tag:blogger.com,1999:blog-63314986893831012992024-03-15T23:53:32.092-07:00Jijiletublog.blogspot.comHumphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.comBlogger2525125tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-40243216613018064882024-03-15T23:52:00.000-07:002024-03-15T23:52:50.380-07:00DIT YAENDESHA MAFUNZO YA NISHATI YA UMEME KWENYE VYOMBO VYA MOTO<p> Kampuni Tanzu ya Taasisi ya Teknolojia Dar-es-salaam (DIT Company) kwa kushirikiana na Kampuni ya Solution Plus yaendesha mafunzo ya siku moja juu ya Matumizi ya nishati ya Umeme kwenye Vyombo vya Moto.</p><p><br /></p><p>Mafunzo haya yanalenga kupata idadi kubwa ya baskeli za umeme na bajaji katika jiji la Dar es Salaam </p><p>ambazo zinatumika kusambaza vifurushi badala wya kutegemea pikipiki pekee.</p><p><br /></p><p>Mafunzo haya yamelenga kuangalia mafanikio na changamoto wanazokutana nazo watumiaji wa baskeli hizi maarufu kwa jina la Fasta ambao wamekuwa wakizitumia mara kufunga mfumo wa umeme na kujadiliana njia bora ya kutatua changamoto hizo ili kuweza kuongeza idadi ya baskeli hizo kutoka 16 zilizopo sasa</p><p><br /></p><p>Emilie Martin mtafiti mwandamizi kutoka solution plus ameishukuri DIT Company kwa kushirikiana nao katika kuwezesha mradi huu unaofadhiliwa na EU</p><p><br /></p><p>"Naishuruku DIT Company kwa ushirikiano katika kuwezesha programu hii kufanyika kwa awamu ya kwanza, kuwezesha uunganishani wa baskeli pia kuhakikisha watumiaji kutoka fasta wanamahali salama pa kuchaji na kulaza hizi baskeli" alisema Emilie.</p><p><br /></p><p>Mradi huu umekuwa kivutio kwa miji mingine kama Nairobi na kufanya watamani kujifunza kupitia Tanzania. </p><p><br /></p><p>Nae kiongozi wa Fasta Filbert Mbecha ameishukuru DIT kwa kuwawezesha kutumia baskeli hizi kwa uhakika wakati wote walipohitaji kuzotumia "Kampuni ya DIT imekuwa msaada sana katika kuendesha mradi huu kwa kuhakikisha zinakuwa salama na kuwezesha kupata umeme ili waweze kuzitumi:</p><p><br /></p><p>Aidha Mkurugenzi Mkuu wa Kampini Tanzu ya DIT ameishukuru Solution Plus kwa ushirikiano huu ambao umewezesha wanafunzi kujifunza kwa vitendo katika kuziunganisha baskeli hizi na kutengeneza bajaji za umeme. </p><p><br /></p><p>Mradi huu uliofadhiliwa na Umoja wa Ulaya unatekelezwa katika miji miwili Afrika yaani Dar es Salaam Tanzania na Kigali Rwanda pekee.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhpNjVs2Im95SPMWWxX1_dpDzA-XLI9F59W3yLJHHC35eJ52dWeZUgDNp3KJAXKGyClk1JfkqIgGhtjfzEZ_6MHvB0R82vawZ8u5eHFgfk3UQmA5RlMLJKDJ64ss9I3N1PBAW7NL56B5aLe8OjEf6PdwMP9Ib9owY_lY1YEKkUzuNO_gqDOKVzLT3QTKGI/s1077/Screenshot_20240316-095049_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="781" data-original-width="1077" height="464" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhpNjVs2Im95SPMWWxX1_dpDzA-XLI9F59W3yLJHHC35eJ52dWeZUgDNp3KJAXKGyClk1JfkqIgGhtjfzEZ_6MHvB0R82vawZ8u5eHFgfk3UQmA5RlMLJKDJ64ss9I3N1PBAW7NL56B5aLe8OjEf6PdwMP9Ib9owY_lY1YEKkUzuNO_gqDOKVzLT3QTKGI/w640-h464/Screenshot_20240316-095049_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEilaEu9ty-ERecp0kS-WOgwrULYxNrt12dJLYQyduhqSIJe0omUEUwn9On1zwhhhrESaCuMOb4C90QN5mg6b2EBnul-HSJeALCcwjM9KjuJoxTr93gUqWTkzdyY5W6MnY1S8bdHncMFN222Fr07st1dfr9DZJi_iN25tjHelaXCwQbdn30Yi8ASSoH-iPk/s1077/Screenshot_20240316-095104_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="749" data-original-width="1077" height="446" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEilaEu9ty-ERecp0kS-WOgwrULYxNrt12dJLYQyduhqSIJe0omUEUwn9On1zwhhhrESaCuMOb4C90QN5mg6b2EBnul-HSJeALCcwjM9KjuJoxTr93gUqWTkzdyY5W6MnY1S8bdHncMFN222Fr07st1dfr9DZJi_iN25tjHelaXCwQbdn30Yi8ASSoH-iPk/w640-h446/Screenshot_20240316-095104_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhU5_DC6YH612c1fEhGsKEO52ZpT2r7lRb9kuZmeiCTDZrwLsqkaefV24suqN1dG2O4FPrYRSd_NsSURKEZTsN0qHxLAOBu0GfpfX89HhXzAst6UhAhu-bGSYaQTiab-R-VyLGGbZ9Xz0hKo2aA9_VB_aj0dhmI5bieMBHAXZcC-rB7fy9lCLjchkuL2Ls/s1065/Screenshot_20240316-095118_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="734" data-original-width="1065" height="442" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhU5_DC6YH612c1fEhGsKEO52ZpT2r7lRb9kuZmeiCTDZrwLsqkaefV24suqN1dG2O4FPrYRSd_NsSURKEZTsN0qHxLAOBu0GfpfX89HhXzAst6UhAhu-bGSYaQTiab-R-VyLGGbZ9Xz0hKo2aA9_VB_aj0dhmI5bieMBHAXZcC-rB7fy9lCLjchkuL2Ls/w640-h442/Screenshot_20240316-095118_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijZuP4yHUBXoLtPOq6IWGzM4vxdoJgEklJPy9w8VQsrqt-i_KWGnheGvzRlzkmJqK_6_YxIKPK-ysCKQlquDLs8XJXfSyq6MFM5DXts9nwMY87MldTOFhTf7Y7TZTIBm3uyAGHSZWpVI0quIiijZwG6I4YNmi1IHh312mlZkMYq9uzZEh8o78_M-2kC_U/s1066/Screenshot_20240316-095133_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="768" data-original-width="1066" height="462" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijZuP4yHUBXoLtPOq6IWGzM4vxdoJgEklJPy9w8VQsrqt-i_KWGnheGvzRlzkmJqK_6_YxIKPK-ysCKQlquDLs8XJXfSyq6MFM5DXts9nwMY87MldTOFhTf7Y7TZTIBm3uyAGHSZWpVI0quIiijZwG6I4YNmi1IHh312mlZkMYq9uzZEh8o78_M-2kC_U/w640-h462/Screenshot_20240316-095133_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWTQrsnLO8SFecJVmV0N4AmdL5yYT-jBKevKDvqCEhBB2l6znKVVNkDr2zgAkpXrhS1AGAfMywvuwI_DEfY147EXlM88z3tf1KCXdS2CZ2Bglqe7edJQb59BO7IfJFoZoEk1u4DlvCqyavA7UfCgzq3t9eJWnEMNgp5DGLt3ruOa8WwWg8r4y7y3WU4GM/s1071/Screenshot_20240316-095146_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="746" data-original-width="1071" height="446" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWTQrsnLO8SFecJVmV0N4AmdL5yYT-jBKevKDvqCEhBB2l6znKVVNkDr2zgAkpXrhS1AGAfMywvuwI_DEfY147EXlM88z3tf1KCXdS2CZ2Bglqe7edJQb59BO7IfJFoZoEk1u4DlvCqyavA7UfCgzq3t9eJWnEMNgp5DGLt3ruOa8WwWg8r4y7y3WU4GM/w640-h446/Screenshot_20240316-095146_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-15068981257102833012024-03-13T10:21:00.000-07:002024-03-13T10:21:02.619-07:00MBOWE ABWAGWA MAHAKAMANI NA WAANDISHI<p> Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, amebwagwa kortini na waandishi wa habari 10, wanaomdai mtoto wake katika kesi aliyofungua kutaka wamlipe gharama kwa kukamata nyumba yake.</p><p><br /></p><p>Uamuzi huo umetolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania ya Kazi leo Machi 13 2024 mbele ya Naibu Msajili Mary Mrio kufuatia maombi ya Mbowe, yaliyowasilishwa kwa hati ya dharura chini ya kiapo cha Mbowe, aliyewakilishwa na Wakili John Mallya.</p><p><br /></p><p>Uamuzi huo wa Mahakama umetolewa baada ya kupitiwa hoja zote za mleta maombi.</p><p><br /></p><p>Hoja hizo za Mbowe ziliwasilishwa na Mbowe kupitia Wakili wake John Mallya, ambapo Mrio amesema mahakama iliona hakuna ubishi katika maombi ya kuiachia nyumba na kwamba kinachobishaniwa ni mleta maombi (Mbowe), kulipwa gharama za kesi na wajibu maombi, ambao ni waandishi wa habari 10 na dalali wa mahakama.</p><p><br /></p><p>Mrio amesema: "Mahakama iliangalia katika kesi hii kama gharama zilipwe au zisilipwe. Nimepitia Gazeti la Serikali (GN) namba 106 la mwaka 2007, lilielekeza kwamba kesi za aina hii hakuna sehemu inayoelekeza kulipa gharama."</p><p><br /></p><p>Kuhusu shauri hilo, Mrio amesema: "Mahakama inaona hakuna haja ya kutoa gharama, kila upande ubebe gharama zake na inatamka kwamba nyumba iliyokamatwa iko huru."</p><p><br /></p><p>Jana, waandishi wa habari 10 wanaomdai Dudley ambaye ni Mkurugenzi wa Tanzania Daima, Sh milioni 62.7, waliachia nyumba ya Freeman Mbowe waliyoikamata ili kuipiga mnada kufidia deni lao.</p><p><br /></p><p>Hata hivyo, waligomea kulipa gharama za kesi zilizoombwa na Mbowe wakieleza sababu hata wao wameingia gharama katika kudai haki yao.</p><p><br /></p><p>Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Kazi ilisikikiza shauli hilo mbele ya Naibu Msajili, Mary Mrio leo Machi 12,2024 ikieleza itatoa uamuzi kuhusu gharama kesho saa 8 mchana.</p><p><br /></p><p>Mbowe kupitia Wakili wake John Mallya aliwasilisha maombi chini ya kiapo kilichoapwa na Freeman Mbowe Februari 26 mwaka huu, akitaka wajibu maombi kuondoa nyumba hiyo kwa sababu si mali ya Dudley na Mahakama iwaamuru wajibu maombi hao kumlipa gharama za kesi mteja wake.</p><p><br /></p><p>Akizungumza kwa niaba ya wajibu maombi wenzake, Kulwa Mzee aliiambia mahakama kwamba walipitia nyaraka zote na viambatanisho husika, wamejiridhisha na kukubaliana kwa pamoja kwamba nyumba waliyoikamata ni ya familia, lakini inamilikiwa na Freeman Mbowe.</p><p><br /></p><p>"...Tumepitia nyaraka pamoja na viambatanisho ikiwemo hati ya nyumba. Tumejiridhisha kwamba mkurugenzi tunayemdai, Dudley Mbowe si mmiliki. Hivyo, tunaiomba Mahakama tuiondoe nyumba hiyo kwenye maombi yetu," alisema Kulwa na kuongeza:</p><p><br /></p><p>"Mheshimiwa, kuhusu gharama, kwa uelewa wetu, katika mashauri ya migogoro ya kikazi, hakuna gharama. Hiyo inatokana na uwezo na kipato kidogo cha wafanyakazi;</p><p><br /></p><p>"Wakati sisi tunafanya jambo hili, tulikuwa tukiamini kabisa kuwa ni nyumba ya mkurugenzi wetu kwa sababu katika hatua ya makubaliano, alikuwa anatuambia kuwa tutafanya vikao nyumbani kwake na tumefanya hapo vikao kwenye hiyo nyumba," amesema Kulwa.</p><p><br /></p><p>Ameongeza: "Mheshimiwa katika hatua za mwisho, baba yake ambaye ndiye mwombaji katika shauri hili alitualika tukutane hapo hapo tulipokuwa tukikutana. Tulikutana hapo, akakubali kubeba dhamana ya mtoto wake akakubali kutulipa mwezi Desemba."</p><p><br /></p><p>Kulwa alidai kutokana na mazingira hayo waliamini kuwa hapo ndipo nyumbani kwake mkurugenzi na baada ya kushindwa kuwalipa katika kutekeleza namna ya kupata haki yao ndio maana waliamua kukamata hiyo nyumba.</p><p><br /></p><p>"...Mheshimiwa tunaomba tusilipe gharama, kwanza huyu mwombaji hakuingia gharama kwani katika hatua zote za majadiliano tulikuwa tunakwenda kwake kwa gharama zetu wenyewe na ahadi zake za kutulipa Desemba 2023 ambazo alishindwa kutekeleza hilo lilituathiri, maana tulikuwa katika maandalizi ya siku kuu na ada za watoto shuleni,"amedai Kulwa.</p><p><br /></p><p>Aliomba Mahakama katika uamuzi kuhusu gharama ikiwezekana kila upande ubebe gharama zake.</p><p><br /></p><p>Kwa upande wake, dalali wa Mahakama Jesca Massawe ambaye ni mjibu maombi wa 11, alidai alipokea amri ya Mahakama kwa ajili ya kukamata hiyo nyumba.</p><p><br /></p><p>"Sisi madalali wa Mahakama katika kutekeleza majukumu yetu, tulikaa na Mahakama hii chini ya Jaji Mfawidhi akatuelekeza kuwa katika mashauri haya ya kukamata mali tusijihusishe na utambuzi wa mali bali tukamate na kama kuna changamoto basi italetwa mahakamani, " amesema.</p><p><br /></p><p>Ameongeza kwamba alitekeleza amri ya Mahakama kama ilivyoelekezwa.</p><p><br /></p><p>Wakili Mallya alijibu hoja hiyo akieleza kwamba anakubaliana na mjibu maombi Kulwa kwa aliyoyasema ya kuachia nyumba hiyo.</p><p><br /></p><p>Hata hivyo akasema: "Kuhusu suala la gharama, mteja mwombaji anastahili kulipwa gharama na mambo mengine aliyoyasema mjibu maombi alipaswa kuyaleta kwa njia ya kiapo."</p><p><br /></p><p>Amedai kuhusu hoja za mjibu maombi wa 11 ambaye ni dalali, kweli ni afisa wa Mahakama, lakini maelezo yake hayakuja kwenye kiapo. </p><p><br /></p><p>"Kwa kuwa anamtaja na Jaji Mfawidhi, haya yalipaswa kuja kwa njia ya kiapo na si maneno matupu mahakamani. Kwa hiyo naiomba Mahakama yako isiyazingatie na tunaomba mahakama izingatie suala la gharama,"alidai Mallya.</p><p><br /></p><p>Baada ya kusikiliza hoja za pande zote, Naibu Msajili Mrio aliahirisha shauri hadi leo saa nane mchana kwa ajili ya uamuzi.</p><p><br /></p><p>Katika shauri la msingi, mjibu maombi mwingine Maregesi Paul, aliomba kuyaondoa maombi ya kukamata nyumba hiyo na kuieleza Mahakama kwamba wanatarajia kuwasilisha maombi mengine upya ya kumkamata Dudley.</p><p><br /></p><p>"Maombi haya yameondolewa kwa kibali cha kuyaleta tena, "alisema Msajili.</p><p><br /></p><p>Mbowe alifungua shauri dhidi ya Maregesi Paul, Fidelis Felix, Christina Mwakangale, Janeth Josiah, Exuperius Kachenje, Hellen Sisya, Kulwa Mzee, Nora Damian, Makuburi Ally, Mkurugenzi wa Gazeti la Tanzania na Kampuni ya Udalali ya JJ Auctioneers& Debt Collectors.</p><p><br /></p><p>Februari 13 mwaka huu, Mahakama ilikubali maombi ya wadai na kumteua dalali wa Mahakama kukamata nyumba kwa ajili ya kuipiga mnada.</p><p><br /></p><p>Februari 28 mwaka huu, dalali wa Mahakama, Jesca Massawe alifanikiwa kubandika matangazo ya kukamata nyumba ya Mkurugenzi tayari kupigwa mnada kufidia deni la malimbikizo ya mishahara wafanyakazi.</p><p><br /></p><p>Naibu Msajili wa Mahakama Kuu, Mary Mrio alitoa amri hiyo baada ya kupitia hoja za washinda tuzo katika Tume ya Usuluhishi na Uamuzi(CMA) Julai 2023.</p><p><br /></p><p>Shauri hilo namba 28461 la mwaka 2023, wadai Maregesi Paul na wenzake tisa dhidi ya Mkurugenzi wa Gazeti la Tanzania Daima, Dudley Mbowe.</p><p><br /></p><p>Baada ya mdaiwa kukaidi kulipa, wadai walikubaliana njia sahihi kukamata nyumba yake namba 9 iliyopo Mtaa wa Feza , Mikocheni B barabara ya Chipaka na Mahakama ilikubali.</p><p><br /></p><p>Walalamikaji hao walipata tuzo Julai 17 mwaka 2023 mbele ya Msuluhidhi wa CMA Ilala, Bonasia Mollel.</p><p><br /></p><p>Madai ya awali yalikuwa jumla ya Sh milioni 114 baada ya kukaa mezani kwenye majadiliano kwa pamoja kiwango hicho cha fedha kilishuka na kufikia Sh milioni 62.7.</p><p><br /></p><p>Dudley alikubali kulipa fedha hizo kwa awamu tatu, Oktoba 30, Desemba 30 mwaka 2023 na awamu ya mwisho ilikuwa mwishoni Februari mwaka huu, lakini hakulipa.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgBu5VLgEvdo3hkv1dirwgu-gtYRSXfK5Dw-TCai7XZP2sMj2ygnsYq2ZUIHIV-KMlDQd5wBXY9actEboHqcCYxXRVAxiE-i1b94tjFiJuKvF7bU1PshFsFt4ENvoYsu5bc_lVz3LotztAuYsmVMkvyEDEekXdPVZn3v1OwscHSGco33_4K0MiyXIJiydw/s289/images%20(1).jpeg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="175" data-original-width="289" height="242" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgBu5VLgEvdo3hkv1dirwgu-gtYRSXfK5Dw-TCai7XZP2sMj2ygnsYq2ZUIHIV-KMlDQd5wBXY9actEboHqcCYxXRVAxiE-i1b94tjFiJuKvF7bU1PshFsFt4ENvoYsu5bc_lVz3LotztAuYsmVMkvyEDEekXdPVZn3v1OwscHSGco33_4K0MiyXIJiydw/w400-h242/images%20(1).jpeg" width="400" /></a></div><br /><p><br /></p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-25891816016438559502024-02-26T07:55:00.000-08:002024-02-26T07:55:45.574-08:00Wafanyakazi 10 wa zamani wa kampuni ya Security Group of Africa (SGA) wahukumiwa jela miaka miwili<p> </p><p>Na Karama Kenyunko</p><p><br /></p><p>Wafanyakazi 10 wa zamani wa kampuni ya Security Group of Africa (SGA) wamehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka miwili gerezani baada ya kukiri kutenda kosa la wizi wa sh. milioni 780 mali ya benki ya NMB.</p><p><br /></p><p>Mahakama pia imetaifisha mali na fedha ambazo washitakiwa hao walikamatwa nazo ama walizipata kutokana na wizi huo.</p><p><br /></p><p>Washitakiwa wamesomewa adhabu hiyo leo Februari 26, 2024 na Hakimu Mkazi Rahim Mushi wa mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya washitakiwa hao kuingia makubaliano ya kukiri kosa na Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP)</p><p><br /></p><p>Washitakiwa hao ni Menjestu Mselema, Tulipo Mwankiusye, Bernard Macheba, Joseph Mwatonoka, Juma Mbulinda, Joseph Mpondo, Englibert Masane, Beda Mmali, Kaisi Nasibu na Oswald Mselema.</p><p><br /></p><p>Akisoma hukumu hiyo, hakimu Mushi amesema, amezingatia maombi ya washtakiwa kupitia wakili wao Albert Kikuli kwamba washtakiwa ni wakosaji wa mara ya kwanza na pia wapo mahabusu miaka minne sasa.</p><p><br /></p><p>"Pia nimezingatia hoja kwamba washitakiwa hawajaisumbua mahakama na pia waliingia makubaliano hayo na DPP kwa hiyari yao wenyewe" amesema Hakimu Mushi. </p><p><br /></p><p>Hakimu amesema kutokana na hali hiyo, washtakiwa hao wanahukumiwa kulingana na mkataba wa maridhiano waliyoingia ikiwemo kifungo cha miaka miwili gerezani na kurejesha fedha na mali zote walizokamatwa nazo ambazo zilitokana na wizi huo.</p><p><br /></p><p>Katika kesi hiyo, washitakiwa hao walikuwa wakikabiliwa na mashtaka matatu ambayo ni kula njama ya kutenda kosa la wizi, wizi na utakatishaji fedha.</p><p><br /></p><p>Ilidaiwa kwamba kati ya Juni mosi hadi 8 mwaka 2020 jijini Dar es Salaam, washitakiwa hao walikula njama ya kutenda kosa la wizi.</p><p><br /></p><p>Ikadaiwa, Juni 8 mwaka 2020 eneo la NMB tawi la Mbezi Beach washtakiwa waliiba Sh. milioni 780 mali ya NMB.</p><p><br /></p><p>Katika shitaka la tatu, washitakiwa hao wanadaiwa kwamba , katika tarehe tofauti kati ya Juni mosi hadi 30 mwaka huo huo, washtakiwa walitakatisha fedha hizo kwa kununua vitu mbalimbali wakati wakijua fedha hizo zilitokana na kosa la wizi.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirw_x8mUpHODf3sNvFQoDYtFicFmSvAZNe-wJl97EVFei-7OaKmugGj5D93BLeZwD5VHSQ9BBaNMuGf0X7BZqnafrthYt-hmD1yNVDj15Cd1vcw7sqtgz8VIzo2B0iAGgRvetgRdpLS8CraJC627tRmBR9e-zQGXZZnjCprtOU1zNfB334dOsVapnT-No/s1080/IMG-20240226-WA0168.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="717" data-original-width="1080" height="424" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirw_x8mUpHODf3sNvFQoDYtFicFmSvAZNe-wJl97EVFei-7OaKmugGj5D93BLeZwD5VHSQ9BBaNMuGf0X7BZqnafrthYt-hmD1yNVDj15Cd1vcw7sqtgz8VIzo2B0iAGgRvetgRdpLS8CraJC627tRmBR9e-zQGXZZnjCprtOU1zNfB334dOsVapnT-No/w640-h424/IMG-20240226-WA0168.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRXWrdjIkRXXC5aHsZgIs_-ebRNgj8swfP4fci08uWYBCUrUZTsghSHOFdq7S4BT-COHC8O_wLTpBsjDc6m_gXxNgDd1NmbX_kBdo5GsJUtLXn7OSKSPkm-HVpcyf1WHj6Y_wXE2MlambuhukTDYGnZGPM9-qDQ2O_OROstX1_XYAr_b57ysS-LqZgokw/s1080/IMG-20240226-WA0169.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="717" data-original-width="1080" height="424" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRXWrdjIkRXXC5aHsZgIs_-ebRNgj8swfP4fci08uWYBCUrUZTsghSHOFdq7S4BT-COHC8O_wLTpBsjDc6m_gXxNgDd1NmbX_kBdo5GsJUtLXn7OSKSPkm-HVpcyf1WHj6Y_wXE2MlambuhukTDYGnZGPM9-qDQ2O_OROstX1_XYAr_b57ysS-LqZgokw/w640-h424/IMG-20240226-WA0169.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p><p><br /></p><p>Mwisho</p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-75534210659239267132024-02-24T08:41:00.000-08:002024-02-24T08:41:55.398-08:00NEC YATOA VIBALI VYA ELMU YA MPIGA KURA NA WATAZAMAJI WA UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI KATA 23.<p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><br /></div><p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><br /></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><div class="separator" style="clear: both;"><br /></div><div class="separator" style="clear: both;">Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) katika kikao chake cha tarehe 24 Februari, 2024, kilichofanyika katika Ofisi za Tume Jijini Dodoma imetoa vibali vya kutoa elimu ya mpiga kura wakati wa uchaguzi mdogo wa Udiwani katika kata 23 za Tanzania Bara utakaofanyika tarehe 20 Machi, 2024 kwa asasi za kiraia 11.</div><div class="separator" style="clear: both;"><br /></div><div class="separator" style="clear: both;">Kwa Mujibu wa Taarifa kwa Vyombo vya Habari iliyosainiwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima, R. K imeainisha Asasi za kiraia 11 ambazo zimekidhi vigezo na kupewa vibali vya kutoa elimu ya mpiga kura pamoja na kata walizoomba kutoa elimu hiyo kuwa ni Mbogwe Legal Aid Organization (MBOLAO) Isebya iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe, Sustainable Hub for Policy Initiatives (SHPI) Mshikamano iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Musoma.</div><div class="separator" style="clear: both;"><br /></div><div class="separator" style="clear: both;">Asasi zingine ni Promotion and Women Development Association (PWDA) Kasingirima iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji, Bagamoyo Community Capacity Empowerment and Education (BCCEE) Fukayosi iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, Action for Democratic Governance (A4DG) Kimbiji iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni.</div><div class="separator" style="clear: both;"><br /></div><div class="separator" style="clear: both;">Asasi zingine ni Vanessa Foundation ambayo itatoa elimu katika kata ya Nkokwa iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyela, Tanzania Centre for Disability Development Initiatives (TCDDI) Nkokwa iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyela, Safe Society Platform Tanzania (SSPT) Busegwe iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Butiama na Isebya iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe</div><div class="separator" style="clear: both;">Asasi zingine za kiraia zilizopata kibali ni Youth Against Aids and Poverty Association (YAAPA) ambayo itatoa elmu katika kata ya Kasingirima iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji, Musoma Municipal Paralegal Organisation (MMPO) Mshikamano iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Musoma.</div><div class="separator" style="clear: both;"><br /></div><div class="separator" style="clear: both;">Asasi nyingine iliyopata kibali ni Shirika la Elimu ya Uraia na Uzalendo “Civic Education and Patriotism Association” iliyoomba kutoa Elimu katika kata za Kimbiji iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni, Msangani iliyopo katika Halmashauri ya Mji Kibaha, Fukayosi iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, Mlanzi iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti na Kibata iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa.</div><div class="separator" style="clear: both;"><br /></div><div class="separator" style="clear: both;">Wakati huo huo, Tume pia imetoa kibali kwa asasi za kiraia tatu ambazo zimekidhi vigezo ili ziweze kutazama uchaguzi mdogo wa Udiwani katika Kata 23 za Tanzania Bara.</div><div class="separator" style="clear: both;"><br /></div><div class="separator" style="clear: both;">Asasi hizo tatu zitakazoenda kutazama uchaguzi Mdogo wa udiwani siku ya Jumatano tarehe 20 Machi, 2024 ni Tanzania Alliance for Disability Development Initiatives itakayokuwa katika kata ya Mhande iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba, Bridge Development Trust Organisation itakuwa katika kata ya Buzilasoga iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema na Promotion and Women Development Association itayokuwa katika Kata ya Kasingirima iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji.</div><div class="separator" style="clear: both;"><br /></div><div class="separator" style="clear: both;">Aidha, katika kikao hicho, Tume imezitaka asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura, kuzingatia Mwongozo wa Elimu ya Mpiga Kura wa Mwaka 2020 katika kipindi chote cha kutoa elimu hiyo katika uchaguzi mdogo.</div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiXLa6loiuNSm4kYR6TiGi8JT6R_1rzYlpvVMEl6CiCT16sNw2YI4XMPWXkGEfmto8VnP5LiDYv7dORWd9t76_PgKSNvVRTtgBLVsaL0yobCe_0gzgheIx8cQKforMQqAaz70BqN7RlBw53ohH76vwx_CrVrUVxMiLtQJ1m47hK0XwQO-TSnCLeuYrtSYs/s1080/Screenshot_20240224-194019_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="649" data-original-width="1080" height="384" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiXLa6loiuNSm4kYR6TiGi8JT6R_1rzYlpvVMEl6CiCT16sNw2YI4XMPWXkGEfmto8VnP5LiDYv7dORWd9t76_PgKSNvVRTtgBLVsaL0yobCe_0gzgheIx8cQKforMQqAaz70BqN7RlBw53ohH76vwx_CrVrUVxMiLtQJ1m47hK0XwQO-TSnCLeuYrtSYs/w640-h384/Screenshot_20240224-194019_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both;"><br /></div></div><p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"> </div><br /> <p></p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-66762450805557131112024-02-24T07:32:00.000-08:002024-02-24T07:32:51.613-08:00Wakuu wa Idara na Watendaji kukiona wasipokamilisha miradi kwa wakati<p> </p><p>Na Humphrey Shao,Michuzi TV </p><p><br /></p><p>MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ametoa angalizo kwa wakuu wa Idara na watendaji katika Wilaya hiyo, watakaoshindwa kukamilisha miradi kwa wakati na viwango vinavyohitajika kuwajibishwa.</p><p><br /></p><p>Mpogolo ameyasema hayo leo Jijini Dar es Salaam, wakati akifungua mafunzo ya mabadiliko ya mtazamo katika usimamizi wa miradi ya Wilaya ya Ilala, kwa wakuu na viongozi mbalimbali wa Idara katika wilaya hiyo, yaliyoanza leo na kutarajiwa kumalizika kesho.</p><p><br /></p><p>Mpogolo amesema, mafunzo hayo ni matokeo ya mwaka mmoja baada ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo na kubaini uwepo wa mapungufu, ambapo amesema kuwa, kupitia mafunzo hayo hivi sasa wakuu wa idara na watendaji watakuwa na uwezo wa kuisimia kikamilifu na watakaofanya tofauti watachukuliwa hatua.</p><p> </p><p>" Mafunzo haya ni matokeo ya mwaka mmoja baada ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo na kubaini mapungufu katika miradi hiyo kwa waandisi, watu wa manunuzi, wachumi nk hivyo natumai kupitia mafunzo haya miradi itakamilika kwa viwango vinavyohitajika na wakati ikiwa pamoja na utolewaji wa taarifa kwa wakati kwa upande wa wachumi, endapo kutakuwa na mtu ambaye atafanya tofauti baada ya mafunzo haya basi ni lazima atawajibishwa.amesema mpogolo.</p><p><br /></p><p>Amesema ni vyema watumishi, wakuu wa idara, kamati za ununuzi, waandisi na kamati za ujenzi kubadilika katika usimamizi wa Miradi ya maendeleo ili ilete tija kwa wananchi baada ya mafunzo hayo yaliyotolewa na Mkuu wa Chuo Cha Usimamizi wa Miradi, Lwitiko Mwalukasa.</p><p><br /></p><p>Aidha ameongeza kuwa, Ilala ndiyo Halmashauri inayoongoza kwa mapato kuliko Halmashauri zote, hivyo ni vyema hata miradi yake ikawa yenye kiwango cha kuvutia zaidi, huku akiwataka watendaji wa Kata kutoa taarifa sehemu husika pindi wanapoona kusuasua kwa miradi.</p><p><br /></p><p>Kwa upande wake, Meya wa Jiji la Dar es salaam, Omary KumbilaMoto, amemshukuru Mkuu wa Wilaya hiyo kwa kuwapa fursa ya mafunzo hayo, ambayo anaamini yataleta Mabadiliko katika miradi mingi ikiwa pamoja na kukamilika kwa wakati. </p><p><br /></p><p>Nae Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Jomaary Satura, amesema kupitia mafunzo hayo atahakikisha anaongeza nguvu katika Mapinduzi ya usimamizi kamilifu wa miradi na kuhakikisha inajulikana tarehe ya kuanza na kukamilika kwake. </p><p><br /></p><p>Mafunzo hayo yameshirikisha wakuu wa idara, maafisa tarafa, maafisa ununuzi, waandisi, wachumi, wenyeviti wa kamati za kudumu, maafisa elimu kata, watendaji kata na mameneja kanda. </p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiYQoJJ0geXomqKTKLccrHHm2ms1H_lZSmWLKshmqvmjyizPYrZJ6qFL7U1LymOzLWoknsREyTG0UfXm43UG4AofATZMWCLSCqOF-kAVNM8LheqUEQvOuJfqv1RzfuVecpLGWQCk8GwwFUV9MpG4cuhWDr61V9OzboPDEwZqcsc9tl5YerYLZdx0tILW7s/s1075/Screenshot_20240224-182916_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="784" data-original-width="1075" height="466" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiYQoJJ0geXomqKTKLccrHHm2ms1H_lZSmWLKshmqvmjyizPYrZJ6qFL7U1LymOzLWoknsREyTG0UfXm43UG4AofATZMWCLSCqOF-kAVNM8LheqUEQvOuJfqv1RzfuVecpLGWQCk8GwwFUV9MpG4cuhWDr61V9OzboPDEwZqcsc9tl5YerYLZdx0tILW7s/w640-h466/Screenshot_20240224-182916_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiPhmtbX0DqsCyJMMUTL_y0CDZQvmLhS4Dzn04hmaXhqY8NffkdVLsPHZEyltW3uB-aEUvO8jQz56VYKDHi5eWiHXHSqx7mXBmliuXr5tOzMvTsspYCVFYS2okL_074VgsKYIyPZa3UYmypk-3pM_2zv2TpFCeXHPfSHq2z8K53VuWm1Zd0Ib-1AMqlAEI/s1080/Screenshot_20240224-182933_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="682" data-original-width="1080" height="404" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiPhmtbX0DqsCyJMMUTL_y0CDZQvmLhS4Dzn04hmaXhqY8NffkdVLsPHZEyltW3uB-aEUvO8jQz56VYKDHi5eWiHXHSqx7mXBmliuXr5tOzMvTsspYCVFYS2okL_074VgsKYIyPZa3UYmypk-3pM_2zv2TpFCeXHPfSHq2z8K53VuWm1Zd0Ib-1AMqlAEI/w640-h404/Screenshot_20240224-182933_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhVN5h3TlpimH6foumHLuN1yPeeMkUL55u10kMsyVG5Pwcx1H4ZNbfgKAkVPv5T2biuVUSzh591Mw4O6CRL55F9AynHqAdhtbE9PjNAjV4v33b5NBRwQ9QRzJqjZ20N6KCibz9A3NInkxd8mqf-GBiZv_tG8V5UpZL1jUNWDZIvekLnjRTthbjct8Yl2Q4/s1071/Screenshot_20240224-182953_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="684" data-original-width="1071" height="408" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhVN5h3TlpimH6foumHLuN1yPeeMkUL55u10kMsyVG5Pwcx1H4ZNbfgKAkVPv5T2biuVUSzh591Mw4O6CRL55F9AynHqAdhtbE9PjNAjV4v33b5NBRwQ9QRzJqjZ20N6KCibz9A3NInkxd8mqf-GBiZv_tG8V5UpZL1jUNWDZIvekLnjRTthbjct8Yl2Q4/w640-h408/Screenshot_20240224-182953_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiUEz-h0TSgwEjTQsKaRMhVqMrT2GspaPd_rIBZQ3SlhrQtHN_1XMkSiaF2NGCsv3tE81PECWDsLOdiyb3NBd6NWIwbunOmIvmN57eMNsRyp9CNf-yDJGioR7ZtWSinlaajQk-IiosRzYjpm4YMvD1KK7SOCtkDG1QwpU2HA9YyGBjl2OmZJPhrtZQzCsk/s1080/Screenshot_20240224-183017_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="596" data-original-width="1080" height="354" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiUEz-h0TSgwEjTQsKaRMhVqMrT2GspaPd_rIBZQ3SlhrQtHN_1XMkSiaF2NGCsv3tE81PECWDsLOdiyb3NBd6NWIwbunOmIvmN57eMNsRyp9CNf-yDJGioR7ZtWSinlaajQk-IiosRzYjpm4YMvD1KK7SOCtkDG1QwpU2HA9YyGBjl2OmZJPhrtZQzCsk/w640-h354/Screenshot_20240224-183017_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBz-84Jkg9oH6BbYOVAA9rTHfnmNUqCCmnje3Sc6-WZWWruwYU0KbUV89AIaNOEGIIkeG9qSKLxUwW9ehhctO4XwSfvjOTbFNTvoKyMKEILmWHhPlRAlFoFfHPt13LAq83W5PmJbBO2RQF4-yTYy7ri2riXfh16eAQUGWSZlGc6KNQdcRiyHkf-zp1tjY/s1079/Screenshot_20240224-183101_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="712" data-original-width="1079" height="422" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBz-84Jkg9oH6BbYOVAA9rTHfnmNUqCCmnje3Sc6-WZWWruwYU0KbUV89AIaNOEGIIkeG9qSKLxUwW9ehhctO4XwSfvjOTbFNTvoKyMKEILmWHhPlRAlFoFfHPt13LAq83W5PmJbBO2RQF4-yTYy7ri2riXfh16eAQUGWSZlGc6KNQdcRiyHkf-zp1tjY/w640-h422/Screenshot_20240224-183101_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p><p>Mwisho</p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-47632946923404371562024-02-22T22:29:00.000-08:002024-02-22T22:29:21.819-08:00 RC CHALAMILA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI JIMBO LA KAWE<p><br /></p><p>Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 22, 2024 amehitimisha ziara yake Wilaya ya Kinondoni katika jimbo la Kawe kwa kukagua miradi na kuzungumza na Wananchi eneo la Mabwepande-Kinondo</p><p><br /></p><p>RC Chalamila katika ziara hiyo amefungua nyumba ya Mwalimu(2 in 1) Katika shule ya Sekondari Godwin Gondwe Kunduchi ambapo alipata wasaa wa kuzungumza na wanafunzi pamoja walimu wa Shule hiyo huku akiwataka wanafunzi kusoma kwa bidii kutokana na uwekezaji mkubwa ambao Rais Dkt Samia amefanya na anaendelea kufanya.</p><p><br /></p><p>Aidha RC Chalamila pia amekagua mradi wa Hospital ya Wilaya ya Kinondoni- Mabwepande ambayo imejengwa kisasa inatoa huduma mbalimbali za Afya, vifaa tiba vya kisasa kwa sasa imeanza kutoa huduma za kuhifadhi maiti ambapo kwa siku inaweza kuhifadhi maiti 12 kwa wakati mmoja.</p><p><br /></p><p>Vilevile RC Chalamila ametembelea kiwanda cha Smart Industry Limited kujionea uzalishaji na Changamoto ambapo amesema Serikali ya Mkoa inavutia uwekezaji wa ndani na nje kwa masilahi mapana ya wakazi wa Mkoa na Taifa kwa Ujumla</p><p><br /></p><p>Sambamba na hilo RC Chalamila amefanya mkutano wa hadhara na Wananchi wa Mabwepande-Kinondo ambapo amesikiliza kero mbalimbali ikiwemo kero za urasimishaji wa Ardhi, migogoro ya Ardhi, Barabara, ufinyu wa huduma ya usafiri wa umma na nyingine nyingi ambapo kero nyingi zilizoibuliwa zilipatiwa majawabu papo hapo kwa kuwa katika ziara hiyo Mhe RC Chalamila ameambatana na wataalam wa sekta zote.</p><p><br /></p><p>Pia RC Chalamila wakati wa mkutano huo wa hadhara amekabidhi vitendea kazi (Pikipiki) kwa jeshi la polisi na Bajaji kwa maafisa biashara wa Manispaa kwa ajili ya kukusanya Mapato.</p><p><br /></p><p>Ifahamike kuwa Mhe Albert Chalamila ameridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika jimbo la Kawe-Kinondoni na amewataka viongozi wa Wilaya hiyo kuendelea kusikiliza na kutatua kero za wananchi, ambapo Februari 23, 2024 anatarajia kuendelea na ziara yake Wilaya ya Ubungo.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh1gp-Gy-io1qJK9ZZjgVNERPSMMxG2xXl1iLNuhhYRF90SeR-mO6D9hvGKo9NeCVMhgMx9B7VDWo_EKEHSx1azkxOi-48MmsTCOKavX7goSmgWoILXhEpJIYS_odt9KwxpCNw4Xb4nBlP0mCiq9PJoJl72XeazVQ74bmmPgeOP7xe8tf7M0k21QQF3-o0/s4032/20240222_151554.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2268" data-original-width="4032" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh1gp-Gy-io1qJK9ZZjgVNERPSMMxG2xXl1iLNuhhYRF90SeR-mO6D9hvGKo9NeCVMhgMx9B7VDWo_EKEHSx1azkxOi-48MmsTCOKavX7goSmgWoILXhEpJIYS_odt9KwxpCNw4Xb4nBlP0mCiq9PJoJl72XeazVQ74bmmPgeOP7xe8tf7M0k21QQF3-o0/w640-h360/20240222_151554.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj-QAaDUcSIKgG54jZOz5L3SvRa5SZ9RtBdKZeW7y3RWpfKxFdbhIas8_GJn-cNS9N5EcK2nZEV25jVw4NrlTIXYmlERX_oS4AkZGpXLUswZG55nHRn00RDq6VGMaoMwu24qDUSdc1tOLwhIz7Ngp6fr35ha65pf2zzgvGJXSBopsMLYNVvJ6s94rtqDJI/s4032/20240222_151556.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2268" data-original-width="4032" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj-QAaDUcSIKgG54jZOz5L3SvRa5SZ9RtBdKZeW7y3RWpfKxFdbhIas8_GJn-cNS9N5EcK2nZEV25jVw4NrlTIXYmlERX_oS4AkZGpXLUswZG55nHRn00RDq6VGMaoMwu24qDUSdc1tOLwhIz7Ngp6fr35ha65pf2zzgvGJXSBopsMLYNVvJ6s94rtqDJI/w640-h360/20240222_151556.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhwhvnRZqRBfl-ZSZzyrCOs47mLGyyyN6CJKo8itJhZsRlBKEhwvSz5ru4vIgBEV_rgSf5bdtvCYan3LBbpNxMx33nGutCRoOdMXoTgPdDxdPSu5M8wMYg10E_IMJ3kGx17GWZaSQibuaR9AhUi7kgyTw3AJAf1jKhELGjh4RAHJVEnFiSOyfFMV5MfqlM/s1080/IMG-20240223-WA0080.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="1080" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhwhvnRZqRBfl-ZSZzyrCOs47mLGyyyN6CJKo8itJhZsRlBKEhwvSz5ru4vIgBEV_rgSf5bdtvCYan3LBbpNxMx33nGutCRoOdMXoTgPdDxdPSu5M8wMYg10E_IMJ3kGx17GWZaSQibuaR9AhUi7kgyTw3AJAf1jKhELGjh4RAHJVEnFiSOyfFMV5MfqlM/w640-h426/IMG-20240223-WA0080.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjTjH2hwkIox3S-EEjoSepMZbHhznE9NUC-O-MKLxPyKPF5yWtW-rD9PAbY8f9yxYHAKINCojfAjheHrKStBeGUk1Ud2kj2UIFEnqYuM_E-BLDupFpidLzX1jE35mYekV_xrTtH9NPABQsEKWhBGsDlVkr0VuQByg5dKBT0AUffsYg8WSvg2ef2GqUgPxc/s1080/IMG-20240223-WA0081.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="650" data-original-width="1080" height="386" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjTjH2hwkIox3S-EEjoSepMZbHhznE9NUC-O-MKLxPyKPF5yWtW-rD9PAbY8f9yxYHAKINCojfAjheHrKStBeGUk1Ud2kj2UIFEnqYuM_E-BLDupFpidLzX1jE35mYekV_xrTtH9NPABQsEKWhBGsDlVkr0VuQByg5dKBT0AUffsYg8WSvg2ef2GqUgPxc/w640-h386/IMG-20240223-WA0081.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhxMn_T1I5bj-_1VUn7X6jakCPbvgN9qe7WrPuUtMqlF8vM1DpufJ-jEfuegKLKNA7UmycB9DXh9ewT7gzicCXiVQQW46tnTwwQQ6eKfbbwfZ9oGBcq0VC-ETNTJQIx6yWPHPDrpcXTNeLm_cqDf7osHIMa_s5JPQkHof4LktX0ePzi8NnFuXHiSss2UQI/s1080/IMG-20240223-WA0082.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="771" data-original-width="1080" height="456" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhxMn_T1I5bj-_1VUn7X6jakCPbvgN9qe7WrPuUtMqlF8vM1DpufJ-jEfuegKLKNA7UmycB9DXh9ewT7gzicCXiVQQW46tnTwwQQ6eKfbbwfZ9oGBcq0VC-ETNTJQIx6yWPHPDrpcXTNeLm_cqDf7osHIMa_s5JPQkHof4LktX0ePzi8NnFuXHiSss2UQI/w640-h456/IMG-20240223-WA0082.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjY5WTCNjJI7A-oMSzoZZm90qLQ35UQgJ2tAt7Bwg5FsHtJL-Kam4oOHQn2KpOtPRP73GBF3DV3hJthZTrm94t-bAwDInManAgioUu1D0_wsXJVy5qMWG9FbyktMpnnlnSnN2G5AjX2fLDTga7VJwCjAUi2PZhNN3dLP_Wv3yIt7WOW4ikIX4vAug0ugyo/s1080/IMG-20240223-WA0084.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="607" data-original-width="1080" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjY5WTCNjJI7A-oMSzoZZm90qLQ35UQgJ2tAt7Bwg5FsHtJL-Kam4oOHQn2KpOtPRP73GBF3DV3hJthZTrm94t-bAwDInManAgioUu1D0_wsXJVy5qMWG9FbyktMpnnlnSnN2G5AjX2fLDTga7VJwCjAUi2PZhNN3dLP_Wv3yIt7WOW4ikIX4vAug0ugyo/w640-h360/IMG-20240223-WA0084.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEisPJ0pCypz1BOB_ZOvAZnl8JqQM7fTQyWIh59JIFLJ1d6KH5BBUI9cXa40odQfS2OimZ_lu8-fzRQXGAmqurbtATG9HTLl3BzdWvnNWcd0zHZHJkN9oH8n3r5wsOQmv6p7Y8awYIj2CxUtAMPOcr5X0XOR2WBW8lU9caya5DH288mlOuhN4pvh6Y_KqWU/s1080/IMG-20240223-WA0085.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="637" data-original-width="1080" height="378" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEisPJ0pCypz1BOB_ZOvAZnl8JqQM7fTQyWIh59JIFLJ1d6KH5BBUI9cXa40odQfS2OimZ_lu8-fzRQXGAmqurbtATG9HTLl3BzdWvnNWcd0zHZHJkN9oH8n3r5wsOQmv6p7Y8awYIj2CxUtAMPOcr5X0XOR2WBW8lU9caya5DH288mlOuhN4pvh6Y_KqWU/w640-h378/IMG-20240223-WA0085.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-6644818874970411862024-02-22T10:20:00.000-08:002024-02-22T10:20:10.793-08:00WAZIRI SILAA AMKABIDHI DIAMOND HATI TATU ZA ARDHI<p><br /></p><p><br /></p><p><br /></p><p>Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa amemkabidhi Msanii wa kizazi kipya Nasibu Abdul (Diamond Platnum) hati za umiliki wa viwanja vitatu anavyovimiliki katika maeneo mbalimbali jijini Dar es salaam.</p><p><br /></p><p>Makabidhiano hayo yamefanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Bunju "A" Februari 22, 2024 jijini Dar es salaam ambapo Kliniki ya Ardhi inaendelea.</p><p><br /></p><p>Akizungumza mara baada ya kukabidhi hati hizo Waziri Silaa amewahamasisha wananchi maeneo mbalimbali nchini kujitokeza kumiliki viwanja vyao kwa kufuata utaratibu wa umilikishaji hadi kukabidhiwa hati zao.</p><p><br /></p><p>Kwa upande wake Msanii Diamond ameishukuru Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na ubunifu wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kuja na wazo la Kliniki ya Ardhi ambayo inawasaidia watu kupata hati zao kwa muda mfupi tofauti na mchakato wa awali ambao ulikuwa unatumia muda mrefu zaidi kupata hati. </p><p><br /></p><p>Aidha, Msanii Diamond amewasihi wasanii nchini, watumie fursa hii inayotolewa na Wizara ya Ardhi kwa kuendesha Kliniki ya Ardhi katika maeneo mbalimbali nchini ili wapate hati za viwanja vyao na kukuza uchumi wao.</p><p><br /></p><p>Zoezi la Kliniki ya Ardhi kwa wakazi wa Wilaya ya Kinondoni linaloendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Bunju "A" jijini Dar es salaam limeanza Februari 19 na litahitimishwa Februari 28, 2024 na baadae kuahamia Kata ya Mwenge katika mkoa wa Dar es salaam Dar es salaam.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEju0j4nsUY3PrWdnTLzdJebBxq7akOqiPEC0qLSiVFIIhFmUjyrqfFbfQPXWICA09zmmrvH9R0rqLcFFndrf9V-2AkTe__gfopO4Z6cPFqIEZiBdFV-Yv7JaeE7-aZyotdKc3n205CkFailEk0H-nP4xLJdIX4B16RzFPmo5AcAsWvwaiL5KSUomk_U7k0/s720/2a86c041bcc9436691210a85ce80db8e.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="720" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEju0j4nsUY3PrWdnTLzdJebBxq7akOqiPEC0qLSiVFIIhFmUjyrqfFbfQPXWICA09zmmrvH9R0rqLcFFndrf9V-2AkTe__gfopO4Z6cPFqIEZiBdFV-Yv7JaeE7-aZyotdKc3n205CkFailEk0H-nP4xLJdIX4B16RzFPmo5AcAsWvwaiL5KSUomk_U7k0/w640-h640/2a86c041bcc9436691210a85ce80db8e.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiwMNiJl7vAZBdRvDs12ZDB-nvWqjSGMmzw-QemCKHczs3kgcmb6KmHMu0LKBBT9UestimKLbLBetqvJgU0Vi3RBQkzdX7_FH9GT6Pcg3z3-WxQHykP77Nvp2qWtX0j8uxAxyV2BKB7xxkD5x4_Nolq4shkVgzJRXyrLwEFnEUuMnhjURtpSZAoSoRqimY/s720/2cfce460b9d948c89befc568c49b171a.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="720" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiwMNiJl7vAZBdRvDs12ZDB-nvWqjSGMmzw-QemCKHczs3kgcmb6KmHMu0LKBBT9UestimKLbLBetqvJgU0Vi3RBQkzdX7_FH9GT6Pcg3z3-WxQHykP77Nvp2qWtX0j8uxAxyV2BKB7xxkD5x4_Nolq4shkVgzJRXyrLwEFnEUuMnhjURtpSZAoSoRqimY/w640-h640/2cfce460b9d948c89befc568c49b171a.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhYbVfpBC3yZ_-YzOknNeKn3S2wSUu_eQbB7iujhvWrAAgOwyk3osQUDgVlwny_td3aJpOrgciL442Qn2m6lpMo7X7Tuom1KVYlmQBGwBC3oFcE0ouCeZEU9lShPXMpHVA7wkLJowgxKapLZ9fSiMZP9hgx_5-CDSc2LhhbDE5v3-kiaT4uZAPxER55X7M/s720/84c000ad397445648e7c2c36b1ac3cc3.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="720" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhYbVfpBC3yZ_-YzOknNeKn3S2wSUu_eQbB7iujhvWrAAgOwyk3osQUDgVlwny_td3aJpOrgciL442Qn2m6lpMo7X7Tuom1KVYlmQBGwBC3oFcE0ouCeZEU9lShPXMpHVA7wkLJowgxKapLZ9fSiMZP9hgx_5-CDSc2LhhbDE5v3-kiaT4uZAPxER55X7M/w640-h640/84c000ad397445648e7c2c36b1ac3cc3.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiPeI25_06Dr6lij355OMo0jGRGYJj4LX1Mdw-dnDDxQbFiKvoc5SGPHF7oyla202l2T4J0VEa3IiD9QkMUdTFbQJgSXelVwU-CbmxP1cyvPbe2eikA-oPt6i0LH1NsmdgT5vBc3jxyU5krZib_d5aTc9K03-3eB15H4ZPD2d8mdMkRrVF0djrr9DHGxEg/s720/58322bc431534e1b83c9c987a0b70bda.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="720" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiPeI25_06Dr6lij355OMo0jGRGYJj4LX1Mdw-dnDDxQbFiKvoc5SGPHF7oyla202l2T4J0VEa3IiD9QkMUdTFbQJgSXelVwU-CbmxP1cyvPbe2eikA-oPt6i0LH1NsmdgT5vBc3jxyU5krZib_d5aTc9K03-3eB15H4ZPD2d8mdMkRrVF0djrr9DHGxEg/w640-h640/58322bc431534e1b83c9c987a0b70bda.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh37VGzr5xA6uZGXnyJJ9iy4kFfsok_THaKc7GZGNvnN8kaIWWI2aR4qLwD7Ovkjt3OE3hcKKQ8U98srNLvGt2l5VbgrS7AmhcGj6bZbr2qyjGcA9bVlvMCrN4Ys83uG5lEewkVCcoZXzOezpuLk3Dv1VMMkbSgBX1Ava_XZaniC7zMe3N5RX6veHXbHOU/s720/4713976024dc483882aa47aeb4a09153.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="720" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh37VGzr5xA6uZGXnyJJ9iy4kFfsok_THaKc7GZGNvnN8kaIWWI2aR4qLwD7Ovkjt3OE3hcKKQ8U98srNLvGt2l5VbgrS7AmhcGj6bZbr2qyjGcA9bVlvMCrN4Ys83uG5lEewkVCcoZXzOezpuLk3Dv1VMMkbSgBX1Ava_XZaniC7zMe3N5RX6veHXbHOU/w640-h640/4713976024dc483882aa47aeb4a09153.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi_TenECcGRevI_iHjSVJ6bSRcxUA8EHEF-YYZFZ1BpK_tQAD4Ln5_kwzwCvBmlYEC3yAmQUf8B__6-lOYxD8UUZALtbRMWw9FkuOYeS86rHp1GZ8CX6RgikT5pQvHjege7EBoNOE50NRjCZK_NLWcL8w_lLexwY3K9zboBM_6LNoeQJWUo0QRg7e7bUOQ/s720/f660f079ad88435097213c4468fd1a16.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="720" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi_TenECcGRevI_iHjSVJ6bSRcxUA8EHEF-YYZFZ1BpK_tQAD4Ln5_kwzwCvBmlYEC3yAmQUf8B__6-lOYxD8UUZALtbRMWw9FkuOYeS86rHp1GZ8CX6RgikT5pQvHjege7EBoNOE50NRjCZK_NLWcL8w_lLexwY3K9zboBM_6LNoeQJWUo0QRg7e7bUOQ/w640-h640/f660f079ad88435097213c4468fd1a16.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-71919788002101365772024-02-21T20:16:00.000-08:002024-02-21T20:16:19.148-08:00 DC BULEMBO APIGA MARUFUKU WATOTO KUFANYISHWA BIASHARA KIGAMBONI NA BADALA YAKE WAPELEKWE MASHULENI KUPATA HAKI YAO YA ELIMU<p><br /></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhiQaQjZip1TMTU07DaHkQIUcu_Vx_B8TLol_MyHEpM9yu_pLjK8fGxT2Ekcl69URm-VIKsww6EwvTqcIq1Nz375QBdySteDPhgO1WyNiN6RjecMgEb2rxg9DIzfexB4i4lKTKz3BF3tiHaYNmhhvqUwKcwkfg5MdtkHk2C6XxI-LWuC1JbFbn65hMrYaE/s791/Screenshot_20240222-071446_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="713" data-original-width="791" height="576" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhiQaQjZip1TMTU07DaHkQIUcu_Vx_B8TLol_MyHEpM9yu_pLjK8fGxT2Ekcl69URm-VIKsww6EwvTqcIq1Nz375QBdySteDPhgO1WyNiN6RjecMgEb2rxg9DIzfexB4i4lKTKz3BF3tiHaYNmhhvqUwKcwkfg5MdtkHk2C6XxI-LWuC1JbFbn65hMrYaE/w640-h576/Screenshot_20240222-071446_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p><p>Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mhe. Halima Bulembo akiendelea na ziara yake ya kutembelea na kukutana na Wavuvi, amepiga marufuku tabia ya baadhi ya watu kuwatumia watoto katika shughuli hizo muda ambao watoto hao wanatakiwa kuwepo mashuleni na kupata haki zao za kusoma.</p><p><br /></p><p>DC Bulembo amesema marufuku hiyo si tu kwa wavuvi bali kwa kila mzazi yeyote ndani ya Kigamboni ambaye anamtumia mtoto awe mwanae au si mwanae katika biashara hususani muda wa watoto kuwepo shuleni.</p><p><br /></p><p>Bulembo amesisitiza kuwa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni itaendelea kufanya oparesheni za kutambua watoto wanaofanyishwa biashara na kukusa haki zao za kwenda shule na hatua kali za kisheria kuchukuliwa kwa wazazi watakaobainika kuruhusu hilo na hata sehemu husika ya biashara kwa maana kama ni mtu ndio amemuajiri naye atachukuliwa hatua.</p><p><br /></p><p>"Serikali chini ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeonesha dhamira njema katika kuhakikisha kila mtoto anapata haki ya Elimu bila kikwazo kwa kutoa Elimu bure kuanzia ngazi ya Elimu ya Msingi hadi Elimu ya Juu na ninyi ni mashahidi mmeona namna gani hata Kigamboni imenufaika na fedha zilizotolewa kwa ujenzi wa shule na uboreshaji wa miudombinu za maradasa" Alisema DC Bulembo</p><p><br /></p><p>Mhe. Bulembo amesisitiza kuwa Serikali ya awamu ya sita inatoa ufadhili ‘ *Samia Schlarship* ’ kwa wanafunzi wa waliofaulu masomo ya sayansi vizuri zaidi katika mitihani yao kupitia Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA,) na kuendelea na masomo ya sayansi katika ngazi ya Elimu ya juu kwa kada za Sayansi, uhandisi na elimu tiba na Serikali itawasomesha bure katika vyuo vikuu mbalimbali nchini na itazidi kuongeza fedha ili kutoa fursa kwa vijana wengi watakaosoma masomo ya sayansi ndani na nje ya nchi.</p><p><br /></p><p><br /></p><p><br /></p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-15206971369099326932024-02-21T20:07:00.000-08:002024-02-21T20:08:20.841-08:00RC CHALAMILA ATAKA WANANCHI KUTUMIA TAKA KAMA FURSA YA KUJIPATIA KIPATO<p> </p><p>Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameyasema hayo leo Februari 21,2024 alipotembelea kiwanda cha chupa za plastic zilizotumika eneo la viwanda Mikocheni Wilaya ya Kinondoni.</p><p><br /></p><p>RC Chalamila akiwa katika muendelezo wa ziara yake ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kusikiliza kero za wananchi katika Wilaya zote za Mkoa huo ikiwa leo ni siku ya tatu toka aanze ziara yake.</p><p><br /></p><p>Mhe Albert Chalamila ameridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika jimbo la Kinondoni kama vile miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa, na kituo cha afya. </p><p><br /></p><p> Aidha RC Chalamila amesema ni wakati muafaka kila mwananchi akitazama taka imjie fedha, imjie Ajira, imjie Nishati pia imjie namna bora ya kuweka jiji safi</p><p><br /></p><p>Kwa kuwa jiji la Dar es Salaam lina kua kwa kasi sana ambapo linakadiriwa ifikapo 2030 litakuwa miongoni mwa majiji makubwa kati ya majiji 7 ya Afrika, hivyo ni vema kujipanga katika usafi vilevile upangaji mzuri wa miji yetu kwa kuwa haiwezekani kuwa Mega City wakati ni chafu na halijapangika.</p><p><br /></p><p>Vilevile RC Chalamila amemtaka mwekezaji wa kiwanda cha chupa za plastic zilizotumika kufungua njia mara moja ambayo inalalamikiwa imezibwa kutokana na kulundika malighafi zake za chupa.</p><p><br /></p><p>Naye Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni Bi Hanifa amesema Manispaa hiyo imeshatenga maeneo makubwa ya kuweza kuwekeza viwanda vya namna hiyo eneo la Mabwepande hivyo kila mtu ruksa kuomba.</p><p><br /></p><p>Mwisho RC Chalamila amesema viwanda vya aina hiyo ni muhimu Katika jiji kwa kuwa husaidia kuliweka jiji safi wakati wote na kujikinga na magonjwa ya milipuko, wakati ni sasa tubadili fikra vilevile RC Chalamila anatarajia kuendelea na ziara yake katika Wilaya hiyo kesho Februari 22,2024 Jimbo la Kawe.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhhWq3_xuNvms40q7Vbr08OGB6vhn2AKmTqejsJDHj3yPMxF7305DxROkdhnR_mXMHUfT3jBWZWp07OPSe_dgMwtM58_CfF6HK50YBwVhube5-PWkyf7CAXxle0vg8ALw7UOORh9ApC3t56xnOhxHD_7msFCsMB2K_o3lMVy-qDPZyiV5jetSmgdx9vKxY/s1080/IMG-20240222-WA0057.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="1080" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhhWq3_xuNvms40q7Vbr08OGB6vhn2AKmTqejsJDHj3yPMxF7305DxROkdhnR_mXMHUfT3jBWZWp07OPSe_dgMwtM58_CfF6HK50YBwVhube5-PWkyf7CAXxle0vg8ALw7UOORh9ApC3t56xnOhxHD_7msFCsMB2K_o3lMVy-qDPZyiV5jetSmgdx9vKxY/w640-h426/IMG-20240222-WA0057.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhX-H_zgO_CMq9QGlXoXOcaMfBf-RVGS70ctncbVWZkrQO3b7gecjwMaM7Sq4zGvXonvORfL7BmTk3urqqIeeYpf_axjR7bxyBwHMmegomfvXfbiClbZmR2oxZ2fFwB7ljaQaSKZeGYucsaM0-rIO9hskgm4GSOEYcrU6jJz4DCuAAz-Lmq6YLyFgNTSdE/s1080/IMG-20240222-WA0058.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="1080" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhX-H_zgO_CMq9QGlXoXOcaMfBf-RVGS70ctncbVWZkrQO3b7gecjwMaM7Sq4zGvXonvORfL7BmTk3urqqIeeYpf_axjR7bxyBwHMmegomfvXfbiClbZmR2oxZ2fFwB7ljaQaSKZeGYucsaM0-rIO9hskgm4GSOEYcrU6jJz4DCuAAz-Lmq6YLyFgNTSdE/w640-h426/IMG-20240222-WA0058.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjKYAbbqFbo6KOXM83ZsgpJ_f4kdhxUTPq80O8OWOHlay2Az7FBHaIB5bLqHvfExuLOuaVTQHmoYmcF1I4vlRGLzy2d-suXThi3QJww2K2PnyI-unC8pDjgaRZXaMjKagmdAt1oanqv19OTrruqQaXX4dRYIs65Bw2tHwEvayJTa4it4FNs0sqZRzSMCyM/s1080/IMG-20240222-WA0059.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="1080" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjKYAbbqFbo6KOXM83ZsgpJ_f4kdhxUTPq80O8OWOHlay2Az7FBHaIB5bLqHvfExuLOuaVTQHmoYmcF1I4vlRGLzy2d-suXThi3QJww2K2PnyI-unC8pDjgaRZXaMjKagmdAt1oanqv19OTrruqQaXX4dRYIs65Bw2tHwEvayJTa4it4FNs0sqZRzSMCyM/w640-h426/IMG-20240222-WA0059.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjS4PV35ZwgHndB1Zkn7up4rDfZODol3QP9EbfXUGsWdkf8RC1iqqTlSmlVA1DhmWxPhJwDSKDzCRhcwWo68GmcYLGt4xxbK5T5oBED4aHh1lLXRVN1qz_z6Tg_N-sekehUHacwuYTBAGmL-KZl8x7Rg_WCLHfAUbj-EzQJhujztI9qCOlYDFYhmfcSSVY/s1080/IMG-20240222-WA0060.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="607" data-original-width="1080" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjS4PV35ZwgHndB1Zkn7up4rDfZODol3QP9EbfXUGsWdkf8RC1iqqTlSmlVA1DhmWxPhJwDSKDzCRhcwWo68GmcYLGt4xxbK5T5oBED4aHh1lLXRVN1qz_z6Tg_N-sekehUHacwuYTBAGmL-KZl8x7Rg_WCLHfAUbj-EzQJhujztI9qCOlYDFYhmfcSSVY/w640-h360/IMG-20240222-WA0060.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhc3utxClCMYJ1sldJb0oBrZkMbEplGGB_qZOdUhZe4qUTbBa8krRn3IFb_BkZV4y0hdp6qMF4kZ_aUZ3szZMfPeleFlUpQjTY5NZ-jtYvykyn2kyWerKorgtNF2rUVASaQNpoyE95Ts6g54zY6ITGdh-ySZ7kno7H3Pzn4uzy3OpJSsuLOGzo-kyXRh7E/s1080/IMG-20240222-WA0061.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="1080" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhc3utxClCMYJ1sldJb0oBrZkMbEplGGB_qZOdUhZe4qUTbBa8krRn3IFb_BkZV4y0hdp6qMF4kZ_aUZ3szZMfPeleFlUpQjTY5NZ-jtYvykyn2kyWerKorgtNF2rUVASaQNpoyE95Ts6g54zY6ITGdh-ySZ7kno7H3Pzn4uzy3OpJSsuLOGzo-kyXRh7E/w640-h426/IMG-20240222-WA0061.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhsdSv0LpR5otjTck3Gjye1d2M-VXN7VkOXtExp3mYETWFCd3sKGYI_I3WLtOOsa4f7wvFQ2ce5_utTTBkBSrkqIKBID9ALe7h5F5qiG7lnIS7jb_CL7v5o-_vqDrenw025fH8jlFgvm4ewvT06Lek4y_8O4A3agSicZujvwpEv8wrtI1r-NmwHgukmusY/s1080/IMG-20240222-WA0062.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="607" data-original-width="1080" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhsdSv0LpR5otjTck3Gjye1d2M-VXN7VkOXtExp3mYETWFCd3sKGYI_I3WLtOOsa4f7wvFQ2ce5_utTTBkBSrkqIKBID9ALe7h5F5qiG7lnIS7jb_CL7v5o-_vqDrenw025fH8jlFgvm4ewvT06Lek4y_8O4A3agSicZujvwpEv8wrtI1r-NmwHgukmusY/w640-h360/IMG-20240222-WA0062.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-19644305472394712862024-02-21T20:01:00.000-08:002024-02-21T20:01:12.376-08:00SHEHENA YA BIDHAA ZA MAGENDO YA KAMATWA TENA DAR<p> </p><p>- Zaidi ya madumu elfu 11 ya mafuta ya kupikia yakamatwa Mbweni</p><p><br /></p><p>- RC Chalamila aagiza Jeshi la polisi na TAKUKURU kuwahoji kwa kina watumishi wa Bandari ndogo Mbweni</p><p><br /></p><p>Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 21, 2024 ameueleza umma kupitia vyombo vya habari kukamatwa kwa shehena ya bidhaa za magendo, madumu ya mafuta ya kupikia zaidi ya elfu 11 Mbweni</p><p><br /></p><p>RC Chalamila amesema Kushamiri kwa magendo ni kiashiria tosha kuwa kuna baadhi ya watumishi wa umma wanaohusika hivyo ameagiza Jeshi la polisi na TAKUKURU bila kupapasa macho kuwakamata mara moja watumishi wote wa bandari ndogo ya Mbweni wahojiwe kwa kina ili ukweli ujulikane na hatua stahiki zichukuliwe. </p><p><br /></p><p>Aidha RC Chalamila amepongeza kazi nzuri inayofanywa na kikosi kazi katika ukanda mzima wa fukwe ya bahari ya hindi ambapo amesema kikosi kazi hicho kimejipanga vizuri kudhibiti biashara hizo za magendo ambazo zinatoka Zanzibar kuja Tanzania bara .</p><p>" Hatuwezi kuruhusu bidhaa za magendo kupenya katika Mkoa huu kwa kuwa ni hatari kwa usalama wa watu na Taifa kwa Ujumla" amesistiza Chalamila</p><p><br /></p><p>Naye Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Saad Mtambule amesema kati ya shehena za madumu ya mafuta zaidi ya elfu 11 madumu elfu 3 tu yalikuwa yamelipiwa mengine yote vibali vyake havikuonekana ndio maana yameshikiliwa na kuhifadhiwa katika Bandari kavu ya Ubungo</p><p><br /></p><p>Ifahamike kuwa shehena hiyo ya mafuta ya kupikia imekamatwa usiku wa kuamkia Februari 21,2024 kupitia juhudi kubwa inayofanywa na kikosi kazi ambapo RC Chalamila ameelekeza kuendeleza mapambano dhidi ya biashara hiyo ya magendo kwa kutumia mbinu za kisayansi.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiajsALI0Tz-IUOil6j3RPxeyMhYl8bc-ZB2rxcb0Mt8Hfkf3szHdbwnAy9zv73Rd33flyYyMGiXYx6rm_d2Z_umYstS2LkAfUIH2skjSpdQKt47F3ls5btdza4fEPNrTTVMzx0XVZ31aEgabku2dxfasypRhnl_VbADy54Ew1rIuyCVEwFR_cJOMnL9BQ/s1080/IMG-20240221-WA0459.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="765" data-original-width="1080" height="454" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiajsALI0Tz-IUOil6j3RPxeyMhYl8bc-ZB2rxcb0Mt8Hfkf3szHdbwnAy9zv73Rd33flyYyMGiXYx6rm_d2Z_umYstS2LkAfUIH2skjSpdQKt47F3ls5btdza4fEPNrTTVMzx0XVZ31aEgabku2dxfasypRhnl_VbADy54Ew1rIuyCVEwFR_cJOMnL9BQ/w640-h454/IMG-20240221-WA0459.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgzFOduP_coMWy6WtE3DXUksrHzWZ49wDMwRMdInQCm5dGKue7pqW0FCYXRME8q9EqMg0gnHMhGQ-poXWg8VqnRToKqaWAnWpyJLkuzjw6Qy6kfCEK4fC2ZiHWu7beySKibgv-17Rs2cv0iLpZiuVyF0LjWOg23GjMoKW8HbCIfiTX99fCeuRsLPUbhyphenhyphenA8/s1080/IMG-20240221-WA0460.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="1080" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgzFOduP_coMWy6WtE3DXUksrHzWZ49wDMwRMdInQCm5dGKue7pqW0FCYXRME8q9EqMg0gnHMhGQ-poXWg8VqnRToKqaWAnWpyJLkuzjw6Qy6kfCEK4fC2ZiHWu7beySKibgv-17Rs2cv0iLpZiuVyF0LjWOg23GjMoKW8HbCIfiTX99fCeuRsLPUbhyphenhyphenA8/w640-h426/IMG-20240221-WA0460.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhepKQ3wAqaNb9sTRyoZIP9daQuwatoryxkjcUo8bd29swmqMLOqNOpqCeaaYOrVFTmzCJ7kbd18N0Ok4KTdtTT3swzYQfGndpTwhmSIb2eDQjA7QCSc7I2NGjTDuP9eOK0F00T1otWnOydBWrdEUNhJj19hGXPQ21UXDSPUu4WEkYWiDWgtB1pSM4LcVM/s1080/IMG-20240221-WA0461.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="758" data-original-width="1080" height="450" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhepKQ3wAqaNb9sTRyoZIP9daQuwatoryxkjcUo8bd29swmqMLOqNOpqCeaaYOrVFTmzCJ7kbd18N0Ok4KTdtTT3swzYQfGndpTwhmSIb2eDQjA7QCSc7I2NGjTDuP9eOK0F00T1otWnOydBWrdEUNhJj19hGXPQ21UXDSPUu4WEkYWiDWgtB1pSM4LcVM/w640-h450/IMG-20240221-WA0461.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjg7TRkyAXCc-yucA2-I0_wemeJ-61UTcUyu7DaUTqbtZUnxZ5-yDwNmyTNHET0VA8BnYve9SAK-tVB_LrWWeW8UpLbHRn8XeJDJNZdcjiCunUyrqG7UkE9aQoU5dlsVwPay6tvQAeDe6RnfGlAyAvT1Ps8T0NT0DrqJ10R5xuqbfpMAFQ6rSET8udqUdg/s1080/IMG-20240221-WA0462.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="607" data-original-width="1080" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjg7TRkyAXCc-yucA2-I0_wemeJ-61UTcUyu7DaUTqbtZUnxZ5-yDwNmyTNHET0VA8BnYve9SAK-tVB_LrWWeW8UpLbHRn8XeJDJNZdcjiCunUyrqG7UkE9aQoU5dlsVwPay6tvQAeDe6RnfGlAyAvT1Ps8T0NT0DrqJ10R5xuqbfpMAFQ6rSET8udqUdg/w640-h360/IMG-20240221-WA0462.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQ_XpdUwNAZPHtgzY_2RK45pBb0IojLuc3fg5F79zFurgc2_kBKJRH7DJ92mb5GqlKTRtemM7waxD1pK79IRNcg0KGYNi7wVh26QqRPfHTzEaI0fdcDrwp5dZBPcftdoV8Df4qbMN-c5v9ZBAalz6HLd59Np4E_SdoOeuBh_PQb6wIuJvikB3lEuSiOFU/s1080/IMG-20240221-WA0463.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="1080" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQ_XpdUwNAZPHtgzY_2RK45pBb0IojLuc3fg5F79zFurgc2_kBKJRH7DJ92mb5GqlKTRtemM7waxD1pK79IRNcg0KGYNi7wVh26QqRPfHTzEaI0fdcDrwp5dZBPcftdoV8Df4qbMN-c5v9ZBAalz6HLd59Np4E_SdoOeuBh_PQb6wIuJvikB3lEuSiOFU/w640-h426/IMG-20240221-WA0463.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh69gC0-T9C7lWqSC26gDwEbq9S3mn4UISe70MVnRF-DdPAqXEapwxhibt9Qab0msB-pioRtVRiMroT1W_jMHhHhrOsw8T92vjyZ0D1wh4goOh_kvI0gLkTT91ex5RosyZtjQ3Ws-WVHCjRlqvgF7JT1GLaAq3SxlX_lXtzv22QSNImbj7TO6Wrd09nWSc/s1080/IMG-20240221-WA0464.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="1080" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh69gC0-T9C7lWqSC26gDwEbq9S3mn4UISe70MVnRF-DdPAqXEapwxhibt9Qab0msB-pioRtVRiMroT1W_jMHhHhrOsw8T92vjyZ0D1wh4goOh_kvI0gLkTT91ex5RosyZtjQ3Ws-WVHCjRlqvgF7JT1GLaAq3SxlX_lXtzv22QSNImbj7TO6Wrd09nWSc/w640-h426/IMG-20240221-WA0464.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-71700112870744614382024-02-12T13:13:00.000-08:002024-02-12T13:13:37.562-08:00DIWANI UBUNGO AOMBA HALMASHAURI KUWATENGEA POSHO ZA HIV MADIWANI.<p> </p><p>Na Humphrey Shao,Michuzi TV </p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEimiXoW4QBJXIE1BL1OF2fgqR6bjNoFoYIec4ztUT6BcXJ63_GpGelSCGyVMzpiiOjzqzieP5oXJnJrGjZTL1T8KgkuRdU9ienSl3CGjyYG2cjSV_SETWJgcx9B0gmKf31PpOd9W3bmwYfipBL22YGpZe63_3S9b7sQ3r5tsPhwjfH1tjff6yaCx_iI7eo/s1920/VideoCapture_20240213-001020.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1080" data-original-width="1920" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEimiXoW4QBJXIE1BL1OF2fgqR6bjNoFoYIec4ztUT6BcXJ63_GpGelSCGyVMzpiiOjzqzieP5oXJnJrGjZTL1T8KgkuRdU9ienSl3CGjyYG2cjSV_SETWJgcx9B0gmKf31PpOd9W3bmwYfipBL22YGpZe63_3S9b7sQ3r5tsPhwjfH1tjff6yaCx_iI7eo/w640-h360/VideoCapture_20240213-001020.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p><p>Diwani wa Kata ya Kulumla Wilaya ya Ubungo, Bakari Kimwanga ameomba Uongozi wa Halmashauri ya Manispaa kutenga Bajeti za fedha za Ugonjwa wa HIV kwa Madiwani na sio kwa watumishi peke yake.</p><p><br /></p><p>Kimwanga amesema hayo mapema leo alipokuwa akichangia Makisio ya Bajeti ya Halmashauri hiyo ambayo yalikuwa yakipitishwa katika Baraza Maalum .</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjl1skD2u5l7ajkPT8PKWlHuXHB9p14GDfPEKvhk-5hrLaZ7OxkwN_YE9SpHNYSw6YmXnu4jOuaY8UcsUKS-K80yiHtMV_NsswTLNngIAnnZI9ijbcT5hSuEPkSx_Jf6Fu-4hQEjkdCZ66cj_Cpqxlq0gtmc5BzTwdGbJLx0bopowpDdVcw3iUg26yGnes/s1920/VideoCapture_20240213-001032.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1080" data-original-width="1920" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjl1skD2u5l7ajkPT8PKWlHuXHB9p14GDfPEKvhk-5hrLaZ7OxkwN_YE9SpHNYSw6YmXnu4jOuaY8UcsUKS-K80yiHtMV_NsswTLNngIAnnZI9ijbcT5hSuEPkSx_Jf6Fu-4hQEjkdCZ66cj_Cpqxlq0gtmc5BzTwdGbJLx0bopowpDdVcw3iUg26yGnes/w640-h360/VideoCapture_20240213-001032.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p><p>" Nashangaa kuona kila Mwaka humu mkitenga fedha za kuongeza Posho kwa watumishi ambao ni waathirika wa HIV lakini mnashindwa kutenga za Madiwani aliywaambia sisi Madiwani Hatuna HIV ni nani?" aliuliza Kimwanga. </p><p><br /></p><p>Kimwanga alifika Mbali na kusema kwa sasa ni muda Muhimu sasa Halmashauri ianze kufikilia kuongeza Posho za Madiwani ambao wanaumwa HIV .</p><p><br /></p><p>Kwa mwaka wa fedha 2024/25 Manispaa ya Ubungo inatarajia kukusanya na kupokea fedha kiasi cha shilingi bilioni 134.8 kati ya fedha hizo shilingi bilioni 93 ni ruzuku kutoka serikali kuu na shilingi bilioni 41 ni fedha za makusanyo ya ndani ya Halmashauri</p><p><br /></p><p>Hayo yamesemwa na mkuu wa idara ya uchumi na mipango manispaa ya Ubungo Andambike Kyomo wakati akiwasilisha rasimu ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2024/25 kwa baraza maalumu la madiwani kwaajili ya kujadili na kupitisha mpango huo wa bajeti</p><p><br /></p><p>"Katika kipaumbele cha kuongeza mapato, manispaa ya Ubungo imepanga kubuni, kusimamia na kuimarisha ukusanyaji wa vyanzo vya mapato ya ndani" alisema Kyomo</p><p><br /></p><p>Akiongea katika baraza hilo mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Elias Ntiruhungwa amewataka madiwani kuwa wavumilivu na kuamini mpango huo wa bajeti ambapo utekelezaji wake utasaidia kuongeza mapato kwa manispaa hali itakayopelekea kuongeza uwezo wa utoaji wa huduma za jamii kwa wananchi</p><p><br /></p><p>Aidha rasimu ya mpango huo wa bajeti imejikita katika vipengele vikuu vitano ikiwemo kuboresha makusanyo ya ndani, kuboresha huduma za kijamii katika sekta ya afya na elimu, kuboresha miundombinu ya barabara, kuimarisha utawala bora pamoja na kuimarisha usimamizi, ufuatiliaji na utoaji taarifa za utekelezaji wa shughuli za maendeleo. </p><p><br /></p><p>Akichangia katika kikao hicho diwani wa kata ya Kimara Mhe. Ismail Mvungi ameipongeza Manispaa ya Ubungo kwa mpango huo mzuri wa bajeti, na amesisitiza usimamizi wa dhati wa mpango huo wa bajeti ili kupatikana kwa matokeo lengwa</p><p><br /></p><p>Kwa upande wake mstahiki meya wa Manispaa ya Ubungo Mhe. Jaffery Nyaigesha amelipongeza baraza lake la madiwani kwa kuipitisha rasimu hiyo ya bajeti huku akiwataka kuendelea kuwasemea wananchi wa kata zao kwenye masuala mbalimbali ya maen</p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-40363157871672705622024-02-11T01:33:00.000-08:002024-02-11T01:33:56.382-08:00BONNA AKABIDHI MITUNGI YA GESI 260 KWA WANAWAKE WA JIMBO LA SEGEREA<p> Na Humphrey Shao,Michuzi TV </p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhHogA8i66stqt7MLAUL5glqyXB2EdEezXiNWX2P3jBrTu_gRmYsPFCKv2FjzRVNw_ole_j6Gpvz2f49HWy-y-kl6JwvmzHv36UUi6BQ4D2Qd39O8XSlTcCvJCQFkv0PuJtmWZWyahegUP3m9z-B9rfF5KrdU6bXvgGjHzjJ4icJyPh_Ilrb1ELLgAKgBM/s4032/20240211_115225.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2268" data-original-width="4032" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhHogA8i66stqt7MLAUL5glqyXB2EdEezXiNWX2P3jBrTu_gRmYsPFCKv2FjzRVNw_ole_j6Gpvz2f49HWy-y-kl6JwvmzHv36UUi6BQ4D2Qd39O8XSlTcCvJCQFkv0PuJtmWZWyahegUP3m9z-B9rfF5KrdU6bXvgGjHzjJ4icJyPh_Ilrb1ELLgAKgBM/w640-h360/20240211_115225.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEibpr2KspKkZYf-L69r8gXbr4x8BU6X2vvQ6teVeW18nYtLUmpaRYVLWbxdRgC3Vb63P1PQ6hyQZ9C2OBcbjdimI499HOrvenIKQLLJ2cqP60pWrp424beJjTXF9tSjjvC8iEUMb8eSwankA9e5Bn-Zb2QV8ykW7sno8WrejKvLtqC_-XA-Tsq2oiQX9mA/s4032/20240211_115241(0).jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2268" data-original-width="4032" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEibpr2KspKkZYf-L69r8gXbr4x8BU6X2vvQ6teVeW18nYtLUmpaRYVLWbxdRgC3Vb63P1PQ6hyQZ9C2OBcbjdimI499HOrvenIKQLLJ2cqP60pWrp424beJjTXF9tSjjvC8iEUMb8eSwankA9e5Bn-Zb2QV8ykW7sno8WrejKvLtqC_-XA-Tsq2oiQX9mA/w640-h360/20240211_115241(0).jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p><p>Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Tanzania Bara Annamringi Macha leo ameongoza zoezi la ugawaji Majiko ya Gesi 260 kwa Mama lishe wa kata 13 wa jimbo la Segerea.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjgKAYhUVVfJnx3eMtdMSFGZEnEq5E49_HhWsnMGDophIoSy1QLDtI30Z28QCZkbeBrVd_P9BXNt2lLqZcQ2HOgddKFWSXn8h-Q6QF7STkC7v5kLlon4aZDQeG6Rrqeuh68WzCVB1QvsylgndokUu-sz93_qij_2U3RMlYfJFon6HgCSu76JuIINQEg8o0/s4032/20240211_115938.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2268" data-original-width="4032" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjgKAYhUVVfJnx3eMtdMSFGZEnEq5E49_HhWsnMGDophIoSy1QLDtI30Z28QCZkbeBrVd_P9BXNt2lLqZcQ2HOgddKFWSXn8h-Q6QF7STkC7v5kLlon4aZDQeG6Rrqeuh68WzCVB1QvsylgndokUu-sz93_qij_2U3RMlYfJFon6HgCSu76JuIINQEg8o0/w640-h360/20240211_115938.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p><p>Macha amekabidhi majiko hayo katika hafla ya utekelezaji wa Ilani ya Chama hicho iliyoandaliwa na Mbunge wa Jimbo la Segerea Bonnah Kamoli na kufanyika katika ukumbi wa Lekam uliopo Buguruni Jijini Dar es Salaam. </p><p><br /></p><p>akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya kukabidhi majiko hayo Mh Bonnah amesema ameamua kutoa majiko hayo kwa ajili ya kuunga mkono kampeni ya Rais Samia Suluhu Hassan ya utunzaji wa Mazingira juu ya Nishati safi ya kupikia.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjMqVSUPuBQ0AKvX8sTIuEvvg9x99lb-W8bd0S4D_yi3ayxBHxnT11b8X0rWC-a94R1Vv9cS_Q4tyDQlILIkUn9d37fvqYHqqPXPriaAfGnuhTf1NDf63Le52DXqCTVwakeXs4meZGoAMbtwcXIWT8b44bq8oQrPTdxUvICpW2yIJkyOmCthod6gAc9Rh4/s4032/20240211_115812.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2268" data-original-width="4032" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjMqVSUPuBQ0AKvX8sTIuEvvg9x99lb-W8bd0S4D_yi3ayxBHxnT11b8X0rWC-a94R1Vv9cS_Q4tyDQlILIkUn9d37fvqYHqqPXPriaAfGnuhTf1NDf63Le52DXqCTVwakeXs4meZGoAMbtwcXIWT8b44bq8oQrPTdxUvICpW2yIJkyOmCthod6gAc9Rh4/w640-h360/20240211_115812.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p><p>" kumekuwa na Changomoto kubwa ya ukatwaji miti katika mikoa ya Morogoro na Pwani hii yote ni kutokana na Matumizi makubwa ya nishati ya mkaa katika Jiji la Dar es Salaam na watumiaji wakubwa wa mkaa ninhawa ndugu zangu Mama Lishe hivyo nimeona ni vyema sasa kuwapatia majiko haya watike kwenye mkaa waje kwenye Nishati safi ya kupikia" amesema Mh Bonnah. </p><p><br /></p><p>Nae Mmoja wa Nufaika wa Majiko hayo kutoka kata ya Minazi Mirefu Mwajuma Hassan ametoa shukrani kwa mbunge huyo kwa kusema upatikanaji wa majiko hayo utasidia katika kazi zao za kila siku.</p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-78599280484114677542024-02-10T09:24:00.000-08:002024-02-10T09:25:40.200-08:00ANAANDIKA BONIFACE JACOB X MAYOR UBUNGO JUU YA EDWARD LOWASSA <p><br /></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgTCfKLxkISNHUj_N8V_PZBtF-jvRdj6fvod28OulhPW3F6cQyjGhlxW3FBOoTP8Pd0R_oHsbRGxhJgGIjC58nURmfFEw-UUbLOtg1nnLC2e54SVQA3pOeOjXyUF7Ku7ISvcEv8QtAi7qtA0Q_VVf18Ev9sgTaOC1BMfvgDv73TLgGv1WqXMwOR9hMBkLk/s2048/IMG_20240210_202137.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1955" data-original-width="2048" height="610" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgTCfKLxkISNHUj_N8V_PZBtF-jvRdj6fvod28OulhPW3F6cQyjGhlxW3FBOoTP8Pd0R_oHsbRGxhJgGIjC58nURmfFEw-UUbLOtg1nnLC2e54SVQA3pOeOjXyUF7Ku7ISvcEv8QtAi7qtA0Q_VVf18Ev9sgTaOC1BMfvgDv73TLgGv1WqXMwOR9hMBkLk/w640-h610/IMG_20240210_202137.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p><p> Jabali la siasa limeondoka</p><p>Mtu muungwana ametangulia</p><p>Rafiki amelala usingizi wa milele</p><p>Kiongozi wa watu ametamatika.</p><p><br /></p><p>Mzee Lowassa ilikuwa ni shule ya siasa na Uongozi iliyokuwa inatembea,</p><p><br /></p><p>Tuliobahatika kuwa naye karibu tumeachiwa utajiri wa maarifa.</p><p><br /></p><p>Nawapa pole ndugu,Jamaa,marafiki pamoja na familia ya Mzee Edward Ngoyai Lowassa.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiYDyULsOyNL2inZPkbQ0RbJZDAHHoqxpcUs2XTvsCnwk-bmVJfw-mEV36QnvQphfBQKdg8aWx6blZS7ks_nXFWijOPL9x8inLJqZ43dQfUaqNOyCtdclF_VH1XmbxCn6QP2ALm2g01NdkVm9BQhayDbu5uNV_llnyiSNw5sATARQpbJ51qri1esITg8Jk/s1920/VideoCapture_20240210-201224.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1080" data-original-width="1920" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiYDyULsOyNL2inZPkbQ0RbJZDAHHoqxpcUs2XTvsCnwk-bmVJfw-mEV36QnvQphfBQKdg8aWx6blZS7ks_nXFWijOPL9x8inLJqZ43dQfUaqNOyCtdclF_VH1XmbxCn6QP2ALm2g01NdkVm9BQhayDbu5uNV_llnyiSNw5sATARQpbJ51qri1esITg8Jk/w640-h360/VideoCapture_20240210-201224.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-72565811758525923872024-02-10T09:04:00.000-08:002024-02-10T09:04:05.942-08:00MBUNGE BONNAH ASHUSHA NEEMA UJENZI <p><br /></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiaE1U8KvoL4uM1TdE2AjU2ugVHR0LLECDw-10fjxCMl34c3vroYo8akMqtRPf5zNyMWpH376nXlcIY8U7t3xCx9bz4aPInSiDs99aIaQluNsq5-LnPM85pxPKEtapPkI8PBxsFwR8ooK1Ud_8gsiuP5H1jJlGSwGJipZzJFiinGnjo0IsOWLw6xj0PtEE/s1078/Screenshot_20240210-200142_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="722" data-original-width="1078" height="428" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiaE1U8KvoL4uM1TdE2AjU2ugVHR0LLECDw-10fjxCMl34c3vroYo8akMqtRPf5zNyMWpH376nXlcIY8U7t3xCx9bz4aPInSiDs99aIaQluNsq5-LnPM85pxPKEtapPkI8PBxsFwR8ooK1Ud_8gsiuP5H1jJlGSwGJipZzJFiinGnjo0IsOWLw6xj0PtEE/w640-h428/Screenshot_20240210-200142_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p><p>MBUNGE wa Jimbo la Segerea, wilayani Ilala, jijini Dar es Salaam, Bonnah Kamoli,amsema miradi mikubwa ya ujenzi wa madaraja na barabara unatarajiwa kufanyika katika jimbo hilo na kuleta ahueni kubwa kwa wananchi. </p><p> Zaidi ya kilometa 104.6 za barabara zinatarajiwa kujengwa kwa kiwango cha lami na zege katika jimbo hilo kupitia Mradi wa Uboreshaji Miundombinu ya Jiji la Dar es Salaam(DMDP) awamu ya pili, TANROADS na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. </p><p> Akizungumza katika ziara ya kukagua miundombinu ya barabara na madaraja itakayo jengwa kupitia DMDP jimboni humo, Mbunge Bonnah amesma ujenzi wa miradi hiyo ilikuwa ni kilio chake cha muda mrefu Bungeni. </p><p> "Tunaishukuru serikali chini ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, barabara zetu na madaraja katika Jimbo letu la Segerea tunajenga kupitia DMDP -2,"amesema Mbunge huyo. Amesema jimbo hilo linatarajiwa kunufaika na mradi mkubwa wa ujenzi wa barabara takribani 30zenye urefu wa kilometa104.6 na</p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-67965342050832099132024-02-10T08:58:00.000-08:002024-02-10T08:58:12.693-08:00SERIKALI YAJA NA MIKAKATI YA ZAO LA ASALI KULETA FEDHA ZA KIGENI<p> </p><p><br /></p><p>Na Happiness Shayo- Dodoma</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh6GtXFvB6jOWQuQH2Mv79T7C2uAuj2fOPpNgSyNWenewZxHKkKih6qJNMmaWUobBdqV_tJ-2uLXcxqKuyHC5RG6qPLfy40GGJn_zzl75UNe9gyExZY3-n8w9kkrcvM94gqnoneZOXV0LeDgZXFxto3UHZC9C1gm5GwT9Lgb0UHrP-9pwGs5L5UNLKD2d4/s1074/Screenshot_20240210-195448_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="705" data-original-width="1074" height="420" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh6GtXFvB6jOWQuQH2Mv79T7C2uAuj2fOPpNgSyNWenewZxHKkKih6qJNMmaWUobBdqV_tJ-2uLXcxqKuyHC5RG6qPLfy40GGJn_zzl75UNe9gyExZY3-n8w9kkrcvM94gqnoneZOXV0LeDgZXFxto3UHZC9C1gm5GwT9Lgb0UHrP-9pwGs5L5UNLKD2d4/w640-h420/Screenshot_20240210-195448_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQWXobIyM7VhL0_KlrU-RoxGm5YyzwzGEijIcSDix3gM0jWy3FHMOxTAyGt8K7fYo_MMyfPtuCVf93O3bGPDAwTAZIPmKUJ5WdZ87nHA9TG3LDPIuc1JPB8gzhw8gyas0DfP4GiJQ-qqdTR2pnM-CoouMDtkpM9pnGpFClr4Wi-U6C3EJjqjM4nePZJNs/s1073/Screenshot_20240210-195516_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="719" data-original-width="1073" height="428" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQWXobIyM7VhL0_KlrU-RoxGm5YyzwzGEijIcSDix3gM0jWy3FHMOxTAyGt8K7fYo_MMyfPtuCVf93O3bGPDAwTAZIPmKUJ5WdZ87nHA9TG3LDPIuc1JPB8gzhw8gyas0DfP4GiJQ-qqdTR2pnM-CoouMDtkpM9pnGpFClr4Wi-U6C3EJjqjM4nePZJNs/w640-h428/Screenshot_20240210-195516_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi79vU_pvaEK32zxBV1MgMslxGyaH9r_KXp7-YOQ-wHmc-R0jmeHW5uz9DEB3lfX1t-NJWCcOxcP110EL4zD4ETqwe8G-tb3oOFeXf2TouOn54wDiMo_hn-zvgkC5pCXR2SE23VkJGFaG0exmhUY5kaL2DJni6EiQkpyEgnPRAclOBpJgjqQA_t448bHDQ/s1068/Screenshot_20240210-195533_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="721" data-original-width="1068" height="432" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi79vU_pvaEK32zxBV1MgMslxGyaH9r_KXp7-YOQ-wHmc-R0jmeHW5uz9DEB3lfX1t-NJWCcOxcP110EL4zD4ETqwe8G-tb3oOFeXf2TouOn54wDiMo_hn-zvgkC5pCXR2SE23VkJGFaG0exmhUY5kaL2DJni6EiQkpyEgnPRAclOBpJgjqQA_t448bHDQ/w640-h432/Screenshot_20240210-195533_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p><p>Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amesema Serikali iko katika mikakati ya kuhakikisha zao la asali linachangia kwenye pato la Taifa kwa kuongeza uzalishaji na uuzaji wa zao hilo nje ya nchi ili kuingiza fedha za kigeni.</p><p><br /></p><p>Ameyasema hayo wakati wa kikao kati yake na Wabunge wa Mikoa ya Mbeya, Iringa, Songwe, Njombe, Mara na Simiyu kilichofanyika leo Februari 10,2024 jijini Dodoma.</p><p><br /></p><p>“Kwa sasa tunauza zao la asali kwa karibia asilimia tano lakini lengo letu ni isiwe chini ya asilimia 50 hivyo tutahakikisha tunazalisha asali nyingi zaidi” Mhe. Kairuki amesisitiza.</p><p><br /></p><p>Amesema ili kufikia lengo hilo Serikali itafanya upembuzi katika tozo mbalimbali zinazohusiana na uzalishaji wa asali na ufugaji nyuki.</p><p><br /></p><p>“Katika asali kuna bidhaa zaidi ya 15 lakini Kodi ya Ongezeko ya Thamani (VAT) imeondolewa katika vifaa vitano tu, hivyo tunaangalia vifaa vingine vinavyohusika katika mnyororo mzima wa uzalishaji asali VAT iondolewe ili kuongeza uzalishaji wa asali, mfano kwenye mavazi ya kurinia asali ,machujio na mengine” Mhe. Kairuki amesema.</p><p><br /></p><p>Sambamba na hilo, amesema Wizara ya Maliasili na Utalii itaendelea kutangaza utalii wa nyuki (Api-tourism) unaohusisha watalii kutembelea vijiji vya ufugaji nyuki na kushiriki katika zoezi zima la urinaji wa asali na kutumia nyuki kama tiba ya magonjwa (Apitherapy) kwa kudungwa na nyuki.</p><p><br /></p><p>Aidha, amesema Wizara itazindua mkakati wa ufugaji nyuki wa miaka 10 (2024-2034) mwezi Mei mwaka huu Jijini Dodoma ambapo itaangalia sekta nzima ya ufugaji nyuki na uzalishaji wa asali.</p><p><br /></p><p>Wakati huohuo, Mhe. Kairuki amesema Serikali inaangalia namna ya kuboresha mazao yatokanayo na misitu kwa kupitia upya tozo na kodi ambazo hazitakiwi, kuangalia mitambo itakayosaidia zaidi kwenye uchakataji wa mbao na kuongeza thamani katika mazao ya mbao.</p><p><br /></p><p>Akizungumzia kuhusu utangazaji utalii Mhe. Kairuki amesema Serikali itaendelea kutangaza, kubuni na kuvumbua maeneo mbalimbali ya vivutio vya utalii.</p><p><br /></p><p>Waziri Kairuki amehitimisha kwa kuahidi kufanyia kazi mapendekezo ya wabunge ikiwa ni pamoja na suala la malipo ya kifuta jasho/machozi ,fedha za ujirani mwema (Community Social Responsibility) na kushughulikia changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu.</p><p><br /></p><p>Kikao hicho kimehudhuriwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dunstan Kitandula (Mb), baadhi ya Wabunge wa Mikoa ya Mbeya, Iringa, Songwe, Njombe, Mara na Simiyu pamoja na Watendaji wa Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Taasisi zake za Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Bodi ya Utalii Tanzania, Makumbusho ya Taifa la Tanzania na Wakala ya Huduma za Misitu Tanzania (TFS)</p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-17295296528121409702024-02-09T07:43:00.000-08:002024-02-09T07:43:23.055-08:00MHANDISI WA MAJI MPIJI MAGOHE ATUPWA JELA KWA KUISABABISHIA SERIKALI HASARA<p><br /></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBXXlRm7twOmJv45T-F8-_2IXSctQw3WXFwkqOc_lCgoQjPAF-f7fF7OdQERmGXOhO6VcMmOdUJvGvJHv-JZtTf21qmzGZqUp5te9VHYApSOInZA-O18hFR_ZWRaW-FMUX2PC79qQbe_i-XVD-vNptnmoEJJSaB0j1ILLu3QKI362TvTZAQrI88-QFjX0/s619/images.jpeg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="619" data-original-width="495" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBXXlRm7twOmJv45T-F8-_2IXSctQw3WXFwkqOc_lCgoQjPAF-f7fF7OdQERmGXOhO6VcMmOdUJvGvJHv-JZtTf21qmzGZqUp5te9VHYApSOInZA-O18hFR_ZWRaW-FMUX2PC79qQbe_i-XVD-vNptnmoEJJSaB0j1ILLu3QKI362TvTZAQrI88-QFjX0/w512-h640/images.jpeg" width="512" /></a></div><br /><p><br /></p><p>Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni Wilaya ya Kinondoni, imemhukumu Ramadhani Mabula Maige aliyekuwa Mhandisi wa Maji Manispaa ya Ubungo ambaye sasa ni Mhandisi wa Maji Wilaya ya #Kilwa, Kifungo cha Miaka 20 jela kwa kosa la Kuisababishia Hasara Mamlaka.</p><p>pia mhandishi huyo amehukumiwa kulipa faini ya Tsh. 2,000,000/= au kutumikia kifungo cha Miaka 2 jela kwa Matumizi Mabaya ya Madaraka Katika hatua nyingine, Martha Athanas Ivo aliyekuwa Mtendaji wa Kata ya #Mbezi akiwa ni Mshtakiwa wa Pili, amekutwa na hatia kwa kosa la Matumizi Mabaya ya Madaraka na amehukumiwa kwenda jela Miaka 2 au kulipa faini ya Tsh. Milioni 2 </p><p>Washtakiwa walitumia madaraka yao vibaya wakati wa kutekeleza Mradi wa Maji Mpigi Magohe kwa kutofuata maelekezo ya utekelezaji wa mradi huo uliotumia utaratibu wa 'Force Account' na hivyo kusababisha hasara ya Tsh. Milioni 8 kwa Manispaa ya Ubungo baada ya mradi huo kushindwa kufanya kazi kama ilivyokusudiwa -</p><p><br /></p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-20804836023765581832024-02-08T08:45:00.000-08:002024-02-08T08:45:09.892-08:00 Taasisi ya Hatua kwa Hatua na Mama ya yaitungua Chadema<p><br /></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEitlxg1O4khpA9Wc8rPu-tDfAzmBa834A4nME2O_ToGKwpZciEhltWQVTuRkm2D5HRuGjJ9PG0iNAFbtnJcBvXa8jKFuzThDnkKYIW5YKJGu_sfP7Z2uA7QZs5Lw8rYjXl98BuTKoSPo21gGKJlp3e46PkvYuN43EuNhxA2ijnrChzoo9w_sou8O_rxBPI/s1043/Screenshot_20240208-194335_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="701" data-original-width="1043" height="430" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEitlxg1O4khpA9Wc8rPu-tDfAzmBa834A4nME2O_ToGKwpZciEhltWQVTuRkm2D5HRuGjJ9PG0iNAFbtnJcBvXa8jKFuzThDnkKYIW5YKJGu_sfP7Z2uA7QZs5Lw8rYjXl98BuTKoSPo21gGKJlp3e46PkvYuN43EuNhxA2ijnrChzoo9w_sou8O_rxBPI/w640-h430/Screenshot_20240208-194335_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p><p><br /></p><p>TAASISI ya Hatua kwa Hatua na Mama, iliyojikita kuunga mkono utendaji wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, imewataka viongozi na wanachama wa Chadema, kutumia vyema fursa anazo wapa Rais badala ikiwa ni pamoja na kuenzi maridhiano ambayo yameanza kuleta tija.</p><p><br /></p><p>Wakizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam, viongozi wa taasisi hiyo, wamesema Rais Dk. Samia, ambaye ni mwasisi wa maridhiano hayo ameonyesha ukomavu mkubwa kwa kutekeleza kwa vitendo mambo mengi ambayo Chadema walihitaji kutendewa hivyo ni lazima watambue dhamira hiyo ya rais kwao.</p><p><br /></p><p>Mwenyekiti wa taasisi hiyo, Amour Abdallah, alisema inasikitisha kuona viongozi wa Chadema wananufaika na maridhiano hayo lakini wamekuwa wakiwazunguka wanachama wao na kuwaeleza kinyume.</p><p><br /></p><p>“Mama (Rais Dk. Samia) ndiye mwasisi wa maridhiano. Chadema ni wanufaika wa kwanza wa mariadhiano hayo.Kinacho staajabisha ni baadhi kupinga hatua za maridhiano wakati ndani yake wanaendelea kunufaika,”alisema Abdallah.</p><p>Alieleza, kupitia maridhiano hayo Chadema wamenufaika kwa kiasi kikubwa ikiwemo Rais Dk. Samia kuruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, kusaidia chama hicho kupata ruzuku y ash. bilioni 2.7 na utangamano wa kisiasa.</p><p><br /></p><p> “Fedha hii ya ruzuku tangu ilipotoka mwaka jana Chadema wamekuja kukili baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Abudulrahman Kinana kuizungumzia. Awali ilibaki kuwa siri kwa viongozi wa Chadema,”alisema .</p><p>Msemaji wa taasisi hiyo Iman Kyombo,alibainisha kama chama hicho ni chenye demokrasia kwanini kisingeweka mambo hayo hadharani badala yake walifanya siri kwa wanachama wao.</p><p><br /></p><p>Alieleza, ruzuku hiyo ilitolewa kwa chama lakini kizungumkuti kiliibuka baada ya Mwenyekiti wao Freeman Mbowe, kutoa maelekezo ya mgawanyo wa fedha huku yeye akijipakulia kitita cha sh. bilioni 1.5 zaidi ya chama.</p><p><br /></p><p>“Ukisoma katiba ya Chadema haimpi Mbowe mamlaka hayo ya kugawa fedha. Sh. bilioni 1.5 Mbowe kajimilikisha. Fedha za ruzuku.Ni vema wachama wakajua wanazungukwa akili na viongozi wao,”alieleza.</p><p>Aliwataka vijana hasa wa Chadema kumuunga mkono Rais Dk. Samia kwani wanapaswa kuitumia vyema fursa hii ambayo rais amewapa, badala ya kutumika vibaya katika maandamano na viongozi wao ambao wana maslahi binafsi.</p><p><br /></p><p>“Kama kuandamana basi tuandamane kumpongeza rais, amewasaidia kwa mengi yakiwemo matatizo binafsi ya viongozi wao. Na katika kipindi ambacho Chadema walitakiwa kuringa ni kipindi hiki ambacho Rais Dk. Samia, amewaonyesha upendo mkubwa,” alieleza Kyombo.</p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-23157083295865935092024-02-06T12:58:00.000-08:002024-02-06T12:58:58.618-08:00DK. MWINYI AISHUKURU MAREKANI KUSAIDIA SEKTA YA AFYA NCHINI*<p> </p><p>RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ametoa wito kwa wadau mbalimbali kutambua umuhimu wa ushirikiano ili kufikia malengo kwa kuwekeza rasilimali fedha katika kuimarisha utafiti, kuboresha miundombinu ya afya, na kuhakikisha upatikanaji matibabu sawa kwa wagonjwa wa saratani nchini.</p><p><br /></p><p>Rais Dk.Mwinyi amesema hayo katika jukwaa la uwekezaji linalolenga kuimarisha huduma za saratani nchini, ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam tarehe:06 Februari 2024.</p><p><br /></p><p>Vilevile Rais Dk.Mwinyi ameeleza kuwa kupitia ushirikiano kati ya Serikali, sekta binafsi, watafiti na wataalamu wa tiba kunaweza kubadilisha taswira za huduma za matibabu ya saratani nchini.</p><p><br /></p><p>Aidha Rais Dk.Mwinyi amesema Serikali imeanza kuchukua hatua kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo saratani kwa kujenga miundombinu ya huduma za afya, mikakati ya upatikanaji wa huduma bora za matibabu bora kwa wote.</p><p><br /></p><p>Halikadhalika Rais Dk.Mwinyi ameishukuru Serikali ya Marekani kwa ushirikiano wao kufanikisha utekelezaji wa mipango ya maendeleo ikiwemo sekta ya afya nchini.</p><p><br /></p><p>Pia amewashukuru wadau wa Global Health Catalyst ambao wamejitolea kushirikiana na Serikali katika mapambano ya maradhi ya saratani, wawekezaji wa ndani wakiongozwa na Taasisi ya sekta binafsi Tanzania (TPSF) pamoja na CEO Roundtable kwa utayari walionyesha kushirikiana na Serikali. </p><p><br /></p><p>Rais Dk.Mwinyi amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan kwa uongozi na jitihada zake za kuimarisha ustawi wa maendeleo nchini.</p><p><br /></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiz7DPJJEvx8cq_VBNmPB61Kh-JTlEfm0N7zwK9ORT_2UdDJRoEEeaJCZ5vXwuor-pFYy9H37zc0S0niCqLA46172MLSuDUAW8l8Nl4235JjH0KMl-O_hphgBcYKUrZmr9IwynVrgAONfjNB5B6GKE5FSrN-AF1mbdgC7Ai5mjDizrn8z0L9s3WhEvo40s/s1066/Screenshot_20240206-235628_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="723" data-original-width="1066" height="434" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiz7DPJJEvx8cq_VBNmPB61Kh-JTlEfm0N7zwK9ORT_2UdDJRoEEeaJCZ5vXwuor-pFYy9H37zc0S0niCqLA46172MLSuDUAW8l8Nl4235JjH0KMl-O_hphgBcYKUrZmr9IwynVrgAONfjNB5B6GKE5FSrN-AF1mbdgC7Ai5mjDizrn8z0L9s3WhEvo40s/w640-h434/Screenshot_20240206-235628_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi5JEOfBgZfVrD3-46ESFhDO6g4e6gY0t7yyvI5dEz0xlMOiWiLheMdovKHBM7kt6nyQU6JQxS_q70Ou8ZTh_J-7myxqfaGBQYQr6Rw5ya9FmLjAHCgh-tIjhertzbOQZJaE52llzqXcAM0-BavL1Vx8lRQGPfJBitMIzCmS8EE2QnQQMIoyuWeGktBN5U/s1064/Screenshot_20240206-235643_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="705" data-original-width="1064" height="424" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi5JEOfBgZfVrD3-46ESFhDO6g4e6gY0t7yyvI5dEz0xlMOiWiLheMdovKHBM7kt6nyQU6JQxS_q70Ou8ZTh_J-7myxqfaGBQYQr6Rw5ya9FmLjAHCgh-tIjhertzbOQZJaE52llzqXcAM0-BavL1Vx8lRQGPfJBitMIzCmS8EE2QnQQMIoyuWeGktBN5U/w640-h424/Screenshot_20240206-235643_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijZhZQhhKOQrJKyv2m5erIKsC3gVEm-I6HYtwX27JNEpPsERqAlCJeBk9ocknyUDJsnRSdzZKkm0AmoTYYPR1iRqFs9_pCeoCYoLfWO9g6lMk9-HaDAZuR_YyGp8EWJZCIGemYTX7Nrx7sdFfwA2BEQLlO_cvy6f8TS9XKYhgaKBxptrqvYG6gJAU887g/s1060/Screenshot_20240206-235700_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="654" data-original-width="1060" height="394" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijZhZQhhKOQrJKyv2m5erIKsC3gVEm-I6HYtwX27JNEpPsERqAlCJeBk9ocknyUDJsnRSdzZKkm0AmoTYYPR1iRqFs9_pCeoCYoLfWO9g6lMk9-HaDAZuR_YyGp8EWJZCIGemYTX7Nrx7sdFfwA2BEQLlO_cvy6f8TS9XKYhgaKBxptrqvYG6gJAU887g/w640-h394/Screenshot_20240206-235700_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-62246273546306591272024-02-05T11:00:00.000-08:002024-02-05T11:00:48.978-08:00 Nyangamalle ateuliwa mwakilishi Mkazi wa Arterial Network Kanda ya Afrika Mashariki, BASATA yampongeza<p><br /></p><p>Na Mwandishiwetu </p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiU4mYfDXgqbmwrFnXx9fK40Hm_tlWJ-aZinZHFsGigZ5UwZVlHBpdaEcs8KISkFdwhKcDSmvKA37fn9fFXdUOtNBYNMUJFBTLKldWw3J-H-Za_UhLuPBbWVkeYP-PBjm6EPsBQIFhzUc-0LLy2vyDcOqSaam5AO1254Mg5acy1rR1cn3ghqrwTy-G8f6Y/s679/images.jpeg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="451" data-original-width="679" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiU4mYfDXgqbmwrFnXx9fK40Hm_tlWJ-aZinZHFsGigZ5UwZVlHBpdaEcs8KISkFdwhKcDSmvKA37fn9fFXdUOtNBYNMUJFBTLKldWw3J-H-Za_UhLuPBbWVkeYP-PBjm6EPsBQIFhzUc-0LLy2vyDcOqSaam5AO1254Mg5acy1rR1cn3ghqrwTy-G8f6Y/w640-h426/images.jpeg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p><p>Rais wa Shirikisho la Sanaa za Ufundi Tanzania Bw. Adrian Nyangamalle ameteuliwa kuwa mwakilishi mkazi wa Kanda ya Afrika Mashariki wa Arterial Network akiongoza nchi za Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Sudani Kusini na Seychelles.</p><p><br /></p><p>kwa uteuzi huo uliyofaanyika Bamako nchini Mali; Nyangamalle anakuwa mtanzania wa kwanza kushika nafasi hiyo tangu kuundwa Shirika hilo.</p><p><br /></p><p>" Hii ni mara ya kwanza kwa Tanzania kushika nafasi hii kubwa katika umoja huu wa wasanii Afrika iliyokuwa inashikiriwa na Bi. Collen Orishaba wa Uganda. Kwa nafasi hii Nyangamalle anakuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Utendaji yenye wajumbe watano barani Afrika. Wengine ni; Alassane Babylas Ndiaye (Senegali) Kanda ya Magharibi, Rais; Stephanie Kafunde (Zimbabwe) Kanda ya Kusini, Makamu wa Rais; Manasse Ndoua Nguinambaye (Chad) Kanda ya Kati, Mjumbe; na Cheich Aidara (Morocco) Kanda ya Kaskasini, Mjumbe" ilisema taarifa hiyo.</p><p><br /></p><p>Arterial Network ni mtandao unaounganisha wasanii, wanaharakati wa kitamaduni, wajasiriamali, wafanya biashara, NGOs na taasisi zinaofanya kazi katika sekta za ubunifu na kitamaduni barani Afrika. Imeanzishwa Machi 2007 nchini Senegal ni shirika lenye msingi wa wanachama, lisilo la faida. Mtandao huu kiungo cha wasanii Afrika unafanya kazi katika bara zima bila kujali mipaka ya lugha na unaongozwa na Kamati ya Utendaji iliyochaguliwa na ambayo inawakilisha kanda zote tano za bara la hili. </p><p><br /></p><p>Maeneo matano ya msingi ya Mtandao huu ni Uzengezi, ushawishi na utetezi; Kujenga uwezo; Ufikiaji wa soko; Usimamizi wa maarifa na usambazaji wa habari; kwa miaka kadhaa wasanii na baadhi ya taasisi za Tanzania zimenufaika na Mtandao huu.</p><p><br /></p><p>amesema Arterial Network inatambuliwa na Umoja wa Afrika (AU) kama chombo unganishi cha wadau wa sanaa na utamaduni barani humu ambapo kwa sasa Makao Makuu shirika hili yapo Jijini Bamako nchini Mali. </p><p><br /></p><p>mara baada ya kupokea uteuzi Bw Nyangamalle ametoa shukrani kwa wadau wa sanaa barani afrika na Tanzania kwa kuwezesha kupata nafasi hiyo.</p><p><br /></p><p>“Namshuuru Mwenyezi Mungu kwa baraka zake, namshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Dkt. Samia Suluhu Hassani kwa kuifungua na kuiunganisha nchi na kufanya watanzania tunga’are kimataifa, niwashurukuru watanzania wote kwa sapoti. Ahadi yangu ni kwamba nitatumia nafasi hii kuunganisha nchi, kanda na Afrika kwa ujumla kupitia Sanaa na Utamaduni; na wakati wote nitakuwa balozi mzuri wa taifa langu” alisema Nyangamalle ambaye kwa sasa yuko nchini India kikazi. </p><p><br /></p><p>Aidha ametoa wito kwa wasanii kuendelea kufanya kazi kwa bidii na kuendelea kupeperusha bendera ya Tanzania kimataifa.</p><p><br /></p><p>Nalo Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kupitia ukurasa wake wa Instagram limempongeza Nyangamalle kwa uteuzi huo.</p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-56161818870588018522024-01-25T05:23:00.000-08:002024-01-25T05:23:03.296-08:00RC CHALAMILA AKABIDHI VIFAA VYA KAZI KWA JESHI LA POLISI, UHAMIAJI NA ZIMA MOTO<p> </p><p>Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Januari 25,2024 amekabidhi Vifaa vya kazi (Pikipiki) kwa Jeshi la Polisi, Uhamiaji na Zimamoto hafla ambayo imefanyika katika kituo cha Kipolisi Kanda maalum (Central Police) Ilala Jijini Dar es Salaam.</p><p><br /></p><p>RC Chalamila akiongea katika hafla hiyo amemshukuru na kumpongeza Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa uongozi wake mahiri hususani katika kuhakikisha Tanzania inakuwa ya amani na salama wakati wote lakini pia nasaa zake kwa viongozi wa mikoa kushirikiana kwa karibuu na Jeshi la polisi katika kudumisha amani.</p><p><br /></p><p>Aidha RC Chalamila amesema sababu ya kugawa vifaa hivyo ameangalia hali ya usalama kikanda na Mkoa kwa ujumla wake ambapo hali ya usalama imeimarika kwa kiasi kikubwa sana ametoa rai kwa raia wa Tanzania kuwa namba moja katika ulinzi wa Amani kamwe askari asionekane kama adui wa raia bali awe chachu ya kulinda amani.</p><p><br /></p><p>Sambamba na hilo amelitaka Jeshi la polisi kutoruhusu hata kidogo raia wa aina yeyote akapeleka kidole kwa Askari polisi, Alisisitiza RC Chalamila</p><p><br /></p><p>Vilevile RC Chalamila ameahidi kuendelea kuwezesha jeshi la polisi kilichofanyika leo ni rasha rasha tu vikubwa zaidi vinakuja hivyo polisi waendelee kuchapa kazi "Anachokitoa leo amewashirikisha wadau wachache sana kama Bakhesa ametoa pikipiki 10 na Lita tano tano za mafuta na ameahidi kufanya makubwa, Kuhani Musa pikipiki 5 zingine zifuata, Mtume Mwamposa pikipiki 5 zingine zitafuata dhamira yake kabla ya mwezi wa sita tuwe tumefikisha pikipiki hadi kwenye mitaa" Alisema Chalamila</p><p><br /></p><p>Kwa upande wa Kamanda wa Kanda maalum Jumanne Muliro amemshukuru sana mkuu wa Mkoa na kuahidi kutumia vifaa hivyo kama ilivyokusudiwa</p><p><br /></p><p>Naye Katibu Tawala wa Mkoa Bi Rehema Madenge ametoa rai kwa Jeshi la polisi kuendelea kufanya kazi kwa weledi, dalili ya mvua ni mawingu vizuri vinakuja hivyo jeshi kuendelea kuchapa kazi.</p><p><br /></p><p>Mwisho Mhe Albert Chalamila amelipongeza jeshi la polisi kwa kazi nzuri ya kusimamia ulinzi na usalama wakati wa maandamano ya CHADEMA katika Mkoa wa Dar es Salaam.</p><p><br /></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0FmDsdATnO-ZjrDHs0Qz3estpI5KQ5ZbYCf-tcimVpesSVWLOlwBYEkXWD1RjiJwg7mL7GWF5AoSeO_QCQanD5mNJJPyFZZ1nYFhX5llfjbEeaEZiVo1Alp_orTwrroEYfIvy67PLXsThyKUBxWCDd_WL4FXC9YluM7sxTBA91krgJKviyQB1KsEx988/s1080/Screenshot_20240125-161949_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="748" data-original-width="1080" height="444" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0FmDsdATnO-ZjrDHs0Qz3estpI5KQ5ZbYCf-tcimVpesSVWLOlwBYEkXWD1RjiJwg7mL7GWF5AoSeO_QCQanD5mNJJPyFZZ1nYFhX5llfjbEeaEZiVo1Alp_orTwrroEYfIvy67PLXsThyKUBxWCDd_WL4FXC9YluM7sxTBA91krgJKviyQB1KsEx988/w640-h444/Screenshot_20240125-161949_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjeIJY2iMAJAGts3tZ9owu2hP73NmDTb1b7gi3hOLa4I8et5Nv9fR-gQbaSK5UgOswKaBB9MIY0gjObAsH6JWGVKEbamF5LdA92ZOa_Td6niSZSuTvTHEw0YUhMxaSXhYXWPTdfjdXKw04R5QHEKMELNusO15Jy-ZNDCWTPU_6C7hkU1NL8074I9HExNUA/s1079/Screenshot_20240125-162015_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="770" data-original-width="1079" height="456" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjeIJY2iMAJAGts3tZ9owu2hP73NmDTb1b7gi3hOLa4I8et5Nv9fR-gQbaSK5UgOswKaBB9MIY0gjObAsH6JWGVKEbamF5LdA92ZOa_Td6niSZSuTvTHEw0YUhMxaSXhYXWPTdfjdXKw04R5QHEKMELNusO15Jy-ZNDCWTPU_6C7hkU1NL8074I9HExNUA/w640-h456/Screenshot_20240125-162015_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiI85UAA3cevUlIdbHp-BNRtbvDe_GLVGU8IrwyOBTUEEPdTBrPVhsqcbkXuOgHvc9JJ6a9N9Lqvf9jXhn5FZgvNXXvhKbl5Pmumppgzqn4gO2PdSp5VRSOejuZKMhpfWZ8y7Mbad3uZQiYXRBVOeuMB36KchMaK52pO0xoq2lyXjAQJbRYTr9tHznuh98/s1061/Screenshot_20240125-162036_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="779" data-original-width="1061" height="470" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiI85UAA3cevUlIdbHp-BNRtbvDe_GLVGU8IrwyOBTUEEPdTBrPVhsqcbkXuOgHvc9JJ6a9N9Lqvf9jXhn5FZgvNXXvhKbl5Pmumppgzqn4gO2PdSp5VRSOejuZKMhpfWZ8y7Mbad3uZQiYXRBVOeuMB36KchMaK52pO0xoq2lyXjAQJbRYTr9tHznuh98/w640-h470/Screenshot_20240125-162036_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0CoMQwohWRfzGjUHv8sT8HjjkT287JNfc9ocE7MGqXTiygsf1YGYr3qQF9dp23-IlcbHw8IDbFzVH4gwSqpCjHt1HETXF6ej2DQ3D1dGksTy4wQaYwpvovMfIrw3Uihf21tF2aMcnVLfF7PNelyEoIbJuCbp4mfEY30yQCYsRuNG49UgUylPIQv3NQUQ/s1076/Screenshot_20240125-162057_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="760" data-original-width="1076" height="452" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0CoMQwohWRfzGjUHv8sT8HjjkT287JNfc9ocE7MGqXTiygsf1YGYr3qQF9dp23-IlcbHw8IDbFzVH4gwSqpCjHt1HETXF6ej2DQ3D1dGksTy4wQaYwpvovMfIrw3Uihf21tF2aMcnVLfF7PNelyEoIbJuCbp4mfEY30yQCYsRuNG49UgUylPIQv3NQUQ/w640-h452/Screenshot_20240125-162057_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-3541348537217755522024-01-19T09:19:00.000-08:002024-01-19T09:19:22.097-08:00 RC Chalamila azindua kampeni ya kujenga hosteli za wanafunzi wa kike <p><br /></p><p><br /></p><p>NA HERI SHAABAN( ILALA)</p><p><br /></p><p>MKUU wa Mkoa Dar es Salaam Albert Chalamila amezindua kampeni ya kujenga hosteli za wanafunzi wa kike mkoa Dar es Salaam na kuwataka Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari wajiamini wakati wa kutekeleza majukumu yao kwa kuwa Taifa linawategemea.</p><p><br /></p><p><br /></p><p>Mkuu wa mkoa Albert Chalamila alisema hayo wakati kuzindua kampeni kabambe ya kujenga hosteli za Wanafunzi wa kike wa mkoa huo na kuwakabidhi hundi za shilingi milioni 100 kwa mkoa huo kwa ajili ya kuanzia ujenzi ambapo kila kila Wilaya walipewa hundi ya milioni 20.</p><p><br /></p><p>"Mkoa Dar es Salaam tunaunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira bora ya wanafunzi wa kike kuwajengea hosteli tunathamini sana watoto wa kike na Rais wetu mpendwa Dkt.Samia Suluhu Hassan ,Rais wetu siku yake ya kuzaliwa January 27 mwaka huu "alisema Chalamila </p><p><br /></p><p>Mkuu wa mkoa Chalamila amesema katika mkoa huo hali ya matokeo sio mazuri lakini wakianza kujenga hosteli za wanafunzi wa kike hali itakuwa nzuri katika sekta ya elimu kwa kuongeza ufaulu hivyo mkakati wao ni kuanza na wanafunzi wa kike </p><p><br /></p><p><br /></p><p>Alisema hosteli hizo za wanafunzi zina faida kubwa kuliko kuwa acha nyumbani wanafunzi kwani mwanafunzi wa kike anatakiwa awe na mazingira bora ya kumlinda sababu amebeba kizazi cha kesho hivyo wakiwekeza kwa kizazi cha sasa watapata kizazi bora cha Taifa letu. </p><p><br /></p><p><br /></p><p>Aidha katika hatua nyingine Chalamila aliwataka walimu wa shule za Msingi na Sekondari wajiamini wakati wa kutekeleza majukumu yao kwani wao ni watu muhimu na Taifa linawategemea ambapo alitumia fursa hiyo kuwapongeza Wakurugenzi wa Halmashauri za mkoa huo ,walimu wa Shule za Msingi na Sekondari kwa kusimamia vizuri fedha za serikali za sekta ya elimu kwa ajili ya kufanikisha ujenzi wa madarasa na shule mpya za kisasa.</p><p><br /></p><p>Aliwataka walimu wa mkoa huo kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan katika sekta ya elimu na wawe walimu wema waliobeba ndoto za wanafunzi .</p><p><br /></p><p>Aliwataka Walimu wafanye kazi na kujiamini wataonekana kutokana na kazi yao kufanya kwa weledi wasirudi nyuma wachanganue mambo wenyewe kwa wenyewe kwani elimu sio cheo.</p><p><br /></p><p>Aliagiza kila Halmashauri za mkoa huo kufanya harambee kwa kuwashirikisha wadau kwa ajili ya kupata fedha za kujenga Hosteli za wanafunzi wa kike waweze kusoma katika mazingira bora na kuandaa Ramani ya mchoro ya ujenzi ya hosteli hizo huku wakiweka mpango kazi endelevu.</p><p><br /></p><p>Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo, alitumia fursa hiyo kuwapongeza walimu wa mkoa huo wa elimu msingi na sekondari kwa kazi nzuri waliofanya sekta ya Elimu kupelekea wanafunzi kufanya vizuri kitaaluma pamoja na sekta ya michezo .</p><p><br /></p><p>Pia aliwapongeza walimu kwa kusimamia vizuri fedha za Serikali katika ujenzi wa shule za Sekondari na shule za msingi kwani walimu wamekuwa watu muhimu katika Taifa ili sio wa kuwazalau .</p><p><br /></p><p><br /></p><p>Katibu Tawala mkoa Dar es Salaam Rehema Madenge aliwataka walimu waendelee kudumisha nidhani na kufanya kazi kwa weledi kwa kuwa kioo na kuwataka wafute misingi bora ya kazi.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgPqnYfwB1t03zQr-yQX0iqDkd9CbYzH__nRyxQricdj6Be8JNTtLOlh0pkJZTaiX4NtqSdgLCVV6V5Xd6ZDQN7PRFMEFXDeMJdB2l4BNBUUHQIZDlODzaa_v8Y6IvxoyNIppUxInpPS2Rdm8kBrsdUKFomWSWMbEm3-wZ64ZL9uNAIihsg3wH1sWwyybw/s1073/Screenshot_20240119-201710_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="666" data-original-width="1073" height="398" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgPqnYfwB1t03zQr-yQX0iqDkd9CbYzH__nRyxQricdj6Be8JNTtLOlh0pkJZTaiX4NtqSdgLCVV6V5Xd6ZDQN7PRFMEFXDeMJdB2l4BNBUUHQIZDlODzaa_v8Y6IvxoyNIppUxInpPS2Rdm8kBrsdUKFomWSWMbEm3-wZ64ZL9uNAIihsg3wH1sWwyybw/w640-h398/Screenshot_20240119-201710_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p><p><br /></p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-9362432468336345302024-01-19T06:10:00.000-08:002024-01-19T06:10:02.147-08:00PROF. NDALICHAKO AHIMIZA USHIRIKIANO KUKAMILISHA UTAFITI WATU WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI.<p> </p><p><br /></p><p>Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako ametoa wito kwa viongozi wa Serikali katika ngazi za utawala kutoa ushirikiano kwa wadadisi na wasimamizi wa Utafiti wa watu wenye uwezo wa kufanya kazi wa mwaka 2024.</p><p><br /></p><p>Prof. Ndalichako ametoa wito huo Januari 19, 2024 Mkoani Morogoro wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa wadadisi na wasimamizi wa utafiti wa watu wenye uwezo wa kufanya kazi wa mwaka 2024.</p><p><br /></p><p>Amesema lengo la Utafiti huo ni kupata viashiria vya soko la Ajira nchini ikiwemo kubaini kiwango cha ukosefu cha Ajira, Kiwango cha Ajira isiyotimilifu, Kiwango cha Nguvu Kazi, Kiwango cha Ajira mbayá kwa Watoto na Kiwango cha Ajira kwa aina ya Kazi.</p><p><br /></p><p>Aidha, amesema taarifa hizo zitaisaidia Serikali kufahamu hali halisi ya soko la Ajira nchini ilivyo kwa kubainisha maeneo yanayofanya vizuri na maeneo yenye changamoto kwa ajili ya kuweka mikakati ya kukuza uchumi na ajira zenye staha.</p><p><br /></p><p>Amesema matokeo ya utafiti huo yatasaidia kupima utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa ya Mwaka 2025 kwa Tanzania Bara na yatatatumika kupima utekelezaji wa Programu mbalimbali za kupima ukuzaji ujuzi na uzalishaji wa fursa za Ajira.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgw68ilTw1kX5sGaDM9pwtXNc9p39E70xstpYsG2PGAZWvNaim1Os883NWfC3qXPy29Li3bXVUcY2mdX_sdeq4FM9uysiwduvWYKmTINlKFD-YZk2zDUMsJe1Q8qeFF16dcvOrRFrYoEPNEDbbYevO7dKiIqWTWfj5IMiOiLIYzF34Th-2c5kpZsh_P8Pc/s1600/IMG-20240119-WA0222.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1564" data-original-width="1600" height="626" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgw68ilTw1kX5sGaDM9pwtXNc9p39E70xstpYsG2PGAZWvNaim1Os883NWfC3qXPy29Li3bXVUcY2mdX_sdeq4FM9uysiwduvWYKmTINlKFD-YZk2zDUMsJe1Q8qeFF16dcvOrRFrYoEPNEDbbYevO7dKiIqWTWfj5IMiOiLIYzF34Th-2c5kpZsh_P8Pc/w640-h626/IMG-20240119-WA0222.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhGuZ_2cTJ4JOIGXxQ67yu3rJ2yTBPjwfvBdPf6V4ZLQjSRbjfjF65a1ODoLYSbPpy0YamSFWyeOsdSNLjl-kKThXYBCH-FAWqxDtfgcK8RH7WIWwZBMN1I6Z-krR5KQWZQR98qokbAOlUg5J6N5tnMU0ybXRLuCJBVsYwXxa_Rt3LDLJnCoKuYFxC_6oo/s1600/IMG-20240119-WA0223.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="803" data-original-width="1600" height="322" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhGuZ_2cTJ4JOIGXxQ67yu3rJ2yTBPjwfvBdPf6V4ZLQjSRbjfjF65a1ODoLYSbPpy0YamSFWyeOsdSNLjl-kKThXYBCH-FAWqxDtfgcK8RH7WIWwZBMN1I6Z-krR5KQWZQR98qokbAOlUg5J6N5tnMU0ybXRLuCJBVsYwXxa_Rt3LDLJnCoKuYFxC_6oo/w640-h322/IMG-20240119-WA0223.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-55186116045634876502024-01-18T20:09:00.000-08:002024-01-18T20:09:39.044-08:00KUNDI KUBWA LA WANANCHI 515 LAHAMA NGORONGORO KWENDA MSOMERA<p><br /></p><p>Na Mwandishi wetu, Karatu Arusha.</p><p><br /></p><p>Kundi lenye kaya 72 wananchi 515 na mifugo 2,206 limeagwa leo tarehe 18/01/2024 baada ya kujiandikisha na kuamua kuhama kwa hiyari kutoka katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kwenda Kijiji cha Msomera handeni Mkoani Tanga.</p><p><br /></p><p>Akitoa taarifa ya utekelezaji wa zoezi hilo, meneja wa mradi wa kuhamisha wananchi waishio ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi Fedes Mdala ameeleza kuwa baada ya kundi hili kuhama leo inafikisha jumla ya kaya 749 zenye watu 4,337 na mifugo 19,915 ambayo tayari zimehama ndani ya hifadhi kwenda maeneo yaliyopangwa na serikali pamoja na maeneo mengine ambayo wananchi wamechagua. </p><p><br /></p><p>Kamishna wa Uhifadhi NCAA Richard Kiiza ameeleza kuwa kundi la awamu hii ndio kubwa zaidi kuondoka tangu kuanza utekelezaji wa zoezi hili na kuongeza kuwa kadri ujenzi wa Nyumba za makazi unavyoendelea Kijiji cha Msomera, kitwai na Saunyi idadi ya wananchi wanaojiandikisha kuhama kwa hiari imeendelea kuongezeka ambapo hadi sasa zaidi ya kaya 1,070 zimeshajiandikisha kuhama na zoezi la uhamasishaji na uelimishaji linaendelea.</p><p><br /></p><p>Kamishna Kiiza ameongeza kuwa zoezi la ujenzi wa Nyumba 5,000 katika Kijiji cha Msomera, Saunyi na Kitwai linaendeela chini ya SUMA JKT na tayari zaidi ya nyumba 360 zimeshakamilika na nyumba zingine zaidi ya 2,000 na nyumba nyingine ziko katika hatua mbalimbali za ujenzi.</p><p><br /></p><p>Kiiza amewahimiza wananchi walioagwa leo kuendelea kuwa mabalozi wa kuwahimiza wananchi waliobaki kujiandikisha kuhama kwa hiari ili wanufaike na Maisha bora yaliyoandaliwa na Serikali nje ya Hifadhi.</p><p><br /></p><p>Akiwaaga wananchi hao Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Kanali Wilson Sakulo ameeleza kuwa wananchi wanaohama kwa hiyari wanapewa stahiki zao zote za msingi ikiwepo nyumba yenye hati kwenye eneo la ukubwa wa ekari 2.5, shamba la kulima la ekari tano, huduma za maji, shule, afya, barabara, mabwawa, majosho, minada, umeme na huduma za mawasiliano na kupata uhuru wa kufanya shughuli za kilimo na kuishi Maisha huru tofauti na hifadhini.</p><p><br /></p><p>Kanali Sakulo ameelekeza uongozi wa NCAA kuendelea kutoa elimu, uhamasishaji na uandikishaji kwa wananchi walio tayari kuhama kwa hiari na kuhakikisha kuwa kila mwananchi aliyejiandikisha kuhama anahamishwa kwa wakati, kupata stahiki zake zote na kuhakikisha wananchi wanaohama hawarudi tena maeneo ambayo wameshahama kwa kuwa Serikali yetu imeshawajengea mazingira wezeshi yenye huduma zote muhimu za kijamii.</p><p><br /></p><p>Mmoja ya wananchi aliyehama Petro Tengesi amemshukuru Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa upendo wake kwa wananchi wa Ngorongoro na kuendelea kuwajengea mazingira bora nje ya hifadhi ikiwemo ulipwaji wa stahiki zao za kuhama, kusafirishiwa mizigo yao pamoja naa kuboreshewa huduma za kijamii nje ya hifadhi.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">g</div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgYCFjTIgdAY-bJ7-TiZTNBhenkz7-vhJGRYTYcYHOte7DriKLDHn4OdnynBbM4SJN7J6Ej_Of1Cr7-sTfriSo1m6r3W2wrJ7yfw05PmoD91XMTg15CXodfRCJClqowLneokGTojsvtx7sD2RWrB3Evxnljz88xfIjrC8Ytx6Z3iFj_8R0AR0TEWG8k9NQ/s1080/Screenshot_20240119-070540_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="722" data-original-width="1080" height="428" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgYCFjTIgdAY-bJ7-TiZTNBhenkz7-vhJGRYTYcYHOte7DriKLDHn4OdnynBbM4SJN7J6Ej_Of1Cr7-sTfriSo1m6r3W2wrJ7yfw05PmoD91XMTg15CXodfRCJClqowLneokGTojsvtx7sD2RWrB3Evxnljz88xfIjrC8Ytx6Z3iFj_8R0AR0TEWG8k9NQ/w640-h428/Screenshot_20240119-070540_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9YxsRCCVBxgqScvqt9Ezm-xs-qIFSU4M6MG-oQ0IZ_UP-AyYYjRFEU8KUm2OQssD9Q2bEUeKBgCZ6RiBn_o5hf09p2PS8KYc4R6-D4xD1C1aUhmGTJQQpUZbLxe0YfoXXfRCDY-Xi_QB6zYKkePd4yv8_cdPK5IclALH0LayKh-xpOs-ZnCRlZyOft4E/s1080/Screenshot_20240119-070605_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="715" data-original-width="1080" height="424" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9YxsRCCVBxgqScvqt9Ezm-xs-qIFSU4M6MG-oQ0IZ_UP-AyYYjRFEU8KUm2OQssD9Q2bEUeKBgCZ6RiBn_o5hf09p2PS8KYc4R6-D4xD1C1aUhmGTJQQpUZbLxe0YfoXXfRCDY-Xi_QB6zYKkePd4yv8_cdPK5IclALH0LayKh-xpOs-ZnCRlZyOft4E/w640-h424/Screenshot_20240119-070605_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjK_7c2Xp8yUIo_M6dllk8rE8JALNc2bL6N8mwCfO1CCgdW5mU1rWu87r50BDho1ho9yIlESyJ2Y28PU1McJG5LyajzWUJgPyLpNtQOBwuXlHl8pQGl_3FzGuqm2bXnI1G70pdrB_lS5aXWtu3zfZ0kigZn_l2hreihqbx422S2cm4CAjd7z_LSoET-_VM/s1080/Screenshot_20240119-070621_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="686" data-original-width="1080" height="406" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjK_7c2Xp8yUIo_M6dllk8rE8JALNc2bL6N8mwCfO1CCgdW5mU1rWu87r50BDho1ho9yIlESyJ2Y28PU1McJG5LyajzWUJgPyLpNtQOBwuXlHl8pQGl_3FzGuqm2bXnI1G70pdrB_lS5aXWtu3zfZ0kigZn_l2hreihqbx422S2cm4CAjd7z_LSoET-_VM/w640-h406/Screenshot_20240119-070621_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjeuuG3C6pRO_Wg-reSjrQpAR4wDzjqsko4tOLhAY1reb8llbQYzvlwL2PycBgxK3A-hxUTueU6x3aLxWi7jeL608qW8-BCYYcp9JOzNH5pi35GXsL9ElROHFcKK2jU9iLQZJIDRG35kDdg332rjmdvRAoQhPC0-o_-zoQpchAw_LMjmUTUm3Xh3GO9ymY/s1075/Screenshot_20240119-070642_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="792" data-original-width="1075" height="472" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjeuuG3C6pRO_Wg-reSjrQpAR4wDzjqsko4tOLhAY1reb8llbQYzvlwL2PycBgxK3A-hxUTueU6x3aLxWi7jeL608qW8-BCYYcp9JOzNH5pi35GXsL9ElROHFcKK2jU9iLQZJIDRG35kDdg332rjmdvRAoQhPC0-o_-zoQpchAw_LMjmUTUm3Xh3GO9ymY/w640-h472/Screenshot_20240119-070642_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjn5RgJkQyCZpi4Pun0q8e140cbvJm9X-IeUa6g91C7RZRY4uhS6AKxYaxF6CY8Cslnw0LgqR46Y2N5WlcKMwDR1mmL5NpbX5zlYK-Xhd69Lvmbz1KBcp9jlXcgNC3xweSPSjNksj-3vJFnw21RaSVYOwzFxTTNmakmuWHsZcyv8r8BtLn7XuZ1TpQqVmE/s1010/Screenshot_20240119-070701_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="788" data-original-width="1010" height="500" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjn5RgJkQyCZpi4Pun0q8e140cbvJm9X-IeUa6g91C7RZRY4uhS6AKxYaxF6CY8Cslnw0LgqR46Y2N5WlcKMwDR1mmL5NpbX5zlYK-Xhd69Lvmbz1KBcp9jlXcgNC3xweSPSjNksj-3vJFnw21RaSVYOwzFxTTNmakmuWHsZcyv8r8BtLn7XuZ1TpQqVmE/w640-h500/Screenshot_20240119-070701_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-15628252452718944562024-01-18T08:54:00.000-08:002024-01-18T08:54:29.697-08:00KERO YA MAFURIKO MANISPAA YA MORO MBUNGE ABOOD KUKAA TARURA<div><br /></div><div><br /></div><div>Mapema leo Mbunge w Jimbo la Morogoro Mjini Mhe.Dokta Abdulaziz Abood amefanya ziara ya kushutukiza kwenye Kata ya mazimbu lengo ikiwa ni kujionea miundombinu ya barabara namna ilivyo kwa kipindi hiki cha mvua. </div><div><br /></div><div>Akiwa maeneo ya balakuda kwenye Kata ya Mazimbu amejionea ubovu wa barabara hiyo inayoelekea chuo Kikuu Cha SUA Kampasi ya Mazimbu namna ilivyoaribiwa na mvua zinazoendele Sababu za kuaribika kwa barabara hiyo ni maji yanayopita mto ngerengere kuacha mkondo wake na kukatisha kwenye barabara hiyo. Jambo ambalo linasababisha watumiaji wa barabara hiyo kuvuka kwa shida na jambo la hatari kwa afya za wananchi.</div><div><br /></div><div>Mhe Mbunge ameahidi kuongea na TARURA ili kufanya haraka kurekebisha barabara hiyo na kuzuia maji kukatisha sambamba na uchimbaji wa mitaro.</div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhW8oK-JHumVrPDY5SADEB_4sOzyZMU61xIC9tFas6zNwe1stPuwInt-rZ9sE5jgfsC8YdHLDAx1MjoMV9xzmMn5BF3NItfk8tNgbDLuhFqZM80YqGGqP1eA1cU5HlCzRlSRn03XOpEXcV8OFd6SInOylvyvWAFjMkXdejdRUsHxTfYQBvnQRb_aS2bYyE/s960/IMG-20240118-WA0207.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="540" data-original-width="960" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhW8oK-JHumVrPDY5SADEB_4sOzyZMU61xIC9tFas6zNwe1stPuwInt-rZ9sE5jgfsC8YdHLDAx1MjoMV9xzmMn5BF3NItfk8tNgbDLuhFqZM80YqGGqP1eA1cU5HlCzRlSRn03XOpEXcV8OFd6SInOylvyvWAFjMkXdejdRUsHxTfYQBvnQRb_aS2bYyE/w640-h360/IMG-20240118-WA0207.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjNCUz-vjLC66Me5u7af__VBKND_Br54t8P1mibj3C1f6W3dhhwm6c5P5Um2Yhyphenhyphen4-jluq-bjEOrtvcZAEyKESuUulDuOE3l_df_AhwULM14VOOjPZIVM6Gim9xxyMbYafvOBrGZItFVimfEN5lpH-URae6S1InmcvfdNALUd7SBZDxuIfpFdKLrwGn49j8/s960/IMG-20240118-WA0208.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="540" data-original-width="960" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjNCUz-vjLC66Me5u7af__VBKND_Br54t8P1mibj3C1f6W3dhhwm6c5P5Um2Yhyphenhyphen4-jluq-bjEOrtvcZAEyKESuUulDuOE3l_df_AhwULM14VOOjPZIVM6Gim9xxyMbYafvOBrGZItFVimfEN5lpH-URae6S1InmcvfdNALUd7SBZDxuIfpFdKLrwGn49j8/w640-h360/IMG-20240118-WA0208.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhWpf5f3ArLYRBp160Sw49sdLPs2J5UV_m7qt8hXDFDRrCb22NKLvE8vt7jAF37IOu0E2Rhu8xTjwjBp3zwQmz8I224lQwfq2b2hnOd9U-5c6w1JCe2kF9yjCjKYFWtOtnaQwNwddq8W6heeRudi1NVc2B2CoIvxdVJo0hEIldyO9snwPaBVSAWfhwg5Os/s960/IMG-20240118-WA0209.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="540" data-original-width="960" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhWpf5f3ArLYRBp160Sw49sdLPs2J5UV_m7qt8hXDFDRrCb22NKLvE8vt7jAF37IOu0E2Rhu8xTjwjBp3zwQmz8I224lQwfq2b2hnOd9U-5c6w1JCe2kF9yjCjKYFWtOtnaQwNwddq8W6heeRudi1NVc2B2CoIvxdVJo0hEIldyO9snwPaBVSAWfhwg5Os/w640-h360/IMG-20240118-WA0209.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjYY-7VVKLsj1Lyxl9vYMg7Y3gbnsxkgXyNrgmplH1lxiR1T_t89BaF93Puei7YUB7fYt3SgeF8YsxG4GwoPRv9rln8fkR_NeoZ1llMUFbzYoGq3inixXz_fXIXfaBcOrw6Db3IcH1M5sMelw49xHB8LwtvtCF9SSZ0EkEgASzpECLBE1VAW-UPgYlrjzE/s960/IMG-20240118-WA0211.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="540" data-original-width="960" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjYY-7VVKLsj1Lyxl9vYMg7Y3gbnsxkgXyNrgmplH1lxiR1T_t89BaF93Puei7YUB7fYt3SgeF8YsxG4GwoPRv9rln8fkR_NeoZ1llMUFbzYoGq3inixXz_fXIXfaBcOrw6Db3IcH1M5sMelw49xHB8LwtvtCF9SSZ0EkEgASzpECLBE1VAW-UPgYlrjzE/w640-h360/IMG-20240118-WA0211.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7c8LITLLMwkHGM3QLReUCqsCFlAcWTOK3yBSk0pfywleUN8KzfrB9tDyqgKTwdReMK6yInEluqv20bsq_nb3SqxdiUYcxAB7-Kd-QUcQJQIl-r2YglOydTXUf6U9nf3z4ytsoVJDnwxDVjYH07BcyQS2X-TwlNuAjSP2TcPmYdFbqNspLthHyBCKzE2o/s960/IMG-20240118-WA0212.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="540" data-original-width="960" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7c8LITLLMwkHGM3QLReUCqsCFlAcWTOK3yBSk0pfywleUN8KzfrB9tDyqgKTwdReMK6yInEluqv20bsq_nb3SqxdiUYcxAB7-Kd-QUcQJQIl-r2YglOydTXUf6U9nf3z4ytsoVJDnwxDVjYH07BcyQS2X-TwlNuAjSP2TcPmYdFbqNspLthHyBCKzE2o/w640-h360/IMG-20240118-WA0212.jpg" width="640" /></a></div><br /><div><br /></div>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6331498689383101299.post-4186841854167908622024-01-17T05:19:00.000-08:002024-01-17T05:19:43.123-08:00SERIKALI- WAWEKEZAJI RUKSA MSOMERA<p> </p><p>Na John Mapepele </p><p><br /></p><p>Serikali imesema wawekezaji wa ndani na nje wanaruhusiwa kuwekeza katika eneo la Msomera ili kuleta maendeleo na kusaidia kuboresha maisha ya wananchi walioamua kwa hiari kuhamia eneo hili.</p><p><br /></p><p>Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi ametoa kauli hiyo leo Januari 17, 2024 Kijijini Msomera kwenye mkutano wa Waandishi wa Habari zaidi ya 60 waliokuwa kwenye ziara maalum ya siku nne kwenye Hifadhi ya Ngorongoro na Msomera kushuhudia zoezi linalofanywa na Serikali la kuwahamisha wananchi kwa hiari kupisha uhifadhi na kuwaboreshea maisha yao.</p><p><br /></p><p><br /></p><p>Waandishi wamepomgeza jitihada zinazofanywa na Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan za kuwaboreshea wananchi maisha.</p><p><br /></p><p>Matinyi amewahakikishia wawekezaji kuwa wanaruhisiwa kuwekeza kama ambavyo wanafanya katika maeneo mengine kwa kuzingatia sheria za nchi huku pia akiwataka wananchi kuchangamkia fursa hizo baada ya jitihada kubwa zinazofanywa na Serikali za kukamilisha huduma za kijamii na miundombinu yote muhimu.</p><p><br /></p><p>Amesema sasa tayari ujenzi wa nyumba 1000 upo katika hatua mbalimbali kwenye eneo la Msomera na kwamba huduma za ujenzi wa shule za msingi na sekindari, zahanati, eneo la mnada, mabwawa ya kunyweshea mifugo, majosho barabara na umeme unafanyika kwa kasi kubwa.</p><p><br /></p><p><br /></p><p>Amesisitiza kwamba malengo makubwa ya zoezi hili ni kuboresha maisha ya wananchi waliokuwa wakiishi Ngorongoro kwa dhiki na kuboresha uhifadhi wa Ngorongoro kwa faida ya vizazi vya sasa na baadaye.</p><p><br /></p><p>Wakati huo huo amesema tayari kaya 72 zenye jumla ya watu 500 waliojiandikisha kuhama kwa hiari kutoka Ngorongoro kuja Msomera wanatarajiwa kuagwa kesho katika ofisi za Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro na viongozi mbalimbali wa Serikali.</p><p><br /></p><p>Katika ziara hiyo waandishi wa Habari iliyoratibiwa na Wizara ya Maliasili kupitia Ngorongoro kwa kushirikiana na Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali waandishi walipata fursa ya kutembelelea eneo la makazi ya watu Ngorongoro Kisha Msomera.</p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhyEIYI5GAZ-3-PeTxDm9Mq1H1fTmtnRdBeXOT0dLbOsujuIaw-nWvZ78JAHrKHuts2S5G1K-UbdM5-JhD5xsMZVXKx_i94LYeLP6TQ3LwPNdqzNgdyunTkw5OVtmoLTDaq_dJuIg3aGglKWpCKna2Gap5yuDtF7jXJRGCTMn99O-fxi74VsGiwmDeEq7U/s1052/Screenshot_20240117-161617_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="677" data-original-width="1052" height="412" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhyEIYI5GAZ-3-PeTxDm9Mq1H1fTmtnRdBeXOT0dLbOsujuIaw-nWvZ78JAHrKHuts2S5G1K-UbdM5-JhD5xsMZVXKx_i94LYeLP6TQ3LwPNdqzNgdyunTkw5OVtmoLTDaq_dJuIg3aGglKWpCKna2Gap5yuDtF7jXJRGCTMn99O-fxi74VsGiwmDeEq7U/w640-h412/Screenshot_20240117-161617_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhdye25Aad9QSOo44KrE31S7_CEli8Wvjhwvmbs2KmJyqK1lkY9Ag889uVTyAN1xbzATFQXeiTVGZzu7SNJT11yk2eGX1SEcZErKryFYAqvdqz9p03YeABRkaKv0a1vGjsHivrD9Zd7v-rWk62Ej9zxDFf5YAfzFUOq0fAj1sGcva0Bd347becIEkgqh1U/s1070/Screenshot_20240117-161635_WhatsAppBusiness.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="679" data-original-width="1070" height="406" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhdye25Aad9QSOo44KrE31S7_CEli8Wvjhwvmbs2KmJyqK1lkY9Ag889uVTyAN1xbzATFQXeiTVGZzu7SNJT11yk2eGX1SEcZErKryFYAqvdqz9p03YeABRkaKv0a1vGjsHivrD9Zd7v-rWk62Ej9zxDFf5YAfzFUOq0fAj1sGcva0Bd347becIEkgqh1U/w640-h406/Screenshot_20240117-161635_WhatsAppBusiness.jpg" width="640" /></a></div><br /><p><br /></p>Humphrey Shaohttp://www.blogger.com/profile/13081369117523499071noreply@blogger.com0