chama Cha Wananchi CUF , Julius Mtatiro akiwaomba wakazi wa Zavara kumchagua Waitara kwani ndio mtu sahii kwa ajili ya kutatua kero zao
Mbunge Viti Maalum Kutoka Zanzibara Angelina Malembeka akipiga magoti kumuombea kura Mwita Waitara kura kwa wakazi wa kata ya Buyuni Mtaa wa Zavara.
Wabunge wa Bunge Jamhuri la Muungano kwa Tiketi ya CCM Wakicheza kwa furaha wakati wa mkutano wa kampeni
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ukonga Kupitia Chama Cha Mapinduzi Mwita Waitara akizungumza na wakazi wa kata ya Buyuni wakati wa Mkutano wake kampeni wa kuomba kura kwa wakazi wa Mtaa wa Zavara.
Kada Mpya wa Chama Cha Mapinduz na aliyekuw akatibu wa Chadema Moshi Vijijini ,Emmanuel Mlaki akieleza kilichomtoa Chadema na kurudi CCM
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Chama Cha Wananchi CUF , Julius Mtatiro akiwaomba wakazi wa Zavara kumchagua Waitara kwani ndio mtu sahii kwa ajili ya kutatua kero zao
Mbunge Viti Maalum Kutoka Zanzibara Angelina Malembeka akipiga magoti kumuombea kura Mwita Waitara kura kwa wakazi wa kata ya Buyuni Mtaa wa Zavara.
Wabunge wa Bunge Jamhuri la Muungano kwa Tiketi ya CCM Wakicheza kwa furaha wakati wa mkutano wa kampeni
Wakazi wa Mtaa wa zavara waliojitokeza katika Mkutano wa kampeni kumsikiliza Mwita Waitara